Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Ile niliyo kuquote mara ya kwanza. Unapenda kupoteza muda kwenye hakuna.
Hii ndiyo tofauti yangu mimi na wewe.

Mimi nakwenda kwa hesabu, namba, kitu kinachohakikika.

Ukisema post namba fulani hilo hal8na ubishi.

Kila mtu anayefustilia mjadala ataona kirahisi kabisa hii ni post namba fulani.

Wewe hujui kuhesabu.

You are innumerate.

Innumerate.
 
Aya ya 3.
Sema Kama wewe sio binadamu
Ulimuona??
Screenshot_20211208-125535.jpg
 
hawana hoja hawa ety picha za michoro [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mwezi uliopita huko Pakistan,
mtu kauwawa kwa kupigwa na kumwa moto kwa kutamka kuwa hamwamini Mtume wenu Muhammadi.
Matukio ya kuchinjwa kwa kuto kubaliana na Muhammadi Uislamu ni mengi sana na yanaendelea kutokea kila kukicha.

Salmin Rushdie badala ya kumjibu kwa hoja yake amehukumiwa Kuchinjwa popote atakapotiwa mbaroni na Waislamu.

Dini yenu ni Mashaka matupu, mtu akiihoji tu kinyume na mnavyotaka ahoji, bila ulinzi ni lazima mumchinjwe.

But Why ?
 
Kwanini unarudia swali ambalo nimeshalijibu ? Unapenda kupoteza muda au kupotezea watu muda ?

Yeye ndiyo atapaswa kututhibitishia ya kuwa hakuna uchawi na atapaswa kututhibitishia ya kuwa uchawi ni hadithi za watu wasio na umakini wa kutafuta vyanzo halisi vya vitu.

Kuhusu kuhakikisha huu ni uchawi na si vinginevyo nimeshatoa muongozo na humu ndani niliwahi kugusia.
That is not how it works, mwenye madai ya kua jambo fulani lipo ndio mwenye wajibu wa kuthibitisha.

Scientifically you can not prove a negative, na ndio maana kuna burden of proof which lays on your side
 
Mwezi uliopita huko Pikistan,
mtu kauwawa kwa kupigwa na kumwa moto kwa kutamka kuwa hamwamini Mtume wenu Muhammadi.
Matukio ya kuchinjwa kwa kuto kubaliana na Muhammadi Uislamu ni mengi sana na yanaendelea kutokea kila kukicha.

Salmin Rushdie badala ya kumjibu kwa hoja yake amehukumiwa Kuchinjwa popote atakapotiwa mbaroni na Waislamu.

Dini yenu ni Mashaka matupu, mtu akiihoji tu kinyume na mnavyotaka ahoji, bila ulinzi ni lazima mumchinjwe.

But Why ?
Ndo mna mnaamini kumbe hamjui sbr sasa nikufundishe
Kuna watu wameuvamia Uislamu ili wauchafue mfno hao unosema huko pakistan ayo makundi yte hyo wanojiita makundi ya jihad like IS,boko haram yte hyo hayamo ktka mafundisho ya kiislamu bali ni watu walopnga njama ili Uislamu uonekane uko ivo lkn si kweli

Kma hujafahamu nambie
 
Lucifer hawezi kuwa na sifa ya UMUNGU.
Mungu hakuumbwa , Lucifer ameumbwa.
Mungu ameumba viumbe Lucifer hakuumba kiumbe chochote.
  • Allah anasema wale ambao hawaamini amewapambia vitendeo vyao vibaya , yani wavione vizuri na wanababaika humo
    • 27:4....Sisi tumewapambia vitendo vyao kwa kuwaumbia matamanio ndani yake. Kwa hivyo wao wanababaika humo katika upotovu wao
  • Allah anasema tena shetani anawapambia vitendo vibaya wavione vizuri
    • 6: 43..... Bali zikaendelea nyoyo zao katika ugumu wao, na Shetani akawapambia vile vitendo vyao vibaya, (wakaviona vizuri).
 
Tatizo lako mkuu unabisha tu makusudi kwakua unaona labda wengine hatujafikia literacy level yako ndio unatunyanyasa kwa points zako lakini moyoni unaelewa kabisa kuna mambo sio ya kubishana. Kwaio hauamini kama duniani kuna ulozi (nguvu za Giza)?

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Mkuu nadhani kuna point ambayo mnapishana na jamaa hapo, nimefatilia mjadala wenu vizuri na mimi nilikua na machache ambayo ningependa kushare

Swala la uchawi (supernatural) ni dhana ambayo haina taswira yeyote ya uhalisia ni tricks tu ambazo zinafundishika bila kuhusisha nguvu yeyote ya kimiujiza kama ambavyo wewe unafikiria

Huu mjadala wa kuhusu uchawi na habari zake kuhusishwa na uhalisia hazijaanza leo, James Randi magician maarufu alikuja kukata mzizi wa fitina juu ya ubishani huu.

James Randi ali offer $1Million kwa yeyote atakayeweza kuthibitisha uchawi upo, lakini hakuna aliyeweza.

Bilashaka unaweza kufikiria kua shindano hilo lingeweza kupatiwa suluhu na kuthibitisha uchawi upo endapo wangeweka muda wa kutosha utao saidia kufanya shindano li-trend ili ujumbe usambae world wide kuwafikia manguli wa kichawi?

Lakini vipi nikikuambia kua shindano hilo lili dumu kwa miaka zaidi ya 50?

Au utasema kwamba wachawi nguli wengi walikua wanaishi nchi za mbali walishindwa kushiriki hilo shindano?

Wait.... Kwanini wasipae na ungo mpaka America kushiriki shindano? wouldn't work would it?

Sasa unataka tukubali vipi kua uchawi upo kama ambavyo watu mnataka tuamini ikiwa kuthibitisha imeshindikana?
 
Ndo mna mnaamini kumbe hamjui sbr sasa nikufundishe
Kuna watu wameuvamia Uislamu ili wauchafue mfno hao unosema huko pakistan ayo makundi yte hyo wanojiita makundi ya jihad like IS,boko haram yte hyo hayamo ktka mafundisho ya kiislamu bali ni watu walopnga njama ili Uislamu uonekane uko ivo lkn si kweli

Kma hujafahamu nambie
  • I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
  • Koran 5.33 The punishment of those who wage war against Allah and Muhammad and strive to make mischief in the land is only this, that they should be murdered or crucified or their hands and their feet should be cut off on opposite sides or they should be imprisoned;
 
That is not how it works, mwenye madai ya kua jambo fulani lipo ndio mwenye wajibu wa kuthibitisha.
Umetumia kanuni gani kusema hili ? Atatakiwa yeye athibitishe pindi atakapo ombwa ithibati kabla ya muombaji ithibati hajakanusha.

Elimu ya mijadala mmejifunzia wapi ?

Sasa naposema uchawi upo wewe ukasema haupo. Nani anapaswa kuthibitisha kwanza ?

Nikisema uchawi upo. Kisha ukasema thibitisha,hapo nitapswa mimi kuthibitisha. Sasa mfano mwenzako haujui uchawi hata kwa kiarifisho chake ajabu anaukanusha. Sasa hii akili au matope ?
Scientifically you can not prove a negative, na ndio maana kuna burden of proof which lays on your side
Sasa nani alikwambia kila chenye ithibati kinapimwa na hatua za kisayansi ? Sayansi dhaifu sana hapa tunaongelea uhalisia siyo ngano na visasili vya Sayansi. Kanuni za mjadala zinataka uhalisia.
 
  • I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
  • Koran 5.33 The punishment of those who wage war against Allah and Muhammad and strive to make mischief in the land is only this, that they should be murdered or crucified or their hands and their feet should be cut off on opposite sides or they should be imprisoned;
Ndo umemaanisha nn baada ya copy na paste zako?
 
Hii ndiyo tofauti yangu mimi na wewe.

Mimi nakwenda kwa hesabu, namba, kitu kinachohakikika.
Sijui shida iko wapi ? Kwenye uzi huu unakumbuka nilipi kuquote kwa mara ya kwanza ? Sasa ungekuwa makini ungekuwa usharejea na sasa hivi tungekuwa tuna jadili majibu yangu sababu ni muogoa unaendelea kupoteza muda kwenye hakuna.
Ukisema post namba fulani hilo hal8na ubishi.
Marejeo hufanywa kwa njia nyingi siyo namba tu hat anuani ya mada au wapi pa kupata mada hiyo. Shida iko wapi ?
Kila mtu anayefustilia mjadala ataona kirahisi kabisa hii ni post namba fulani.
Hata hili nililolisema kadhalika akifatilia ataona kirahisi,ndiyo maana nikasema urejee kule ambapo nimeku quote kwa mara ya kwanza kwenye uzi huu.
Wewe hujui kuhesabu.
Tatizo lingine hili.
You are innumerate.

Innumerate.
Kwa Kiswahili maana yake nini ? Nipate kuelewa. Msaada tafadhali.
 
Ndo umemaanisha nn baada ya copy na paste zako?
Nikusaidie lugha kidogo

Muhammad anasema yeye ni zaidi ya mitume yani anajiita superior (mkuu kuliko wote) na Allah amempa mambo sita , moja ya mambo alitompa ni kushinda adui zake kwa ugaidi
  • I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
Hapa allah anasema adhabu ya wale wanaompinga Muhammad na Allah ni kuuliwa ,au kusulubiwa au kukatwa mikono na miguu au kuwekwa gerezani
  • Koran 5.33 The punishment of those who wage war against Allah and Muhammad and strive to make mischief in the land is only this, that they should be murdered or crucified or their hands and their feet should be cut off on opposite sides or they should be imprisoned;
 
Nikusaidie lugha kidogo

Muhammad anasema yeye ni zaidi ya mitume yani anajiita superior (mkuu kuliko wote) na Allah amempa mambo sita , moja ya mambo alitompa ni kushinda adui zake kwa ugaidi
  • I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
Hapa allah anasema adhabu ya wale wanaompinga Muhammad na Allah ni kuuliwa ,au kusulubiwa au kukatwa mikono na miguu au kuwekwa gerezani
  • Koran 5.33 The punishment of those who wage war against Allah and Muhammad and strive to make mischief in the land is only this, that they should be murdered or crucified or their hands and their feet should be cut off on opposite sides or they should be imprisoned;
Muhammad ndie mbora wa viumbe wote duniani sio kwa mitume tuu

Nikuulize swali dogo tu lkn ulijibu mna hua hujui kujibu maswali ww

ivi ww ukipigwa utamuangalia tu uyo alokupiga au na ww utareact?
 
Sijui shida iko wapi ? Kwenye uzi huu unakumbuka nilipi kuquote kwa mara ya kwanza ? Sasa ungekuwa makini ungekuwa usharejea na sasa hivi tungekuwa tuna jadili majibu yangu sababu ni muogoa unaendelea kupoteza muda kwenye hakuna.

Marejeo hufanywa kwa njia nyingi siyo namba tu hat anuani ya mada au wapi pa kupata mada hiyo. Shida iko wapi ?

Hata hili nililolisema kadhalika akifatilia ataona kirahisi,ndiyo maana nikasema urejee kule ambapo nimeku quote kwa mara ya kwanza kwenye uzi huu.

Tatizo lingine hili.

Kwa Kiswahili maana yake nini ? Nipate kuelewa. Msaada tafadhali.
Kwa nini tuende kwa kubahatisha kwa kutumia kumbukumbu zangu, ambazo hazina uthibitisho kwamba zitakuwa sahihi, wakati posts zina namba?

Wewe unaelewa kwa nini posts zina namba?

Hiyo post ni namba ngapi?
 
Nikusaidie lugha kidogo

Muhammad anasema yeye ni zaidi ya mitume yani anajiita superior (mkuu kuliko wote) na Allah amempa mambo sita , moja ya mambo alitompa ni kushinda adui zake kwa ugaidi
  • I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
Hapa allah anasema adhabu ya wale wanaompinga Muhammad na Allah ni kuuliwa ,au kusulubiwa au kukatwa mikono na miguu au kuwekwa gerezani
  • Koran 5.33 The punishment of those who wage war against Allah and Muhammad and strive to make mischief in the land is only this, that they should be murdered or crucified or their hands and their feet should be cut off on opposite sides or they should be imprisoned;
hlf Qur'an haitafsiriwi na aya moja wala hadithi moja tuulize sisi waislamu wenyewe sio unaleta aya unayoona inakufavour ww tuu
 
Kwa nini tuende kwa kubahatisha kwa kutumia kumbukumbu zangu, ambazo hazina uthibitisho kwamba zitakuwa sahihi, wakati posts zina namba?
Hakuna kubahatisha ndiyo maana nikaainisha kabisa.

Kwanza umeleewa nilicho kwambia kuhusu namna ya kurejelea mambo ?
Wewe unaelewa kwa nini posts zina namba?
Na elewa na ndiyo maana kuna namna kadha wa kadha za kurejea.
Hiyo post ni namba ngapi?
Rejea pale kwa mara ya kwanza nilipo kuquote katika uzi huu.
 
Back
Top Bottom