- Hiyo ya koran na Hadith na Tafsir labda nikufundishe mimi , ukinifundisha unapoteza mda wako
- Hadith nimeicopy kidogo kwenye point yangu ambayo nilitaka kufikisha najua unajua matumizi ya dots kabla na baada
- Hapa umekiri mtu mzima kanyonyeshwa sasa endelea na maswali yangu
- Maswali yangu yalikuwa kama ifuatavyo
- Nani kafuta na wapi kwenye koran tunasoma zilifutwa, Muhammad kafa kaziacha
- Aisha anasema allah alipunguza kunyonyesha mtu mzima kutoka mara 10 kwenda mara 5 na sio kufuta
Sahih-Muslim 1453e:
....I see in the face of Abu Hudhaifa (the signs of disgust) on account of entering of Salim (in the house),
whereupon Allah’s Messenger said Suckle him. She (Sahla bint Suhail) said: He has a beard. But he (again) said: Suckle him, ....
Book 30, Hadith 7..... A'isha umm al-muminin
sent him away while he was being
nursed to her sister Umm Kulthum bint Abi Bakr as-Siddiq and said, "
Suckle him ten times so that he can come in to see me."
Salim said, "Umm Kulthum nursed me three times and then fell ill, so that she only nursed me three times.
I could not go in to see A'isha because Umm Kulthum did not finish for me the ten times."
Verse zilikuwepo
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an
ten clear sucklings, and then five clear (sucklings).
Sahih Muslim 1452a
'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the
Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated
by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
Kumbuka aisha alisema hivi
It was narrated that 'Aishah said:
Sunan Ibn Majah 1944 “The
Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and
a tame sheep came in and ate it.