Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Hakuna Contrstidiction hapo sababu kuna kukiri na kukanusha,hapo nitakuuliza Mungu ni nani na anasifa gani mpaka ujinasibu kuwa wewe ni Mungu ?

Hapo umethibitisha ya kuwa humjui Mungu ni nani ndiyo maana umeuliza swali hilo. Ndiyo tuna rudi kule kule ya kiwa umejuaje ya kuwa Mungu hayupo ? Hili swali halikwepi.
Kwa hiyo wewe umekiri mimi Mungu?
 
let me make this clear

Shahada ipo moja tu
Unamshuhudia Allah kua ndio Mungu wako na unashuhudia kua Muhammad ni mtume wake
Hii shahada ndo inamfanya mtu kuingia ktka Uislamu na yeyote atakayeikana hii shahada ktka ummati muhammad(zama hizi za Uongozi wa Muhammad)huitwa KAFIRI.
mjingamimi
 
Kwani Waislamu muna shida gani hasa ?
Mtume wenu Muhammadi mnaye.
Mungu wenu Allah mnaye.

Si tuishie hapo.

Sisi Wakristo, Allah sio Mungu wetu.
Muhammadi sio Mtume wetu.
Na haitakuja itokee.

Si toshekeni hivyo.
Sisi tunakupendeni sana tena sana ndo mna tunakulinganieni kua hakuna Mungu anoitwa Yesu na hatotokea kamwe ili muachane na huo Uongo muweze kusilimu muje kwenye dini ya haki ambayo ni Uislamu

ivi ebu fikiria ww mwenyeo tu kweli Mungu asulubiwe sasa kma amesulubiwa kwaio inamaanisha yy hajaweza kujilinda basi ataweza kukulinda ww? Kma Yesu ni Mungu kwann binadamu wenzake wamtese hali ya kua yy ana nguvu za Uungu ? ukitafakari kdgo tuu utapata kujua kua Wakristo mumedanganywa kuhusu Mungu

Uislamu ndio dini ya haki
 
Sisi tunakupendeni sana tena sana ndo mna tunakulinganieni kua hakuna Mungu anoitwa Yesu na hatotokea kamwe ili muachane na huo Uongo muweze kusilimu muje kwenye dini ya haki ambayo ni Uislamu

ivi ebu fikiria ww mwenyeo tu kweli Mungu asulubiwe sasa kma amesulubiwa kwaio inamaanisha yy hajaweza kujilinda basi ataweza kukulinda ww? Kma Yesu ni Mungu kwann binadamu wenzake wamtese hali ya kua yy ana nguvu za Uungu ? ukitafakari kdgo tuu utapata kujua kua Wakristo mumedanganywa kuhusu Mungu

Uislamu ndio dini ya haki
Ushabadiri Mada tayari.
Nani kasema humu kuhusu Umungu wa Yesu hadi uzungumzie.
 
lete andiko basi usilete porojo zako lete andiko kua Qur'an imeamrisha mut'ah mna maswali yangu hua huwezi kuyajibu na hili ukishindwa litakua swali la 3
Ni kwamba una uhakika halipo au unataka ligi tu, kwa hiyo muhammad aliposema mfanye mutah alijitungia tu
 
Sisi tunakupendeni sana tena sana ndo mna tunakulinganieni kua hakuna Mungu anoitwa Yesu na hatotokea kamwe ili muachane na huo Uongo muweze kusilimu muje kwenye dini ya haki ambayo ni Uislamu

ivi ebu fikiria ww mwenyeo tu kweli Mungu asulubiwe sasa kma amesulubiwa kwaio inamaanisha yy hajaweza kujilinda basi ataweza kukulinda ww? Kma Yesu ni Mungu kwann binadamu wenzake wamtese hali ya kua yy ana nguvu za Uungu ? ukitafakari kdgo tuu utapata kujua kua Wakristo mumedanganywa kuhusu Mungu

Uislamu ndio dini ya haki
Ndio maana umeona muhammad kwa kuwaza kama wewe akasema alisulubiwa mtu mwingine
 
Ni kwamba una uhakika halipo au unataka ligi tu, kwa hiyo muhammad aliposema mfanye mutah alijitungia tu
Leo ishafika hya lete ilo andiko sasa kma ww unasema kweli

Nikisema mm nina uhakika na ninaujua Uislamu wangu niamini mm sio kichwa mchungwa kwenye dini yangu
 
Ni kwamba una uhakika halipo au unataka ligi tu, kwa hiyo muhammad aliposema mfanye mutah alijitungia tu
We ulisema leo utaleta hilo andiko lete.sasa ilo andiko kma unasema kweli na ukishindwa kuleta ilo andiko ww utakua ni Muongo tu ambae unauchukia Uislamu kwa chuki zako tuu wala sio kwa hoja

Na ukishindwa kuleta hilo andiko sitokujibu swali lolote mpk ulilete hilo andiko
 
Ushabadiri Mada tayari.
Nani kasema humu kuhusu Umungu wa Yesu hadi uzungumzie.
Mada ipi ilobadilishwa ?

Ttzo tukigusa apo Wakristo wote mioyo inatapatapa kwa kua ilo jambo hmna uhakika nalo
 
Leo ishafika hya lete ilo andiko sasa kma ww unasema kweli

Nikisema mm nina uhakika na ninaujua Uislamu wangu niamini mm sio kichwa mchungwa kwenye dini yangu
waislamu wanasema walikuwa wanaruhusiwa kuchukua demu kwa mda na kumlipa unga wa ugali, badae muhammad kafa umar akaona ni ujinga akakataza
We contracted temporary marriage giving a handful of (tales or flour as a dower during the lifetime of Allah's Messenger..... Sahih Muslim 1405d
 
waislamu wanasema walikuwa wanaruhusiwa kuchukua demu kwa mda na kumlipa unga wa ugali, badae muhammad kafa umar akaona ni ujinga akakataza
We contracted temporary marriage giving a handful of (tales or flour as a dower during the lifetime of Allah's Messenger..... Sahih Muslim 1405d
Ww asa muongo we umesema Qur'an ndo inasema ivo mm nasubiri andiko kwnye Qur'an usilete janja janja hpa
 
waislamu wanasema walikuwa wanaruhusiwa kuchukua demu kwa mda na kumlipa unga wa ugali, badae muhammad kafa umar akaona ni ujinga akakataza
We contracted temporary marriage giving a handful of (tales or flour as a dower during the lifetime of Allah's Messenger..... Sahih Muslim 1405d
kama umeshindwa kutoa hilo andiko sema kua nimeshindwa mna ukigoogle vitu vyko unavovijua haraka tuu unacopy na kupaste hpa sasa takriban dkka 20 zimepita hujaleta ilo andiko [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
kama umeshindwa kutoa hilo andiko sema kua nimeshindwa mna ukigoogle vitu vyko unavovijua haraka tuu unacopy na kupaste hpa sasa takriban dkka 20 zimepita hujaleta ilo andiko [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Umeruhusiwa mpaka kula mke wa mtu kama sio muislamu , umeruhusiwa pia ku furahiya ngono na mwanamke na umlipe mkimaliza kazi,


4:24Jalal - Al-Jalalayn ....; save what your right hands own, of captured [slave] girls, whom you may have sexual intercourse with, even if they should have spouses among the enemy camp, but only after they have been absolved of the possibility of pregnancy [after the completion of one menstrual cycle]; this is what God has prescribed for you (kitāba is in the accusative because it is the verbal noun). Lawful for you (read passive wa-uhilla, or active wa-ahalla), beyond all that, that is, except what He has forbidden you of women, is that you seek, women, using your wealth, by way of a dowry or a price, in wedlock and not, fornicating, in illicitly. Such wives as you enjoy thereby, and have had sexual intercourse with, give them their wages, the dowries that you have assigned them, as an obligation; you are not at fault in agreeing together, you and they, after the obligation, is waived, decreased or increased. God is ever Knowing, of His creatures, Wise, in what He has ordained for them.
 
Back
Top Bottom