donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Tatizo lako mkuu unabisha tu makusudi kwakua unaona labda wengine hatujafikia literacy level yako ndio unatunyanyasa kwa points zako lakini moyoni unaelewa kabisa kuna mambo sio ya kubishana. Kwaio hauamini kama duniani kuna ulozi (nguvu za Giza)?Nimekuuliza unajuaje hiki ni natural na hiki supernatural?
Na unajuaje kwamba unachofikiri supernatural si natural tu, ila wewe hujakielewa tu?
Unajuaje hii supernatural na hii karata tatu tu?
Tatizo lako hujibu maswali.Tatizo lako mkuu unabisha tu makusudi kwakua unaona labda wengine hatujafikia literacy level yako ndio unatunyanyasa kwa points zako lakini moyoni unaelewa kabisa kuna mambo sio ya kubishana. Kwaio hauamini kama duniani kuna ulozi (nguvu za Giza)?
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Ngoja nimsaidie kijana.Tatizo lako hujibu maswali.
Nguvu ya giza kwa Waswahili humaanisha ni uchawi na uchawi ni hali ya kulibadilisjmha jambo lisilo halisi na lulifanya kuonekana halisi.Nguvu ya giza ni nini na unajuaje hii ni nguvu ya giza si kitu kingine?
Ulozi ni kisawe cha uchawi na maana ya uchawi nimeshaielezea hapo juu.Unajuaje kwamba ulozi ni nguvu za giza?
Atasema ni nguvu za giza sababu haujui uchawi,uchawi unafanya kazi zaidi ya kemia unayo isoma wewe.Mfano, kwa mtu anayejua kemia, akawa na gesi anayoweza kupulizia watu wakafa bila yeye kuwagusa, kwa watu wasiojua kemia, wanaopenda kurahisisha mambo na kuyaita "nguvu za giza" kabla ya kuyaelewa, ni rahisi sana kusema hizo ni nguvu za giza. Wakati ni kemia tu hawajaijua.
Hawawezi kusema ni uchawi endapo sababu wanatakuwa hawajui uchawi ni nini na hawatasema ni uchawi sababu wanajua uchawi ni nini.Babu na bibi zetu waliofariki miaka 200 iliyopita, ukiwarudisha leo ukawaonesha usafiri wa ndege, TV, mawasiliano kwa simu, taa za umeme, magari, wataona uchawi mtupu.
Hiki ni kitu kando,uchawi una mipaka yake.Kumbe ni sayansi inayoelezeka naturally tu.
Unarudia swali moja zaidi ya mara moja.Sasa, na wewe hivyo unavyoviita nguvu za giza, kama vinatokea kweli, unajuaje ni nguvu za giza kweli na si vitu vinavyoelezeka tu bila nguvu za giza, ila wewe tu huvielewi?
Hujajibu swali hili.
Huyu kama unafikiria kidogo hana points katika mambo haya ya uumbaji labda kwenye mambo mengine ila mambo ya kuhusu uumbaji na Mola hana kitu. Mifano yake anayo itoa si halisi na maswali yake mengi ni ya uongo ndiyo maana ukimbana huwa hajibu maswali anarudia rudia maswali na kutokomea.Tatizo lako mkuu unabisha tu makusudi kwakua unaona labda wengine hatujafikia literacy level yako ndio unatunyanyasa kwa points zako lakini moyoni unaelewa kabisa kuna mambo sio ya kubishana. Kwaio hauamini kama duniani kuna ulozi (nguvu za Giza)?
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Unajuaje uchawi upo kweli na si hadithi za kuelezea mambo ambayo yanatokea bila ya uchawi ila watu hawajayaelewa tu?Ngoja nimsaidie kijana.
Nguvu ya giza kwa Waswahili humaanisha ni uchawi na uchawi ni hali ya kulibadilisjmha jambo lisilo halisi na lulifanya kuonekana halisi.
Nguvu isiyo ya giza ni kinyume chake.
Tunaijua nguvu ya giza sababu ina athari hasi.
Ulozi ni kisawe cha uchawi na maana ya uchawi nimeshaielezea hapo juu.
Atasema ni nguvu za giza sababu haujui uchawi,uchawi unafanya kazi zaidi ya kemia unayo isoma wewe.
Atasema nguvu za giza yule asiye ijua nguvu ya giza. Uchaw kitu kingine,usilinganisha na hiyo kemia yenu.
Hawawezi kusema ni uchawi endapo sababu wanatakuwa hawajui uchawi ni nini na hawatasema ni uchawi sababu wanajua uchawi ni nini.
Kingine mifano yako si hai sababu unatolea mifano mambo ambayo hayawezekani leo hii tukikupa kazi uwalete mababu zako wa miaka 200 iliyo pita huwezi. Sasa tutakuuliza umejuaje kama wakija watashangaa na watasema huo ni uchawi ? Sasa kuhoji kunataka elimu na kuchunga mipaka yake. Nimekuonyesha njia tu,ili usiwe unakosea katika kutoa mifano.
Hiki ni kitu kando,uchawi una mipaka yake.
Na ukiambiwa sababu ajabu huondoka.
Unarudia swali moja zaidi ya mara moja.
Nimemsaidia kijana.
Nimeshangaa sana kuona kwamba unasema sijajibu swali.Unajuaje uchawi upo kweli na si hadithi za kuelezea mambo ambayo yanatokea bila ya uchawi ila watu hawajayaelewa tu?
Hujajibu swali hili.
Umeanza na jibu kwamba uchawi upo.
Hili swali nimelijibu labda uniambie nikujibu mara ngapi ?Unajuaje uchawi upo kweli na si hadithi za kuelezea mambo ambayo yanatokea bila ya uchawi ila watu hawajayaelewa tu?
Unaweza kuthibitisha hiki ni uchawi na si hadithi kwamba ni uchawi tu?Nimeshangaa sana kuona kwamba unasema sijajibu swali.
Kama umekiri ya kuwa ni nimeanza na jibu la kuwa uchawi upo halafu unasema sijajibu swali hiki ni kituko.
Uchawi ni uhalisia ndiyo maana nikaweza kutofautisha kati ya Sayansi ya Majaribio na Uchawi.
Hili swali nimelijibu labda uniambie nikujibu mara ngapi ?
Mambo yanayo tokea bila uchawi si uchawi hayo mi mambo mengine na yana utaratibu wake.
Ngoja nikuulize naona unarudia nilichokujibu huko mwanzo. Hivi ulielewa nilichokiandika huko juu au hujasoma maana ungekuwa umesoma na kuelewa usingeuliza swali hili.Unaweza kuthibitisha hiki ni uchawi na si hadithi kwamba ni uchawi tu?
je unajua ubongo na nervous system inavyofanya kazi . Brain is a big black boxKuna phenomenon ambazo kwa hali ya kawaida si kawaida. Mfano mambo kama ya mizimu etc. Hivi kwa mfano mtu anapandisha mashetani msikitini au kanisani (unaona kabisa huyu mtu yuko possessed) hii kitu ni kawaida kwako? Mtu kurogwa ni mambo ya kawaida? Umelala kitandani unaamka asubuhi uko chini ya mti, unahisi kuna nini kimeinfluence hiyo kitu?
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Ibrahim,Ishmael,isihaka ,yakobo n.kSijui Adam alisilimu kwa nani na Mtume wake alikuwa nani wakati Muhammad (S.A.W) hakuwepo [emoji23]
Unathibitishaje huu ni uchawi na si kitu kingine chochote ambacho si uchawi?Ngoja nikuulize naona unarudia nilichokujibu huko mwanzo. Hivi ulielewa nilichokiandika huko juu au hujasoma maana ungekuwa umesoma na kuelewa usingeuliza swali hili.
Kama jambo hujaelewa bora uuliza kabla ya kulijengea hoja. Maana kwa maana ya ile niliyotoa usingerudia swali.
Kwaio hili swali wakristo nyoooteee mumeshindwa kulijibu?SWALI
Mktisto yeyote anaweza jibu ila ustaarabu aweke mbele
1.Ni wapi katika bible Mungu anasema hiki ni kitabu changu?
2.Ni wapi katika bible Mungu anasema hiki ni kitabu kisicho na Shaka ndani yake?
Kwanini unarudia swali ambalo nimeshalijibu ? Unapenda kupoteza muda au kupotezea watu muda ?Unathibitishaje huu ni uchawi na si kitu kingine chochote ambacho si uchawi?
Yeye ndiyo atapaswa kututhibitishia ya kuwa hakuna uchawi na atapaswa kututhibitishia ya kuwa uchawi ni hadithi za watu wasio na umakini wa kutafuta vyanzo halisi vya vitu.Mtu akikwambia hakubali kwamba uchawi upo, anaona habari za uchawi kuwapo ni hadithi tu za watu wasio na umakini wa kutafuta vyanzo halisi vya vitu.
Utamuhakikishiaje kwamba kitu fulani ni uchawi na si chochote kingine?
Unachofanya ni hide and seek , ulianza kusema nithibitishe warak alikuwa mkristo, hii inamaana ulikuwa hujui warak alikuwa mkristo ,ulivyo ona nimethibitisha unaanza kuruka ruka na kubadili mada , kasome kwanza ili tukijadili utakuwa uulizi maswali ya kitotoMpaka muda huu una ruka ruka hujaonyesha Waraqah ameandika aya gani na hili huwezi mpaka unakufa.
Huyi mkristo wa mwanzo alikuwa muongi ndiyo maana alipata laana ya Allah.
Kuwa kwangu Mtupu hakukufanyi wewe ukawa sahihi katika unachokileta yaani unazidi kuwa muongo na uongo wako naufichua na hujawahi kupatia.
Suala la kukutaka wewe uthibitishe ya kuwa Waraqah alikuwa Mkristo ni kwamba huwezi kuepuka kuthibitisha ya kuwa Waraqah ni kati ya watu wa mwanza kuona ishara za utume kwa Mtume Muhammad,hii inaonyesha ya kuwa wewe si msomaji na si muadilifu ndiyo maana ukaona la kuwa Waraqah ni Mkristo ila kumkubali Mtume hukuliona. Ndiyo maana hona zako huwa mfu na zenye kukosa mashiko.
Nasubiri uniwekee aya ambazo Waraqah alimuandikia Mtume.
Allah na muhammad uwa wanakata shauri au hawakati? wanakubaliana au hawakubaliani?Sasa hii aya ina mafungamano gani na hilo tukio la huyo Mkristo ? Kwani Mkristo ni Muumini ?
Usha wapa somo hao na hawakuwezi, wanashindwa tu kusema umewashinda.Allah na muhammad uwa wanakata shauri au hawakati? wanakubaliana au hawakubaliani?
Koran 33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Huo muongozo wa kuthibitisha huu ni uchawi na si vinginevyo umeutoa wapi?Kwanini unarudia swali ambalo nimeshalijibu ? Unapenda kupoteza muda au kupotezea watu muda ?
Yeye ndiyo atapaswa kututhibitishia ya kuwa hakuna uchawi na atapaswa kututhibitishia ya kuwa uchawi ni hadithi za watu wasio na umakini wa kutafuta vyanzo halisi vya vitu.
Kuhusu kuhakikisha huu ni uchawi na si vinginevyo nimeshatoa muongozo na humu ndani niliwahi kugusia.
Hakuna sehemu niliyo badilisha nilikuuliza maswali mawili kuhusu Waraqah. Umetaka ushahidi nmekuwekea ulisema huko mwanzo kwamba Wakristo waliandika Qur'aan nimekuomba uniambie Waraqah aliandika aya gani ? Sasa usiseme nabadilsha mada kijana.Unachofanya ni hide and seek , ulianza kusema nithibitishe warak alikuwa mkristo, hii inamaana ulikuwa hujui warak alikuwa mkristo ,ulivyo ona nimethibitisha unaanza kuruka ruka na kubadili mada , kasome kwanza ili tukijadili utakuwa uulizi maswali ya kitoto
Hili limekusbinda.Allah na muhammad uwa wanakata shauri au hawakati? wanakubaliana au hawakubaliani?
Koran 33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Kwanza usiende huko mbali. Huko mwanzo nimekuelezea juu ya uchawi na kuonyesha utofauti kati ya uchawi na usio kuwa uchawi. Soma ueleweHuo muongozo wa kuthibitisha huu ni uchawi na si vinginevyo umeutoa wapi?
Kuna thread, link, post number?
Weka habari kwa ushahidi na detail tuchambue, si kwa kuandika jumlajumla tu.
Safi kabisa,thibitisha kama kuna kitu cha uongo nimeandika. Naona unazikimbia hoja zangu hukosoi hoja.Unaweza kujionq umeandika muongozo, kumbe ukaoneshwa ni uongo.
Sasa kama umeshindwa tu kuelewa maana ya uchawi na umeshindwa kukosoa na umeshindwa kuonyesha ya kuwa Uchawi haupo bali ni hadithi tu. Huu ni utoto unaleta,na usikimbie maswali.Weka link, weka post number tujadili neno moja baada ya jingine.
Kwenye ujumla unapata matawi na nimekuwekea wazi kila kitu unashindwa kuvunja hoja unaruka ruka.Usipende kuandika mambo jumlajumla bila detail..