Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Kama kumpenda chidi Benz ni uvuta bangi basi ngoja niwe kiongozi wa wavuta bangi, chidi kichwa kile
Nayeye ndiye kiongozi wetu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nayeye ndiye kiongozi wetu..
HakikaaaKama kumpenda chidi Benz ni uvuta bangi basi ngoja niwe kiongozi wa wavuta bangi, chidi kichwa kile
Hata FA napenda sana kusikiliza Interviews zake.......Interviews zinazoboa ni za TID na ALI KIBA.
chid hajadata mkuu
Tema mate chini
Mi 4gb inatosha siitaji zaidi ya hapo usiitaji kingine kile ambacho hutokiweza mkuu naridhika na hali yangu.Bado hazitoshi mkuu..ongeza ukubwa wa hardisc yk ya kichwa ili uweze kumuelewa vzr chid a.k.a chuma...coz the nigga is more than a genius!
Na vip kukuhusu wewe bado unatoa tigo au unaendelea na issue zako za kupika vitumbuaHivi Chid bado anaimba au bado anaendelea na issue zake za madawa...?
Chid huyu huyu ambaye anajikana kwamba yeye ni tofauti na wa kwenye video? Au huyu Chid mwingine mkuu?Nimefuatilia interview aliyofanya na Wasafi Media kupitia Kipindi cha Hivi ni kweli! Jamaa anajua Sana kujieleza kwenye Interviews
https://youtu.be/5J0dNKYZ09s
Nimekuwa nikifuatilia interviews Zake nyingi sana,Hakika Chid Benz naweza Sema ndio msanii wa Kwanza Tanzania Kwa Kujieleza Vizuri kwenye Interview
Over
Mkuu tafadhali kuniambia nilikuwa kiunoni kwa baba yangu ni kunikosea heshima..Bob Marley unamuelewaje pamoja na amekufa kitambo ukiwa kiunoni kwa baba ako ,hadi anaishi pamoja nabangi ,kwan bangi inaubaya gani
Polesana kujimwambafua kwa matusiMkuu tafadhali kuniambia nilikuwa kiunoni kwa baba yangu ni kunikosea heshima..
Huenda mie ndio nilimtoa bkr mama yako mwaka aliokufa bob...
Mugabe mwenyewe na degree alizokuwa nazo alimuelewa bob..
Sembuse fala tu huyu anayeona
[emoji23]Usishangae unaweza kuta Danjaro Alimzidi madarasa lakini Sio Umri,Si unafahamu wale QT
Mpaka sasa sijawahi kuona msanii mkali kama Chidi Benzi na Albert Mangwea
Chidi Benz Yuko fresh Sana ....msanii wakike ni gigy money