secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Wacha wee!Odemba raia wa Kenya, ana kiherehere tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha wee!Odemba raia wa Kenya, ana kiherehere tu
Yaani ndio nimeanzaBado hujasema, utasema tu.
Kwa hiyo unasemaje?Bila Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
Chawa wa Mbowe mna akili kisoda kama Sultan wenu.Unakosea ! Sema mnyukano mkali kati ya wakuja na mtoto wa mjini
Mbona Nchimbi wa Lumumba aliingia mitini ulipoitishwa mdahalo wa makatibu wakuu wa vyama?Huyu kibaraka wa Lissu, kila siku anafanya mahojiano na Lissu lakini hajawahi kuomba kufanya mahojiano na Mbowe, Mbowe aukatae huo mtego, dogo anatumika sana. Leo ndio kaona umuhimu wa kumuita Mbowe?