Chidi Benz ndiye msanii bora zaidi katika mahojiano nchini

Chidi Benz ndiye msanii bora zaidi katika mahojiano nchini

Hawezi kuvumilia maswali,kila atakachoulizwa anachukulia person,huyo mtu si mzuri katika interviews,uzuri wa interviews unajibu kila swali utakaloulizwa mambo ya sijui no comment au siwezi kujibu au kupanic ni kuonyeshwa wazi hawawezi interviews.
wananichekeshaga sana
bongo interview wafanyie wafanya biashara ndio utaelewa kitu
 
maelezo yake kwanini hana You tube channel uliyaelewa??

Tuanzie hapo kwanza.

Amesema unaweza kuwa Na Account Youtube na Usione Faida Yake! Hii ndio Point kubwa kaisema japo anafahamu wasanii wenzake watakuwa wanamshangaa kwann hayupo kwenye haya mambo ya kisasa
 
Chid benzino dishi limeshayumba, unga mbaya sana
 
CHIDIBENZ IS A REAL NIGGA.!..Namkubali kwa kila k2 uyu mwamba kuanzia interviews.., perforamnce.,talent...life style..and so on.Huyu jamaa sio tu kwamba anafanya mziki ila anauishi mziki.Nyota yake itaendelea kung'ara ktk mda husiojulikana.... level zake ni kubwa sn chid mm binafsi nimemmis sn kweny game.

DESPITE OF WHAT HE HAS GONE THROUH IN HIS MUSIC CARRIER... HE WILL BE MY BEST RAPPER OF ALL TIMES!

##hatersneverdie
 
Kwa Bongo King of interviews yani ukitazama lazma uburudike ni T.I.D mzee kigogo a.k.a BASATA.
 
Chid,TiD&Q chief hawa ni genious sana.wanafanya vitu sasa na wanaongea kuhusu sasa siyo wale wakutembea na wazo la jana leo.Hawa huwez kuwalinganisha na wasanii wengine itakuwa nikituko
 
Hivi ile single track yake na tupac imeishia wapi ??
Bangi bwana ni bangii 🤣🤣🤣 mbaya kwa watumiaji
 
Benz hakurupuki kwenye ujibuji maswali ..hata janjaro nae anajitahidi Sana ..
Yeah janjaro nomazz, nimesoma nae shule moja ngare, a town....japo kanizidi madarasa kibao but nilimkuta,kapinda hatareee
 
Back
Top Bottom