Mchezaji hapimwi kwa mechi moja. Na profile za nyuma sio zinazocheza mpira. Kama profile za nyuma ndio zinazocheza mpira basi chama aliyefanya vizuri akiwa Simba asingekosa namba Berkane kutokana na kile alichokifanya akiwa Simba. Usajili ni 50- 50 haijalishi mchezaji ana profile kubwa au ndogo kiasi gani.Hii ni ligi mwanangu. Subiri mwisho wa ligi.
By the way usihamishe mada. Tunaongelea Chiko haoa
Mzee wewe hufuatilii mpira mzee. Chama mechi yake ya mwisho alikuwa man of the match. Nikisema unaongea mashudu nitakuwa nimekosea!?Mchezaji hapimwi kwa mechi moja. Na profile za nyuma sio zinazocheza mpira. Kama profile za nyuma ndio zinazocheza mpira basi chama aliyefanya vizuri akiwa Simba asingekosa namba Berkane kutokana na kile alichokifanya akiwa Simba. Usajili ni 50- 50 haijalishi mchezaji ana profile kubwa au ndogo kiasi gani.
Wahenga walisema la kuvunda halina ubani. Hata upambe vipi kwa matarumbeta na vifijo kama kibovu kibovu tu.
Mazembe huwa hawawezi kutoa mchezaji kizembekizembe. Kuiona mchezaji anatoka mazembe anakuja timu ambayo haipo hata kwenye shindano hata la kuku kimataifa, ujue mchezaji huyo ni mzigo.
Mchezaji anayejua boli akiingia hata sekunde 7 unamjua tu. Namna anavyokimbia na ku turn.
Kiwango cha makelele yaliyopigwa na uhalisia ni kama mbingu na ardhi. Yaani kwa kifupi huyo hawezi hata kumfikia Nchimbi yaani kwa Kaseke huyu Chiko akasome.
Maoni yangu ni kwamba kwa sifa tulizoambiwa na akina Manara na genge lake la propaganda za kishamba, tulitegemea tuone moto na nyasi kuungua na miguu ya Chiko. Kumbe mazee tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.
Au ni Yikpe karudi kwa jina la Ushindi! Ahahahahah!!
Wahenga walisema la kuvunda halina ubani. Hata upambe vipi kwa matarumbeta na vifijo kama kibovu kibovu tu.
Mazembe huwa hawawezi kutoa mchezaji kizembekizembe. Kuiona mchezaji anatoka mazembe anakuja timu ambayo haipo hata kwenye shindano hata la kuku kimataifa, ujue mchezaji huyo ni mzigo.
Mchezaji anayejua boli akiingia hata sekunde 7 unamjua tu. Namna anavyokimbia na ku turn.
Kiwango cha makelele yaliyopigwa na uhalisia ni kama mbingu na ardhi. Yaani kwa kifupi huyo hawezi hata kumfikia Nchimbi yaani kwa Kaseke huyu Chiko akasome.
Maoni yangu ni kwamba kwa sifa tulizoambiwa na akina Manara na genge lake la propaganda za kishamba, tulitegemea tuone moto na nyasi kuungua na miguu ya Chiko. Kumbe mazee tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.
Kacheza mechi ngapi chama akiwa Berkane? Je mechi ngapi ameanza? Kama unaamini katika statistics basi lete statics za chama akiwa Berkane. Hapo umeleta huo uthiibitisho wa kumuonesha chama man of the match katika mechi yake ya mwisho hapo unathibitisha kitu kinachoitwa muda. Chama alikuwa mchezaji wa kawaida Berkane ila mwisho kawa man of the match hivyo hata huyu Chico mpe muda kama ulivyompa muda Chama kwenye timu ya Berkane. Au unataka kusema Chama alikuwa tegemeo Berkane kama alivyokuwa tegemeo Simba?Mzee wewe hufuatilii mpira mzee. Chama mechi yake ya mwisho alikuwa man of the match. Nikisema unaongea mashudu nitakuwa nimekosea!?
View attachment 2093043
Oh!! Kumbe umetupita point kumi huku tunamchezo mkononi. Nilidhani unasema yanga imechukua kombe.
Halafu tunaongelea Chiko Ushindi, maoni yako ni yapi kwa kiwango chake!?
Unataka tumpatie mechi ngapi mzee.
Yani mchezaji katoka TP Mazembe amepoaaaaaa, anazidiwa hata na Nchimbi.
Kitu pekee nilichokiona kwa Chico ni mwanya, njooni mnipige hapa Bambalaga
Mwisho wa siku usisahau Yanga kwa sasa inaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 10 dhidi ya timu inayomfuatia. Na hiyo timu iko nyuma kwa mchezo mmoja tu!
Wahenga walisema la kuvunda halina ubani. Hata upambe vipi kwa matarumbeta na vifijo kama kibovu kibovu tu.
Mazembe huwa hawawezi kutoa mchezaji kizembekizembe. Kuiona mchezaji anatoka mazembe anakuja timu ambayo haipo hata kwenye shindano hata la kuku kimataifa, ujue mchezaji huyo ni mzigo.
Mchezaji anayejua boli akiingia hata sekunde 7 unamjua tu. Namna anavyokimbia na ku turn.
Kiwango cha makelele yaliyopigwa na uhalisia ni kama mbingu na ardhi. Yaani kwa kifupi huyo hawezi hata kumfikia Nchimbi yaani kwa Kaseke huyu Chiko akasome.
Maoni yangu ni kwamba kwa sifa tulizoambiwa na akina Manara na genge lake la propaganda za kishamba, tulitegemea tuone moto na nyasi kuungua na miguu ya Chiko. Kumbe mazee tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.
Kwaida yenu miaka yote. Lakini swali langu Chiko umemuonaje!?Mwisho wa siku usisahau Yanga kwa sasa inaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 10 dhidi ya timu inayomfuatia. Na hiyo timu iko nyuma kwa mchezo mmoja tu!
Na siku ikienda ugenini kucheza na Kagera Sugar, na ikafungwa au kuendeleza wimbi lake la sare! Itakuwa inaisafishia njia timu ya Wananchi raundi ya pili kutangazwa Bingwa hata kabla ya kumaliza michezo yake ligi.
Wewe endelea tu kujibaraguza na huyo Chiko Ushindi wako! Kana kwamba ndiye mchezaji pekee pale Yanga.
Some times wanafanya. Hukumbuki ya Chikwende?Yaan mechi moja tu umeshamdifine mchezaji [emoji54][emoji54] hata hao makocha hawafanyagi hivyo
Mchezaji anayesimamisha nchi dk 3 zinatosha.Kacheza mechi mpaka umehitimisha hana kiwango? Kacheza kwenye uwanja wa aina gani? Kwanini usijipe muda kwanza kwa mechi zaidi ya tano?
Mkuu yaani utopolo ni utopolo tu, Jamaa kaingia sub kwa mbwembwe sana Moyoni nikajisemea Yes, mtan yuko serious na ubingwa msimu huu ila kadri muda ulivyozidi kwenda nikacheka sanaaa maana ni aibu kubwa kule jukwaani kwa Bugat na wanapropaganda wenzie kwa uongo waliosemea kwa mashabiki wao
Wahenga walisema la kuvunda halina ubani. Hata upambe vipi kwa matarumbeta na vifijo kama kibovu kibovu tu.
Mazembe huwa hawawezi kutoa mchezaji kizembekizembe. Kuiona mchezaji anatoka mazembe anakuja timu ambayo haipo hata kwenye shindano hata la kuku kimataifa, ujue mchezaji huyo ni mzigo.
Mchezaji anayejua boli akiingia hata sekunde 7 unamjua tu. Namna anavyokimbia na ku turn.
Kiwango cha makelele yaliyopigwa na uhalisia ni kama mbingu na ardhi. Yaani kwa kifupi huyo hawezi hata kumfikia Nchimbi yaani kwa Kaseke huyu Chiko akasome.
Maoni yangu ni kwamba kwa sifa tulizoambiwa na akina Manara na genge lake la propaganda za kishamba, tulitegemea tuone moto na nyasi kuungua na miguu ya Chiko. Kumbe mazee tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.
Sawa.Hayakuhusu angaika na Simba yako.muda utasema
Wahenga walisema la kuvunda halina ubani. Hata upambe vipi kwa matarumbeta na vifijo kama kibovu kibovu tu.
Mazembe huwa hawawezi kutoa mchezaji kizembekizembe. Kuiona mchezaji anatoka mazembe anakuja timu ambayo haipo hata kwenye shindano hata la kuku kimataifa, ujue mchezaji huyo ni mzigo.
Mchezaji anayejua boli akiingia hata sekunde 7 unamjua tu. Namna anavyokimbia na ku turn.
Kiwango cha makelele yaliyopigwa na uhalisia ni kama mbingu na ardhi. Yaani kwa kifupi huyo hawezi hata kumfikia Nchimbi yaani kwa Kaseke huyu Chiko akasome.
Maoni yangu ni kwamba kwa sifa tulizoambiwa na akina Manara na genge lake la propaganda za kishamba, tulitegemea tuone moto na nyasi kuungua na miguu ya Chiko. Kumbe mazee tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.
Tumpe muda,na pia tuweke akiba ya maneno.Kusema ukweli kiwango chake na kelele zilizopigwa haviendani.