Chief Godlove ni mtu wa wapi?

Chief Godlove ni mtu wa wapi?

Nijuacho dogo ni mzaliwa wa Ipinda Kyela, familia yake ni wakulima pia baba yake ni muinjilisti. Tangu aje mjini hana miaka mitano. Nisikiavyo ni kuwa dogo pesa yake ni ya Kwa mganga. Sharti alilopewa ni kutopiga tunda hata kimasihara[emoji1787][emoji1787].
Sasa anakula tu mikuku na mikitimoto atakojoa wapi!!?

Pumbav huyu
 
Salute iende kwenye mada, kiukweli hapa mjini Dar es salam kuna watu nadhani wanaishi maisha mazuri ni kama wako Dubai au New York .Binafsi nimekuwa chawa promax wakumfatilia huyu kijana anaejiita Chief Godlove kiukweli jamaa anakula sana bata hapa mjini licha ya umri wangu wa miaka 35 naona dogo kaniacha parefu sana kimaisha.

Kabla sijampa maua yake najua humu yupo au kuna jamaa zake wanaomjua nilitaka kujua jamaa anafanya biashara gani mpaka asumbue na magari makali na nyumba nzuri yaani nika kama hush pupp fulani mdogo natamani nijue background yake anipe na mimi hamasa nirudi Njombe na VW new model.

View attachment 2655836
UShamba tu unamsumbua
 
Wote hao hamna kitu mkuu kelele tu nyingi
Sahvi bongo mtu anakuambia bilionea
Huku source ya income yake haijulikani
Mtu yuko mtandaoni kuanzia asubuhi mpk usiku kaZi anafanya saa ngapi?
Matajiri mabilionea hawanaga kelele

Ova
Pesa hazitaki kelele. Ukiona mtu ana kelele ujue hana.

pesa zinaonekana kwenye vitendo vya kimya kimya
Rich niggaz move in silence
 
Pesa hazitaki kelele. Ukiona mtu ana kelele ujue hana.

pesa zinaonekana kwenye vitendo vya kimya kimya
Rich niggaz move in silence
Mkuu,

Kila mtu ana personality yake, wapo watu wenye pesa na wenye majigambo. Mbona Rick Ross alinunua nyama ya $10000 karibia Tsh 26M kwenye siku ya kuzaliwa mtoto wake.

Mbona wasanii wengi wamarekani wanajitamba kwamba wana pesa? Nafikiri ni suala la mtu alipotokea tu.

Mbali na hivyo godlove anahamasisha vijana na huwa anaongea maneno mengi ambayo vijana yanawaumiza na hawataki kuyasikia.
 
Kuna mtu aliwahi kukutana nae anaendesha IT anavusha magari nchi jirani. Mwanangu gwamaka pia ameniambia huyu jamaa akiwa form one walimlawiti
 
Mkuu,

Kila mtu ana personality yake, wapo watu wenye pesa na wenye majigambo. Mbona Rick Ross alinunua nyama ya $10000 karibia Tsh 26M kwenye siku ya kuzaliwa mtoto wake.

Mbona wasanii wengi wamarekani wanajitamba kwamba wana pesa? Nafikiri ni suala la mtu alipotokea tu.

Mbali na hivyo godlove anahamasisha vijana na huwa anaongea maneno mengi ambayo vijana yanawaumiza na hawataki kuyasikia.
Weusi blacks wakipata majigambo lazima sababu ya ulimbukeni
 
Nimepitia thread hii na kusoma comments zote, lakini kwa bahati mbaya sana hakuna kitu Cha maana ambacho nimekibaini. Isipokuwa nilichogundua no kwamba Watanzania wengi Sana bado wako na fikra za enzi za ujima, wanapenda Sana kujihusisha na mambo ya Kiswahili-swahili ya kufuatilia maisha binafsi ya watu wengine huku maisha yao binafsi yakiwashinda. Hali hii iko tofauti sana mfumo wa maisha ya wenzetu ktk nchi zingine ambako watu wapo busy Sana ktk kukimbizana na muda kwenye utafutaji wa riziki.,
In fact, an idle mind is the devil's workshop!
Wacha blah blah dogo.
 
Tapeli huyo sasa hivi ana skendo ya kuwaliza watu
 
Back
Top Bottom