Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,601
- 2,354
Hata show yake ya fiesta pale nagwanda ilikua htr sana......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hazitoshi mkuu..ongeza ukubwa wa hardisc yk ya kichwa ili uweze kumuelewa vzr chid a.k.a chuma...coz the nigga is more than a genius!Mi ni 4 gb
Dogo janja kakuzidi madarasa kibao tenaYeah janjaro nomazz, nimesoma nae shule moja ngare, a town....japo kanizidi madarasa kibao but nilimkuta,kapinda hatareee
Ulichoharibu ni wewe kuchunguza na uka comment haya tuvute wote hiyo bangi si unaona tunafaidiUkichunguza aliyeandika uzii huu nawanao comenti ote niwavuta bangi
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimejikuta nafikiria umri wako...
Hata Mimi pia nilikua nafikiria umri wake[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimejikuta nafikiria umri wako...
Wavuta bangi pamoja na weweUkichunguza aliyeandika uzii huu nawanao comenti ote niwavuta bangi
Bob Marley unamuelewaje pamoja na amekufa kitambo ukiwa kiunoni kwa baba ako ,hadi anaishi pamoja nabangi ,kwan bangi inaubaya ganiWavuta bangi pamoja na wewe
Nimefuatilia interview aliyofanya na Wasafi Media kupitia Kipindi cha Hivi ni kweli! Jamaa anajua Sana kujieleza kwenye Interviews
https://youtu.be/5J0dNKYZ09s
Nimekuwa nikifuatilia interviews Zake nyingi sana,Hakika Chid Benz naweza Sema ndio msanii wa Kwanza Tanzania Kwa Kujieleza Vizuri kwenye Interview
Over
Ameshadata chidi,anakataa mashabiki wake
Nayeye ndiye kiongozi wetu..Wavuta bangi pamoja na wewe