Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Mbona porojo nyingi ww lete ilo andiko usilete porojooo
 
Haya lete tafsiri ya kiswahili hpa tuone kma haitokuumbua hii Aya lete ww kabla sijaleta mimi
 
Kila mmoja na shahada yake?
Kila mtume alikua akitumwa shahada yke inakua hivi

Ash'hadu An la ilaha illa llahu waana Ilyasa rasulu llahi

hii nimetolea mfano wa mtume ilyasa na ndo ivo ivo kwa mitume wengine
 
Nikikwambia mm huna hoja ww kubali tuu mna swali la 3 hili huwezi na hutoweza kuyajibu mpk unakufa
Na ukipta ayo majibu mm sitoiamini tena Qur'an
 
Haya lete tafsiri ya kiswahili hpa tuone kma haitokuumbua hii Aya lete ww kabla sijaleta mimi
Nimeshamaliza hilo,
Muhammad mwenyewe alikuwa anajipigia tu , yani full uzinzi
33:50. ......na mwanamke Muumini akijitoa mwenyewe kwa Nabii,.... Ni halali kwako wewe tu, si kwa Waumini wengine. .....
 
Nimeshamaliza hilo,
Muhammad mwenyewe alikuwa anajipigia tu , yani full uzinzi
33:50. ......na mwanamke Muumini akijitoa mwenyewe kwa Nabii,.... Ni halali kwako wewe tu, si kwa Waumini wengine. .....
Ww mjinga tuu huna hoja Chuki ndo zilokujaa na moto unakusbr ww KAFIRI
 
Nikikwambia mm huna hoja ww kubali tuu mna swali la 3 hili huwezi na hutoweza kuyajibu mpk unakufa
Na ukipta ayo majibu mm sitoiamini tena Qur'an
Nimeshakumaliza nilikuwa nasubiri ujae nikulipue aya hiyo hapo ya kuruhusu kuchukua mwanamke kwa mda na umlipe
Such wives as you enjoy thereby, and have had sexual intercourse with, give them their wages,
 
Nimeshakumaliza nilikuwa nasubiri ujae nikulipue aya hiyo hapo ya kuruhusu kuchukua mwanamke kwa mda na umlipe
Such wives as you enjoy thereby, and have had sexual intercourse with, give them their wages,
Ah m naona najipotezea muda wangu buree kwa mtu mjinga kma ww
soma hii tafsiri hlf useme ujinga wako tena hpa
 
Ww mjinga tuu huna hoja Chuki ndo zilokujaa na moto unakusbr ww KAFIRI
Hayo ni maandiko yako wala sio mimi nimetunga
Muhammad anasema ukitaka ku enjoy chukua demu kwa siku tatu unapiga machine unatupa kule unachukua mwingine
Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
 
Ah m naona najipotezea muda wangu buree kwa mtu mjinga kma ww
soma hii tafsiri hlf useme ujinga wako tena hpa View attachment 2039105
Nimeshamaliza kazi sasa kama unataka kumpinga Muhammad ni wewe

Muhammad anasema ukitaka ku enjoy chukua demu kwa siku tatu unapiga machine unatupa kule unachukua mwingine
Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
 
Yni kuanzia saivi sitokujibu lolote mna huna hoja ujinga umekujaa

kwaio achana na mm
Kwa iyo Muhammad kusema wachukue mademu kwa siku tatu na wawalipe ni ujinga ?

Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119

Kama umeanza kupinga maandiko Yako najua nakutoa uko mdogo mdogo utatoka
 
Kijana kusema ukweli nawaonea huruma sana mna Adhabu za Mungu sisi binadamu hatuziwezi ata kidogo ila ukiwa tyr mm nitakufundisha Uislamu
Koran 46:9Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi...
Wote hamjui mwisho wenu
 
Yni kuanzia saivi sitokujibu lolote mna huna hoja ujinga umekujaa

kwaio achana na mm
Punguza hasira , pangua hoja kwa hoja, Aya ya mutah ndio hiyo 4:24 na hakuna Aya ingine imekataza ni Hadith ndio inasema Umar alikuja kukataza , na ilikuwa sababu wakristo na wayahudi walikuwa wanawacheka
 
Kijana kusema ukweli nawaonea huruma sana mna Adhabu za Mungu sisi binadamu hatuziwezi ata kidogo ila ukiwa tyr mm nitakufundisha Uislamu
Ha...ha...ha...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwezi huu ndio umenifurahisha kwa mara ya kwanza.
 
Unajiuliza Mungu anatakiwa apende watu wanaojiepusha na dhambi , lakini Allah anasema usipo fanya dhambi anakuua
Na Allah anasema tena yeye ndio anapotosha watu na anawafanya mioyo Yao mizito
Sasa shetani anafanya kazi gani?
Unawababua sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kila wakigeuka unawapopoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…