Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Kumuabudu Mungu mmoja tu ndio tayari ni Uislam? Vipi kushuhudia ya kuwa Mtume Muhammad ndiye Mtume wa Allah?nakuonesha KUWA Mungu alikuwepo kipindi chote hicho.
Na yeye ndo alikuwa anatuma mitume na manabii kwa watu.
Manabii wote na mitume wote ujumbe ulikuwa NI kumuabudu Mungu MMOJAView attachment 2035388