Orginal Qur'aan ndiyo hiyo matini,na ilihifadhuwa vifuani mwa watu na kwenye karatasi kisha ikawekwa kwenye kitabu kimoja.Ok tumesha maliza Koran hakuna original matini
Hakuna aya zilizo potea bali kuna aya zikizofutwa ukisoma fani ya Qur'aan bali na Hadithi kuna kipengele huiwa "Nasikh wa al Mansuhk" yaani "Kifutwa na kikichofuta" kuna aya zilifutwa kwa aya nyingine,mathalani katika Qur'aan hukuti aya ya mzinifu kupigwa mawe ilifutwa ila hukmu yake ipo na inafanya kazi.Ok tumesha maliza Koran hakuna original matini
Turudi kwenye Aya zilizo potea unaongeleje
It was narrated that 'Aishah said:
“The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.” Sunan Ibn Majah 1944
verses zote za kupiga mawe na kumnyonyesha mtu mzima mara 10 zilipotea kwa kuliwa na mbuzi
Lakini kipindi cha Muhammad walikuwa wana practice
Sahih-Muslim 1453e:
....I see in the face of Abu Hudhaifa (the signs of disgust) on account of entering of Salim (in the house), whereupon Allah’s Messenger said Suckle him. She (Sahla bint Suhail) said: He has a beard. But he (again) said: Suckle him, ....
Verse zilikuwepo
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings).
Sahih Muslim 1452a
'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
Muhammad kafa zilikuwepo ,nani kafuta?Hakuna aya zilizo potea bali kuna aya zikizofutwa ukisoma fani ya Qur'aan bali na Hadithi kuna kipengele huiwa "Nasikh wa al Mansuhk" yaani "Kifutwa na kikichofuta" kuna aya zilifutwa kwa aya nyingine,mathalani katika Qur'aan hukuti aya ya mzinifu kupigwa mawe ilifutwa ila hukmu yake ipo na inafanya kazi.
Ufutwaji wa aya ni katika utaratibu wa Allah juu ya malezi ya kiimani na hukmu kwa waja wake ndiyo maana jambo hili katika elimu ya Qur'aan lipo na linazungumziwa sana na halijifichi. Qur'aan imeshuka kwa miaka 23 na imeshuka kwa matukio,Allah alikuwa anawapa hukmu kukingana na imani zao kwa wakati husika kisha wakipa hatua anafuta ana wapa nyingine. Ndiyo ukisoma Qur'aan utakuta aya unazisoma lakini hukmu yake ilifutwa rejea kitabu "Al Itiqan fi 'Ulumul al Qur'aan" cha Imam Jalaludiin as-Suyuti.
Hivi ushawahi kuisoma Qur'aan au kipengele cha Nasikh na Mansukh ?Muhammad kafa zilikuwepo ,nani kafuta?
Kumbuka alichofanya Allah ni kupunguza kunyonyesha mtu mzima kutoka mara 10 kwenda mara 5
Naona huelewi au unajifanya kutokuelewaHivi ushawahi kuisoma Qur'aan au kipengele cha Nasikh na Mansukh ?
Shida najadiliana na mtu ambaye hana alijualo katika Qur'aan. Ukisoma historia ya uandishi wa Qur'aan mtume ndiyo alikuwa anazipanga aya pale zinapoteremshwa anawaambia aya hii kaiewekeni kwenye aya fulani na majina ya sura kadhalika,na ufutwaji wa aya ulifanyika zama zake.
Kazi nimeimaliza cheka uchekavyo lakini najua huna uwezo wa kupinga kuwa hizo siyo TORATI, ZABURI na INJILI. Au kama unaweza kuonesha hizo ni kitabu kingine onesha.Nimekucheka sana tena kwa nguvu, [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ,
Ulisema niende kanisani nikapigwe pesaIvi kwa akili ya kawaida tuu ivi kweli ndo kuabudu huku
Yni mtu na usomi wake lakini ..... bora niishie hapaView attachment 2017630
Embu thibitisha kama hizo ni torati ,zaburi na injili za Allah weka sura moja moja , nipo nasubiriaKazi nimeimaliza cheka uchekavyo lakini najua huna uwezo wa kupinga kuwa hizo siyo TORATI, ZABURI na INJILI. Au kama unaweza kuonesha hizo ni kitabu kingine onesha.
Na najua hutoweza.
(Quran 48:2 - 3)Naona maneno mengi point hakuna
rudi kwenye aya hizi na uniambie wapi kuna uliyosema, yani kuna neno hilo "sema" jibu kwa kutulia usikurupuke
48:2 That allah may forgive you your sins of the past and the future ,
Hana uhakika kwamba atasamehe au hata samehe
Hapa allah akisema na Mwenyezi Mungu awaangamize! ameshindwa ku switch 1st to 3rd au allah anamuomba mungu mwingine?
AT-TAWBA - 30 ................ Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
Usifikiri unajadiliana na mtoto hapa.Hizo aya zote zimejitaja majina ya vitabu.Sasa wewe kama unasema hizo siyo TORATI,ZABURI na INJILI.Embu thibitisha kama hizo ni torati ,zaburi na injili za Allah weka sura moja moja , nipo nasubiria
Unatoa maelezo mengi point zero(Quran 48:2 - 3)
2. Bila shaka Tumekupa ushindi ulio
dhahiri,
3. Ili Mwenyezi Mungu Akufunikie
makosa yako (unayosingiziwa) yali-
yotangulia na yajayo, na kukutimizia
neema Yake na kukuongoza katika njia iliyonyooka.
JIBU NI:
Neno (Tumekupa)ni katika nafsi ya kwanza wingi hali ya umilikishi.
Kwa nini wingi?Kwa sababu kuna mmiliki wa ujumbe na muagizwaji kufikisha ujumbe.
Mmiliki ni Mwenyezi Mungu na muagizwaji ni malaika.
Mfano:Mimi ni mmilika wa kampuni ambaye nimeajiri muhasibu katika kampuni yangu.Nimempa jukumu la kutafuta wateja ili wanunue bidhaa.
Ni dhahiri muhasibu katika kufikisha tangazo hili kwa watu atatumia kauli ya "KAMPUNI YETU) na siyo vinginevyo.Maneno kama TUNATOA,TANAWAJALI ,TUMEWASOGEZEA n.k ndiyo atayatumia muhasibu.
Sasa muhasibu katika mfano huu atakuwa ni mshiriki mwenzangu katika kampuni au ni mtumishi wangu?.
Umeweka Quran 9:30 inaysema:
30. Na Mayahudi wanasema: Uzeir
ni mwana wa Mwenyezi Mungu; na
Wakristo wanasema, Masihi ni mwana
wa Mwenyezi Mungu; hayo ni maneno
ya vinywa vyao tu, wanayaiga maneno
ya wale waliokufuru zamani. Mwenyezi
Mungu Awaangamize! Wanageuzwa
namna gani!
Katika Aya hiyo ya Qur'an 9:30,hakuna swali hapo kwa sababu kanuni nimekupa hapo juu katika maelezo ya ya Qur'an 48:2.
Zingatia Qur'an ni kitabu cha university na siyo chekechea.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Nilitaka uthibishe mwenyewe , nitakuwekea sura nzima katika kila mstari uliochomoa kwenye vitabu vya wenyewe uone kama hutarusha povuUsifikiri unajadiliana na mtoto hapa.Hizo aya zote zimejitaja majina ya vitabu.Sasa wewe kama unasema hizo siyo TORATI,ZABURI na INJILI.
Sasa wewe kama unasema hizo siyo vitabu hivyo vilivyo jitaja,weka hapa hiyo mistari itaje vitabu vingine.
Narudia tena kukwambia kuwa,KAMWE HUTAWEZA KUFANYA HIVYO.
Nakusubiri.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
9:30 - Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!Unatoa maelezo mengi point zero
Koran ni maneno katamka Allah moja kwa moja
Kuna maali anakumbuka anasema 'sema' pengine anasahau, hii ni kuthibitiaha muhandishi wa Koran alikuwa Kuna mda anasahau ku switch anaandika yeye kama yeye, na walio andika Koran kipindi Cha Muhammad walikuwa wakristo maana ndio walikuwa wasomi , Kuna mkristo mmoja alikiri kabisa Muhammad hajui chochote nilicho andika
Turudi hapa nani katamka Aya maneno
48:2 That allah may forgive you your sins of the past and the future ,
Hana uhakika kwamba atasamehe au hata samehe
Hapa allah akisema na Mwenyezi Mungu awaangamize! ameshindwa ku switch 1st to 3rd au allah anamuomba mungu mwingine?
AT-TAWBA - 30 ................ Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
Anae ongea moja kwa moja ni Allah kwanini aseme "ILI mwenyezi Mungu" Allah ni nani na mwenyezi Mungu ni nani?
Uzuri humu wanapita watu wengi na kujua kiwango chako cha ujinga.Unatoa maelezo mengi point zero
Koran ni maneno katamka Allah moja kwa moja
Kuna maali anakumbuka anasema 'sema' pengine anasahau, hii ni kuthibitiaha muhandishi wa Koran alikuwa Kuna mda anasahau ku switch anaandika yeye kama yeye, na walio andika Koran kipindi Cha Muhammad walikuwa wakristo maana ndio walikuwa wasomi , Kuna mkristo mmoja alikiri kabisa Muhammad hajui chochote nilicho andika
Turudi hapa nani katamka Aya maneno
48:2 That allah may forgive you your sins of the past and the future ,
Hana uhakika kwamba atasamehe au hata samehe
Hapa allah akisema na Mwenyezi Mungu awaangamize! ameshindwa ku switch 1st to 3rd au allah anamuomba mungu mwingine?
AT-TAWBA - 30 ................ Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
Anae ongea moja kwa moja ni Allah kwanini aseme "ILI mwenyezi Mungu" Allah ni nani na mwenyezi Mungu ni nani?
Hahaha,kijana jenga hoja na ukosoe hoja kielimu kuandika tu bila hoja ni ujinga ukio pea.
Hafsa hakuandika Qur'an bali Qur'an iloandikwa ilihifadhiwa ndani mwake
Quran iloandikwa kipindi cha mtume kwenye ngozi za wanyama na kwenye magome ya miti ilichapishwa copy baada katika uongozi wa Uthman na ikasambazwa kila kwenye uongozi wa kiislamu mfano yemen na nchi nyingine ndo mpk leo hii tulokua tunayo ndo iyo iyo ilokua kipindi hicho cha mtume
Tatizo hili la kuwaza mambo kwa akili yako tuu kma ww sio muislamu basi ulizia vzr hayo mambo dini yetu haipelekwi kwa matamanio ya mtu bali muongozo upoKama walichapisha copy haiwezi kuwa original kwa sababu zamani hawakuwa na mashine za kutoa copy bali ni waandishi walikuwa wananakili neno moja moja kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Lazima kuna makosa yanaoweza kutokea kwa sababu mbalimbali za kibinadamu kama kusahau, kuchoka, makusudi n.k
Hivi unajua kuwa baada ya moses(hakuwahi kuwepo)kumuua mtumishi wa farao, alikimbilia uarabuni, na huko alioa binti wa kiarabu,, na kwamba babamkwe wa moses alikuwa ni kuhani huko na ndie aliemfundisha moses dini,Kweli kabisa uislamu ni dini ya mungu wala sikupingi but jua kabisa kuwa ya
Kweli Ukristo ni Dini Ya Mungu aliye hai!
Biblia imeweka wazi kwamba Abraham alifundishwa, kumuabudu El na king Melkizedek,, El alikuwa ni pagan deity,, hii maana yake Abraham wakati anatoka Ur hakuwa anajua mungu alienza kuabudu baada ya kufika caanan , hivyo kiufupi haya mambo ya dini tumepigwa, ,Unakijua Taurati kilishushwa kwa mtume gni?
Muhammad kabla hajapewa utume alikua akitumia dini ya nabii ibrahim na watu wa jamii yake wengi waliyaacha mafundisho ya nabii ibrahimu na kuabudu masanamu
Yy alikingwa na Allah toka mwanzo kutokufanya ibada hizo ndo akawa anaenda kwenye pango la hiraa
kma untka Maisha ya mtume nitakupa Audio usikilize tulivofundishwa na masheikh wetu