Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu kamanda ndiye alikuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, uko uzi humu JF ulioonyesha kwamba Bashiru Ally akishirikiana na Waziri wa fedha walishindwa kumshwawishi huyu kamanda kujiuza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Great!Chadema ni kama dhahabu kadiri unavyoitia moto mkali ndivyo inazidi kung'aa. Halafu kwanini wanachama wa chadema wana furaha sana.? Popote unapowaona nyuso zao zinamelemeta yaani. Wale wengine upande wa mama wa kambo utadhani wachawi😁😁
Joined 7 April 2020Mwaka huu Bukoba hapati ng'oo! Kala hela za stend, soko halijajengwa, mradi wa barabara za W/bank wamerumbana wee hadi ukaota nyasi! Sasa hivi ni kijani tu hatutaki ujinga tunataka maendeleo!
umedanganywa kibwege sana !Hilo jimbo lazima CCM ishinde, iwe mvua au jua lazima CCM ishinde!
Kuna tatizo mkuu?Joined 7 April 2020
Kunywa sumu ufe, lazima CCM tuchukue hilo jimbo asubuhi mapema!umedanganywa kibwege sana !
maana yake unahitaji kukomaa zaidi kabla ya kuvamia mijadala mineneKuna tatizo mkuu?
Mangula ile sumu kumbe mlimnywesha?Kunywa sumu ufe, lazima CCM tuchukue hilo jimbo asubuhi mapema!
View attachment 1503256
Huyu kamanda ndiye alikuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba , uko uzi humu jf ulioonyesha kwamba Bashiru Ally akishirikiana na Waziri wa fedha walishindwa kumshwawishi huyu kamanda kujiuza .
Chadema ni kama dhahabu kadiri unavyoitia moto mkali ndivyo inazidi kung'aa. Halafu kwanini wanachama wa chadema wana furaha sana.? Popote unapowaona nyuso zao zinamelemeta yaani. Wale wengine upande wa mama wa kambo utadhani wachawi[emoji16][emoji16]
Amekula ela za stand kwani yeye ndiye mkurugenzi wa manispaa?Mwaka huu Bukoba hapati ng'oo! Kala hela za stend, soko halijajengwa, mradi wa barabara za W/bank wamerumbana wee hadi ukaota nyasi! Sasa hivi ni kijani tu hatutaki ujinga tunataka maendeleo!
Nipo hapa Meeda nasubiri huduma yako babyHilo jimbo lazima CCM ishinde, iwe mvua au jua lazima CCM ishinde!
Chadema ina nguvu sana kuliko ilivyodhaniwa
Kuna tatizo mkuu?
Mkuu hapo kwenye Mungu isomeke kwa herufi kubwa.Ukumbuke hilo kila wakati.Cdm ni tunu kutoka kwa mungu kuja kuwakomboa watanzania wote.