Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Ivi nikikuuliza waitwa nani ww utaanza kusema muhammad kafanya ivi na vile we jibu swali uloulizwa
Najua ilo swali huwezi lijibu mpk unakufa
 
Ivi nikikuuliza waitwa nani ww utaanza kusema muhammad kafanya ivi na vile we jibu swali uloulizwa
Najua ilo swali huwezi lijibu mpk unakufa
Jibu zuri ambalo unatakiwa kwa Imani Yako ulikubali haraka ni hili la Muhammad
muhammad akasema aletewa kitabu kinaitwa torah akaweka mkono juu ya kitabu akasema nakiamini na naamini alie kidhihirisha
...........Bring the Torah. It was then brought. He then withdrew the cushion from beneath him and placed the Torah on it saying: I believed in thee and in Him Who revealed thee ...... Sunan Abi Dawud 4449
 
Ivi nikikuuliza waitwa nani ww utaanza kusema muhammad kafanya ivi na vile we jibu swali uloulizwa
Najua ilo swali huwezi lijibu mpk unakufa
Alafu, Allah umeona amekwambia usipo tenda dhambi anakuua , he will kill you
 
Mubarridi Consensus ad idem
Katika list hii point ya kwanza nimeshawaweka sawa niende ya pili au bado mnataka ushahidi wa wakristo kuandika Koran

  • Nimethibitisha kwa kutumia maandiko yenu Koran ilikuwa inaandikwa na wakristo, na mkristo mmoja akasema muhammad hajui chochote nilicho muandikia
  • Koran imechanganya historia kubwa ikiwa inadai isa ndio Yesu Yani mpaka jina haijulikani Muhammad katoa wapi
  • Koran imeandikwa kutoka kwa Hafs , Hafs alikuwepo miaka 200 baada ya marehemu Muhammad
  • Koran ilipangwa surah zake upya baada ya Muhammad ,maana waliona matukio hayaendi kwa mtiririko , mfano niliweka kupasua mwezi na badae Allah anasema tena Muhammad hana muujiza
  • Surah mbili kubwa kunyofolewa kwenye Koran , ya kupiga mawe na kunyonyesha mtu mzima, hii tumeona muhammad alipo kufa surah zililiwa na mbuzi na badae zikatolewa,
 
Jibu zuri ambalo unatakiwa kwa Imani Yako ulikubali haraka ni hili la Muhammad
muhammad akasema aletewa kitabu kinaitwa torah akaweka mkono juu ya kitabu akasema nakiamini na naamini alie kidhihirisha
...........Bring the Torah. It was then brought. He then withdrew the cushion from beneath him and placed the Torah on it saying: I believed in thee and in Him Who revealed thee ...... Sunan Abi Dawud 4449
Ivi ww una miaka mingapi?

Unaishi wapi?

Jibu hayo maswali nione ufahamu wako
 
Kwa sababu kabla ya kufikia maswali yako unazusha maswali yangu unayotakiwa kujibu.

Nakuuliza uthibitishe uchawi upo, unanitajia maneno ya Allah kama uthibitisho.

Huyo Allah unaweza kuthibitisha yupo?
Nimekuuliza hili la kuthibitisha nilifanue mara ngapi ?

Na kwanini hujibu maswali niliyo kuuliza ? Huko mwanzo baada ya kuonyesha uchawi upo nilikutaka wewe ukanushe na utuonyeshe ya kuwa Uchawi haupo hili hujalifanya na najua huwezi huwezi kulifanya sababu hujui uchawi ni nini ?!
 
Mubarridi Consensus ad idem
Katika list hii point ya kwanza nimeshawaweka sawa niende ya pili au bado mnataka ushahidi wa wakristo kuandika Koran

  • Nimethibitisha kwa kutumia maandiko yenu Koran ilikuwa inaandikwa na wakristo, na mkristo mmoja akasema muhammad hajui chochote nilicho muandikia
  • Koran imechanganya historia kubwa ikiwa inadai isa ndio Yesu Yani mpaka jina haijulikani Muhammad katoa wapi
  • Koran imeandikwa kutoka kwa Hafs , Hafs alikuwepo miaka 200 baada ya marehemu Muhammad
  • Koran ilipangwa surah zake upya baada ya Muhammad ,maana waliona matukio hayaendi kwa mtiririko , mfano niliweka kupasua mwezi na badae Allah anasema tena Muhammad hana muujiza
  • Surah mbili kubwa kunyofolewa kwenye Koran , ya kupiga mawe na kunyonyesha mtu mzima, hii tumeona muhammad alipo kufa surah zililiwa na mbuzi na badae zikatolewa,
Nasubiri majibu ya maswali yangu mawili. Silei ujinga. Maneno uliyasema mwenyewe ajabu unashindwa kuyathibitisha.

Wewe ruka ruka ila hakuna kwenda nukta nyingine mpaka ujibu maswali niliyo kuuliza.
 
Nasubiri majibu ya maswali yangu mawili. Silei ujinga. Maneno uliyasema mwenyewe ajabu unashindwa kuyathibitisha.

Wewe ruka ruka ila hakuna kwenda nukta nyingine mpaka ujibu maswali niliyo kuuliza.
Kwa uelewa wako wakristo wangapi wameandika Koran? Tuanze hapa kwanza
Issue ilikuwa Mimi nithibitishe na nimefanya hivyo , embu twende point ya pili nithibitishe
 
Ivi ww una miaka mingapi?

Unaishi wapi?

Jibu hayo maswali nione ufahamu wako
Unaanza kutisha watu ila najua Muhammad na Allah walisema mtaua wakristo wote na wayahudi mpaka mawe yatawasaidia ila ni kochekesho Allah alikuwa hana ufahamu na dini zingine.

Allah's Messenger (ﷺ) said, "The Hour will not be established until you fight with the Jews, and the stone behind which a Jew will be hiding will say. "O Muslim! There is a Jew hiding behind me, so kill him."Sahih al-Bukhari 2926
 
Kwa uelewa wako wakristo wangapi wameandika Koran? Tuanze hapa kwanza
Issue ilikuwa Mimi nithibitishe na nimefanya hivyo , embu twende point ya pili nithibitishe
Ruka ruka tu nasubiri majibu ya maswali yangu.

Suala la Wakristo kuandika Qur'aan umelileta wewe sasa ajabu unashindwa wap ikutuambia Waraqah aliandika Qur'aan na unashindwa vipi kututhibitishia ya kuwa Mtume alifukua kaburi ?!
 
Hawakuwa na Dini kwasababu hakukuwa na Dini. Dini ni mfumo wa Ibada uliokuja kuwekwa na wanadamu wakiwepo waasisi wa hizo Dini kama Yesu Kristo - Ukristo, Muhammad - Uislam.

Hao uliowataja walikuwa Manabii wa Mungu wasiokuwa na Dini yoyote.

Haya nijibu kuwa Adam na Ibrahim walisilimu kwa shahada ipi?
Kwani Mungu wa Adam na Ibrahim na Muhammad na YESU NI TOFAUTI?
 
Ha ha ha, eti Uislam ni Dini ya Mungu, Unamaanisha nini? we Umeambiwa Al-Lah ni Mungu wa Maqureish aliwekwa Kaaba na walikuwa wanafanyia matambiko hapo, hawakuwa na dini wala kitabu, na walitamani nao wapate vitabu kama vya wayahudi na wakristo (ambavyo vilikuwepo) ili angalau na wao waheshimike ndio wakaja na hizo storry za dini sijui ya Ibrahimu na Adam, blah blah blah! hakuna kitu hapo, we uliona wapi mtu hata hujazaliwa unaambiwa eti ushajulikana kama utaenda motoni!! yaani uislam ni dini ya vitisho vya "moto, moto, moto" tu wa Jehanamu, wakati fundisho la moto wa Jehanamu ni la kipagani, linatokana na neno "Gehanoni" Kwa kiyahudi ni Jalalani au Dampo, kunakochomwa takataka na mizoga, na Mitume walilitumia neno hilo kama mifano tu ya wale wasiotenda wema kwamba nafsi zao zitakuwa zimeangamia kama mizoga inayochomwa "Gehanoni" au dampo, wacheni kujinyima amani na kuishi maisha ya kufikirika kuliko uhalisia, we ukifa ndio ume expire na habari zako kwaisha, hakuna cha adhabal, kabri wala nini, ni vitisho tu. Mtume mwenyewe aliwahi kuulizwa na maswahaba wake, "Je mtu aliyekufa hujisikia vipi?" akajibu "Ni sawa na mtu aliyelala usingizi fo fo fo" sasa aliyelala atapataje tena kusikia adhabu za kaburini!? Mafundisho mengi ya Dini hizi zote ni ya kubuni tu, ila Mungu yeye yupo na anatuchora tu.
Nikuulize swali MOJA Kwanza.
Wewe umetoka wapi?
Namaanisha kabla haujazaliwa ulikuwa wapi?
 
Nimekuuliza hili la kuthibitisha nilifanue mara ngapi ?

Na kwanini hujibu maswali niliyo kuuliza ? Huko mwanzo baada ya kuonyesha uchawi upo nilikutaka wewe ukanushe na utuonyeshe ya kuwa Uchawi haupo hili hujalifanya na najua huwezi huwezi kulifanya sababu hujui uchawi ni nini ?!
Wapi umeonesha uchawi upo?

Mpaka sasa.

1.Hujathibitisha uchawi upo.

2.Umetaka kuthibitisha uchawi upo kwa kutumia maneno ya Allah, nikakutaka uthibitishe Allah yupo.
Hujathibitisha huyo Allah yupo.

Kwa hiyo, umejiongezea kazi ya kuthibitisha.

Badala ya kuthibitisha uchawi upo tu, sasa hivi unatakiwa kuthibitisha uchawi upo na Allah yupo.

Hujathibitisha lolote kati ya mawili haya.

Thibitisha uchawi upo.

Thibitisha Allah yupo.
 
Back
Top Bottom