thuma
JF-Expert Member
- Nov 2, 2016
- 369
- 497
Uzuri haja join 7april 2020 BukobaJoined 7 April 2020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri haja join 7april 2020 BukobaJoined 7 April 2020
Mbona mnakuwa wagumu kuzungumzia pesa za michango ya wabunge ambazo mbowe ameweka kwenye Sacco's yake "Hai Development". Pesa za tetemeko ziliijenga Ihungo sec, Nyakato, kituo cha afya kule maeneo ya Bugabo to mention few! Hiyo ni miladi ya kijamii kila mmoja ananufaika! Haya leta hoja nyingine sasaShamba Boy acha pelepele za Lumumba jibu hoja, fedha za rambi rambi za tetemeko toka USA, Italy, Germany, UK etc zilitolewa na mabarozi wa hizo nchi ziko wapi??
Njoo na hoja ya kupata jimbo la Bkb, watu wapo kwenye mapagala!!
Mimi ni mpiga kura mzuri tuu, nimeisha hakiki kwenye kituo changu napiga kura kama kawa!!