Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Tunaomba chikola aitwe taifa stars. Accuracy yake akiwe mbele ya goli ni kubwa sana, nahisi jamaa ni mbrazili Naomba kocha na tff wamuongeze taifa stars.
Hicho kipaji kikuzwe. Accuracy yake mbele ya goli ni ya kimataifa level za UEFA champions league.
Pia kama kuna wazawa wengine waliocheza vizuri leo kwenye mechi dhidi ya Yanga wangeitwa kikosini.
Hicho kipaji kikuzwe. Accuracy yake mbele ya goli ni ya kimataifa level za UEFA champions league.
Pia kama kuna wazawa wengine waliocheza vizuri leo kwenye mechi dhidi ya Yanga wangeitwa kikosini.