Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Toka lini Ibris Shetani Lucifer akafanya muujiza?
Kitabu kizima hakina muujiza hata mmoja.
Kinamshindwa hata Mchungaji Mwamposa.
Usisumbuke na hiyo Dini ya
Majini.
Hamna kitu hapo.
Povu ruksa
Siku zte wale wenye chuki na Uislamu Allah huwafanyia wepesi wakasilimu nakuombea kwa.Allah akupe tawfiq uje kusilimu
 
Toka lini Ibris Shetani Lucifer akafanya muujiza?
Kitabu kizima hakina muujiza hata mmoja.
Kinamshindwa hata Mchungaji Mwamposa.
Usisumbuke na hiyo Dini ya
Majini.
Hamna kitu hapo.
Povu ruksa
Uyo mwamposa ana miujiza gni? Au ile ya kuua watu kule moshi? Kma kweli hao wachungaji wenu wangekua wana miujiza wangekua washaiondosha corona hpa Tz

Embu Amkeni basi jmniii
 
Uyo mwamposa ana miujiza gni? Au ile ya kuua watu kule moshi? Kma kweli hao wachungaji wenu wangekua wana miujiza wangekua washaiondosha corona hpa Tz

Embu Amkeni basi jmniii
Kwani Allah haui watu kwa kuwatumia Magaidi wake ?
 
Allah ni kiongozi wa Majini. Yaani Jini Mkuu au huna habari
Tupe ushahidi usiropoke
Yni nyie toka wadgo mnamezeshwa chuki kubwa sana kuhusu Uislamu kwaio ata sishangai ayo unoyasema yte mumerithishwa huko makanisani kwenu
 
Kuna Torati, Injiri na Zaburi.
Nioneshe Zaburi kwenye Qurani yako.
Au Amri Kumi za Torati.
Au Aya moja tu ya Injiri.

Waachie Majini Dini yao.
Jibu maswali yangu usiyakimbie ple juu chap tu ulikua una comment jibu maswali kma kweli ww ni mkweli wa uyasemayo
 
Tupe ushahidi usiropoke
Yni nyie toka wadgo mnamezeshwa chuki kubwa sana kuhusu Uislamu kwaio ata sishangai ayo unoyasema yte mumerithishwa huko makanisani kwenu
Ha...ha...ha
Uspaniki
Mimi siwezi kumchukia kiumbe wa Mungu.
Kwani sijamuumba Mimi.
Majini yanasema Allah ni Mola wao mlezi.
Na Uislamu ni Dini yao kabla ya kumtokea Muhammadi.
Kabla ya Uislamu kuwafikia wanadamu.
Mwanzo kabisa ilikuwa Dini ya Majini.
 
Ha...ha...ha
Uspaniki
Mimi siwezi kumchukia kiumbe wa Mungu.
Kwani sijamuumba Mimi.
Majini yanasema Allah ni Mola wao mlezi.
Na Uislamu ni Dini yao kabla ya kumtokea Muhammadi.
Kabla ya Uislamu kuwafikia wanadamu.
Mwanzo kabisa ilikuwa Dini ya Majini.
Naona ni maneno tuu sioni ushahidi jibu maswali kwa ufasaha
 
Ha...ha...ha
Uspaniki
Mimi siwezi kumchukia kiumbe wa Mungu.
Kwani sijamuumba Mimi.
Majini yanasema Allah ni Mola wao mlezi.
Na Uislamu ni Dini yao kabla ya kumtokea Muhammadi.
Kabla ya Uislamu kuwafikia wanadamu.
Mwanzo kabisa ilikuwa Dini ya Majini.
kwani wewe unajua majini yaliumbwa na Nani?
 
Jibu maswali yangu usiyakimbie ple juu chap tu ulikua una comment jibu maswali kma kweli ww ni mkweli wa uyasemayo
Majini ndiyo maislam ya kwanza kabla ya Muhammadi.
Yanashika nguzo zote za Dini ya Kiislamu kabla ya mtume.
Hadi Leo ni maislamu Safi.

Mimi nitakuwaje nifuate Dini moja na Majini ?
Misikiti yote Majini ndio nyumba Yao ya ibada na yamejaa humo yakiswali.
Mimi nitachanganyikaje humo nayo. Au naongopa.
Huu ndio ukweli.

Poleni hakuna namna.
Mimi siwezi kufuata Dini ya Majini hata Kwa bunduki.
 
Kwani Ibirisi Shetani Lucifer aliumbwa na nani ?
Huyo ndiye aliyeumba Majini
Allah ameumba viumbe vyote HAPA duniani.
Upo SAHIHI kusema majini ni waislam leave wale waliosilimu.maana Mungu anasema
Hakuumba majini na watu ila WAMUABUDU
hata wewe umeumbwa na Allah unatakiwa uwe muislam
 
Majini ndiyo maislam ya kwanza kabla ya Muhammadi.
Yanashika nguzo zote za Dini ya Kiislamu kabla ya mtume.
Hadi Leo ni maislamu Safi.

Mimi nitakuwaje nifuate Dini moja na Majini ?
Misikiti yote Majini ndio nyumba Yao ya ibada na yamejaa humo yakiswali.
Mimi nitachanganyikaje humo nayo. Au naongopa.
Huu ndio ukweli.

Poleni hakuna namna.
Mimi siwezi kufuata Dini ya Majini hata Kwa bunduki.
Yni m naona porojo tuuu na zile chuki zako ulizolishwa ndo unazitapika hpa
Yni sisi waislamu mafundisho ytu ni kua Issa sio mungu wala hajasulubiwa lkn sasa nenda kanisani uone wanavolishwa chuki kuhusu Uislamu. Naongea hili nina uthibitisho nalo kutoka kwa rafiki yangu mmoja ivi ambae si muislamu

Anyway Uislamu ndio Dini ya haqqi ukitaka usitake huo ndo ukweli
 
Allah ameumba viumbe vyote HAPA duniani.
Upo SAHIHI kusema majini ni waislam leave wale waliosilimu.maana Mungu anasema
Hakuumba majini na watu ila WAMUABUDU
hata wewe umeumbwa na Allah unatakiwa uwe muislam
Hata Ibirisi Lusifer aliumbwa ili amwabudu Mwenyezi Mungu
Je hicho ndio kigezo cha kumpenda na kumwamini ?
 
Ushahidi upo
Soma Qurani Sura ya Majini.
Au Kwa Kiarabu
Surat Jinn.
Uone Majini yanavyo tamba na Dini yao ya Kiislamu.
Na Mungu wao Allah.
Yanamwita. Mola Mlezi.
Najua upo mbali sana na Ufahamu wa Qur'an kwaio m swz kumuelimisha mjinga ambae hataki kuelimika
 
Back
Top Bottom