Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Hili limekusbinda.

Unatakiwa ujibu maswali haya.

1. Mtume alishiriki vipi kufukua kaburi ?

2. Waraqah aliandika aya gani ?
Hakuna kitendo kilikuwa kinafanyika bila wao kukubaliana , hilo nimemaliza
 
Hakuna kitendo kilikuwa kinafanyika bila wao kukubaliana , hilo nimemaliza
Hili huwezi kulimaliza mpaka unakufa.

Nasubiri majibu kwa nilicho kuuliza. Hatuendelei mbele mpaka ujibu hayo maswali.

Aya gani alizo ziandika Waraqah na Mtume alishiriki wapi kufukua Kaburi ?

Shukrani.
 
Hili huwezi kulimaliza mpaka unakufa.

Nasubiri majibu kwa nilicho kuuliza. Hatuendelei mbele mpaka ujibu hayo maswali.

Aya gani alizo ziandika Waraqah na Mtume alishiriki wapi kufukua Kaburi ?

Shukrani.
Hawezi kukujibu uyo KAFIRI mna hana hoja thabiti
 
Hili huwezi kulimaliza mpaka unakufa.

Nasubiri majibu kwa nilicho kuuliza. Hatuendelei mbele mpaka ujibu hayo maswali.

Aya gani alizo ziandika Waraqah na Mtume alishiriki wapi kufukua Kaburi ?

Shukrani.
Nenda kasome pale ambapo warak alipo kufa nini kilitoke kwenye Koran , alafu ndio urudi kuuliza tena

Ilo la kaburi kufukuliwa nimeshamaliza , Allah anasema wanakubaliana jambo na Muhammad kwanza kabla halijafanyika, ndio maana ukiona ata swala la umalaya (mutah) walikubaliana badae kwenye Hadith Muhammad akaja kulifuta ila kwenye Koran bado lipo na mnamfuata Muhammad kwamba yeye alikuja kukataza
 
Nenda kasome pale ambapo warak alipo kufa nini kilitoke kwenye Koran , alafu ndio urudi kuuliza tena

Ilo la kaburi kufukuliwa nimeshamaliza , Allah anasema wanakubaliana jambo na Muhammad kwanza kabla halijafanyika, ndio maana ukiona ata swala la umalaya (mutah) walikubaliana badae kwenye Hadith Muhammad akaja kulifuta ila kwenye Koran bado lipo na mnamfuata Muhammad kwamba yeye alikuja kukataza
Ulisema Waraqah ni katika Wakristo walio andika Qur'aan. Maana yake aliandika kabla hajafa,sasa ndiyo nataka utuambie ameandika aya gani.

Kuhusu suala la kufukua kaburi maneno haya uliyaandika wewe na mimi nakuuliza maswali kwa kile ulicho kiandika wewe mwenyewe. Sasa ndiyo utupe na ushahidi wapi Mtume alifukua kaburi.

Ama aya unayo itumia inawahusu waumini sasa swali huyo Mkristo alikuwa muumini ?

Hakuna kukimbia maswali.
 
Wewe unapinga Koran na hadith toka mwanzo nilisha kwambia wewe sio muislamu, ukiwekewa maandiko unasema yatupwe kwenye Dustbin
Dini yangu inanikataza kujadiliana na mtu mjinga asiekua na Elimu
Huna hoja zaidi ya porojo ndo mna nakudharau ila ukitaka kuelimishwa Uislamu we sema uelimishwe
 
Ulisema kafiri haendi mbinguni nikakuumbua kwa maneno ya Allah kwamba wanapenda
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] KAFIRI maafikio yke ni Motoni tuu we endelea na ukafiri wako ukifa ndo utajua ipi ni mbichi na ipi mbivu.
 
Ulisema Waraqah ni katika Wakristo walio andika Qur'aan. Maana yake aliandika kabla hajafa,sasa ndiyo nataka utuambie ameandika aya gani.

Kuhusu suala la kufukua kaburi maneno haya uliyaandika wewe na mimi nakuuliza maswali kwa kile ulicho kiandika wewe mwenyewe. Sasa ndiyo utupe na ushahidi wapi Mtume alifukua kaburi.

Ama aya unayo itumia inawahusu waumini sasa swali huyo Mkristo alikuwa muumini ?

Hakuna kukimbia maswali.
Nini kilitokea kwenye Koran baada ya warak kufa , Yani kwa sasa nataka utumie akili sita ku spoon feed , kwa nini kilitokea kwenye Koran? Na kwa nini muhammad alikuwa kichaa akataka kujiua baada ya hicho kilicho tokea kwenye koran
 
Ulisema kafiri haendi mbinguni nikakuumbua kwa maneno ya Allah kwamba wanapenda
ushasikia ww kwaio jiandae tuu na kma huutaki moto fanya Usilimu
20211206_095407.jpg
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] KAFIRI maafikio yke ni Motoni tuu we endelea na ukafiri wako ukifa ndo utajua ipi ni mbichi na ipi mbivu.
Ndio maana nakuita wewe sio muislamu maana unampinga Allah , ukiacha kumpinga Allah ndio uje tujadiliane
 
Ndio maana nakuita wewe sio muislamu maana unampinga Allah , ukiacha kumpinga Allah ndio uje tujadiliane
Huna hoja ww Uyo Allah humjui hlf utamuelezea vipi Allah usomjua
Nimekuekea Aya hpo isome vzr
 
Huna hoja ww Uyo Allah humjui hlf utamuelezea vipi Allah usomjua
Nimekuekea Aya hpo isome vzr
Hujui Uislamu kabisa, allah ndie anapanga nani aende motoni na nani aende peponi toka wakiwa tumboni mwa mama zao nenda kasome ILI usilete utoto watu wazima tukiwepo
...And by Allah, a person among you (or a man) may do deeds of the people of the Fire till there is only a cubit or an arm-breadth distance between him and the Fire, but then that writing (which Allah has ordered the angel to write) precedes, and he does the deeds of the people of Paradise and enters it; and a man may do the deeds of the people of Paradise till there is only a cubit or two between him and Paradise, and then that writing precedes and he does the deeds of the people of the Fire and enters it." Sahih al-Bukhari 6594
 
Dini yangu inanikataza kujadiliana na mtu mjinga asiekua na Elimu
Huna hoja zaidi ya porojo ndo mna nakudharau ila ukitaka kuelimishwa Uislamu we sema uelimishwe
Ndi ujifunze na ujue kwamba Muhammad alikuwa hajui kosoma na kuandika , kabla huja comment
 
ushasikia ww kwaio jiandae tuu na kma huutaki moto fanya UsilimuView attachment 2034653
Naendelea kukufunza , mtoto mdogo wa kiislam alikufa Muhammad alienda kwenye msiba , Aisha alamwambia Muhammad huyu mtoto mchanga ataenda mbinguni maana ni muislamu na hajawahi kufanya dhambi , Muhammad akamwambia inaweza kuwa tofauti na akaenda motoni kwani Allah anapanga wa motoni na WA peponi kabla hawajazaliwa
  • A'isha, said Allah's Messenger, there is happiness for this child who is a bird from the birds of Paradise for it committed no sin nor has he reached the age when one can commit sin. He said: 'A'isha, it may be otherwise, because Allah created for Paradise those who are fit for it while they were yet in their father's loins and created for Hell those who are to go to Hell. He created them for Hell while they were yet in their father's loins. Sahih Muslim 2662c
Kijana unaelekea madrasa ulikuwa una kariri tu hujui kitu kuhusu Uislamu
 
Yani mm nikibishana na mjinga hua nampa Ushindi

Anomwambia mwenzake hajui kosoma yy iyo kosoma hajui kuiandika hlf anajikuta anajua kosoma [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
We jiandae tuu na [emoji91][emoji91][emoji91] sina mda na ww bhna endelea na umbumbumbu wako

"kusoma" inaandikwa hivi umesikia sio kosoma
 
Yani mm nikibishana na mjinga hua nampa Ushindi

Anomwambia mwenzake hajui kosoma yy iyo kosoma hajui kuiandika hlf anajikuta anajua kosoma [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
We jiandae tuu na [emoji91][emoji91][emoji91] sina mda na ww bhna endelea na umbumbumbu wako

"kusoma" inaandikwa hivi umesikia sio kosoma
Nikisha ona mtu anajikita kwenye spelling najua sindano imeingia deep, unapiga kelele unakuta Allah kashakuandikia motoni toka tumboni
 
ushasikia ww kwaio jiandae tuu na kma huutaki moto fanya UsilimuView attachment 2034653
Anae panga watu wapotee ni allah mwenyewe , ansema yeye ndio anawaandikia wa kupotea na atakao wapeleko peponi, soma sana kijana rudi madrasa kapambane

  • Koran 18:17 ............ Na anaye muacha kupotea basi hutampatia mlinzi wala mwongozi.
  • Koran 17:97 .............Na anaye wapotoa basi huto wapatia walinzi badala yake. Na tutawakusanya Siku ya Kiyama........Na makaazi yao ni Jahannamu.............
  • Koran 7:178 Whoever Allah guides - he is the [rightly] guided; and whoever He sends astray1 - it is those who are the losers.
  • Koran 28:56 Kwa hakika wewe humwongoi umpendaye, lakini Allah humwongoa amtakaye
  • Koran 5:41............... Hao ndio ambao Allah hataki kuzitakasa nyoyo zao. Watakuwa na hizaya duniani, na Akhera watakuwa na adhabu kubwa.
  • Koran 16:37 Hata ukiwa na pupa ya kutaka kuwaongoa, lakini Allah hamwongoi yule anaye shikilia kupotea.
  • Koran 6:125 Basi yule ambaye Allah .................,..... anaye taka apotee hukifanya kifua chake kina dhiki,
 
Back
Top Bottom