princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
wananichekeshaga sanaHawezi kuvumilia maswali,kila atakachoulizwa anachukulia person,huyo mtu si mzuri katika interviews,uzuri wa interviews unajibu kila swali utakaloulizwa mambo ya sijui no comment au siwezi kujibu au kupanic ni kuonyeshwa wazi hawawezi interviews.
Akikujibu nitag Daudi Mchambuzimaelezo yake kwanini hana You tube channel uliyaelewa??
Tuanzie hapo kwanza.
Ali kiba kulia lia kwingi kama mtotoHata FA napenda sana kusikiliza Interviews zake.......Interviews zinazoboa ni za TID na ALI KIBA.
Alikiba anaishi kwa huruma ya mashabikiAli kiba kulia lia kwingi kama mtoto
maelezo yake kwanini hana You tube channel uliyaelewa??
Tuanzie hapo kwanza.
alikuwa hana ule ujinga wa mikono juuu...say yeahhhh yeah mara wote tuimbesio kwa interview tu hata performance live hakuna anaemuweza
Morali yake iko juu sana kama moranialikuwa hana ule ujinga wa mikono juuu...say yeahhhh yeah mara wote tuimbe
Kwa gigy hata Mimi nakubaliChidi Benz Yuko fresh Sana ....msanii wakike ni gigy money
Yeah janjaro nomazz, nimesoma nae shule moja ngare, a town....japo kanizidi madarasa kibao but nilimkuta,kapinda hatareeeBenz hakurupuki kwenye ujibuji maswali ..hata janjaro nae anajitahidi Sana ..
Chid ameshalitolea majibu hilo mara nyingi tu au ndo nyie wenye akili za 3gb lkn mnalazimisha kuelewa kauli za chid zenye 50gb?!Hivi ile single track yake na tupac imeishia wapi ??
Bangi bwana ni bangii [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbaya kwa watumiaji
[emoji23][emoji23][emoji23]Yeah janjaro nomazz, nimesoma nae shule moja ngare, a town....japo kanizidi madarasa kibao but nilimkuta,kapinda hatareee