Chief Godlove ni mtu wa wapi?

Chief Godlove ni mtu wa wapi?

Ni mshamba mmoja hv alieziotea hela kiasi za 'masharti' anawavimbia wajinga na washamba wenzie huko isnta na tiktok... yaan kiufup ni limbukeni ! Sio kwamba nna muonea wivu hapana nyie fatilieni video zake huko mtajiridhisha.. unakuta kabeba mbwa wake kawafunga na minyororo ya kuvutia gari au mikanda ya mabegi alafu anawavimbia watu kuwa anaenda kuwanunulia mbwa wake gari crown kwa ajili ya kuendea beach au kwenda kuoga!

Nilichoka siku ingne kapost vyakula flan vya mbwa ambavyo ni very cheap food kwa mtu kama yeye anaevimba... watu walimchana sana aache ushamba... kiufupi ni jamiii ya kina kinasa msukuma ... yaan ni ile mtu hajawah kuwa exposure na maisha ya mjini alafu yupo huko uswekeni kaziotoe kaamua kuja nazo mjini so kila anachokiona cha thaman anawavimbia watu bila kujua kuna wengine wanakichukulia very cheap sana!!

Mwisho: Jamaa hela zake ni za masharti kuwa haruhusiwi kuwa na mahusiano na mwanamke ndo maana sio rahisi kumuona ana hang na wanawake katika mtindo wa kutaka kuchakata mbususu... yaan yeye akichakata mbususu tu kaisha! Sasa utajiri bila kuchakata mbususu ni u mbululazzzz!!
Kumbe utajiri wa kise. nge. Sasa hayo magari anamtambia nani! KAMA sio. madem
 
Hii imekaaje,jamaa kaumbuka kumbe yale manoti anachonga mbao na kuzikata size ya mabunda ya manoti na kupiga rangi halafu juu na chini anafungia noti halisi ya sh 10,000 kwa raba bendi. Kuna video pia imeonekana kakata maboksi halafu kavifungia na raba bendi.
 
Hii imekaaje,jamaa kaumbuka kumbe yale manoti anachonga mbao na kuzikata size ya mabunda ya manoti na kupiga rangi halafu juu na chini anafungia noti halisi ya sh 10,000 kwa raba bendi. Kuna video pia imeonekana kakata maboksi halafu kavifungia na raba bendi.
Kuumbuka huwa dk moja tu😁😁😁
 
Matajiri hawanaga kelele
Hawanaga mambo ya kupiga
Picha na hela,wala kubeba maburungutu

Ova
Mkuu nimewaza,lakini zile nyumba na range rovers anapiga misele tusemaje?kwenye hela tumempata, Yule jamaa kuna something wrong ,ila kufanya show off na mbao kweli?zile hela anaziazima?
 
Back
Top Bottom