Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

ww c ndo ulosema israel wanamuamini Yesu au sivo?
hlf Mungu ety asulubiwe,auliwe kma yy mwnywe hajaweza kujilinda ataweza kukulindeni nyinyi
embu fikirieni vzr basi mambo mengine ata hayahitaji uwe na PHD ili kujua huu ni Uongo
Pitia tena maoni yangu yale.
Nilisema Israel wamekasirika kwa owongo wa Allah na Muhamadi kuwa Yesu Kristo hakusurubiwa.

Na sio kumwamini.
Hebu rudia pale nilipo andika uone uwongo wako, na wa Allah na wa Muhammadi.
 
Sema mpk ukaombe msaada kwa wenzako mbona unaleta maandiko kila wakati humu saivi unajidai naangalia mpira [emoji1][emoji1][emoji1] we sema tuu huna ilo andiko na hutolipata kamwe kwenye Qur'an
Mimi ni jeshi la mtu mmoja , koran yote ipo kichwani , nikikwambi subiri nipo nakula bata
 
Sbr nikufundishe ww
Allah anasema hawajamsulubu wala hawajamuua
hlf sema tena Allah hajui habari ya kutosulubiwa kwa Issa ambae nyinyi mnamuita Yesu
Ushahidi huu hapa chiniView attachment 2038679
Kwani Allah ni Muisraeli ?
Waisraeli ndugu wa Yesu wa damu wanasema hadi sasa kuwa walimsuribisha mwananchi mwenzao Yesu.

Hivi wewe habari za Yesu wa Israeli unazisikiliza toka wapi ?

Au unamzungumzia Issa raia wa Madina ?
 
Kwani Allah ni Muisraeli ?
Waisraeli ndugu wa Yesu wa damu wanasema hadi sasa kuwa walimsuribisha mwananchi mwenzao Yesu.

Hivi wewe habari za Yesu wa Israeli unazisikiliza toka wapi ?

Au unamzungumzia Issa raia wa Madina ?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Ushatizama izo video nilokwambia? kma hujatizama basi katizame kwanza hlf ndo uje tuongee tena
 
Mimi ni jeshi la mtu mmoja , koran yote ipo kichwani , nikikwambi subiri nipo nakula bata
Huna ulijualo ww fanya na bible iwepo kichwani basi
Hlf unashangaza ww kma Qur'an ipo kichwani si useme tuu sura fulani ndo inaamrisha mut'ah sio mpk ufungue vitabu au vipi
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Ushatizama izo video nilokwambia? kma hujatizama basi katizame kwanza hlf ndo uje tuongee tena
Kwani Yesu ni kabila gani ?

Kama ni Mwarabu basi amini habari zake toka kwa Muhammadi Mwarabu mwenzake.

Hizo video hata wewe Mngindo unaweza kuziweka You Tube.
 
spensa_e,
Asante sana kwa kuwapa somo hao janja janja.

Mwezi uliopita kulikuwa na mjadala.
Wayahudi wanasema wanamfahamu Yesu Kristo kwakuwa ni ndugu yao na familia yake ipo mpaka hii leo.
Na walimtesa wakamsuribisha akafa, akafufuka siku ya tatu na akapaa mbinguni mbele ya macho yao.
Ndio maana wakaruhusu filamu ya maisha ya Yesu, na haki zote zipo juu yao.
Yaani huwezi kutengeneza filamu ya Maisha ya Yesu bila idhini yao usije ukaipotosha jamii.
Sasa wanashangaa anatokea Kiroja mmoja toka Uarabuni miaka 500 baadae na anakanusha hizo taarifa.
Na mamilioni ya watu wanamwamini.
Yaani kaongopa na anaaminiwa.

Wakasema kuwa Muhammadi ni tapeli tu.
Na kushauri kwamba kama kuna Mwislamu anataka kuthibitisha hiyo hoja aende Israeli kwenye vithibitisho vyote juu ya maisha ya Yesu Kristo na vipo hadi hii leo maana ndio chimbuko lake huko Israeli.
Wanasema Muhammadi ni Nabii mwongo zaidi kupata kutokea duniani.
Anayebisha anakaribishwa Israeli kwenda kuthitisha kauli ya uwongo ya Muhammadi na Allah.
Ety muhammad ni nabii muongo
kma muongo watu wangesilimu na kuufuata Uislamu

hebu google the best Person in the world kma utamkuta Yesu
Ata hao makafiri wenu wanajua kua Muhammad kua ndio mtu bora duniani ww unabisha kwa hoja ipi kma sio chuki zako tuu
 
Kwani Yesu ni kabila gani ?

Kama ni Mwarabu basi amini habari zake toka kwa Muhammadi Mwarabu mwenzake.

Hizo video hata wewe Mngindo unaweza kuziweka You Tube.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ww si ulisema tuwaulize israel nikakupa fact kua hao israel unaowasema hawamjui uyo Yesu unomsema ww
 
Ety muhammad ni nabii muongo
kma muongo watu wangesilimu na kuufuata Uislamu

hebu google the best Person in the world kma utamkuta Yesu
Ata hao makafiri wenu wanajua kua Muhammad kua ndio mtu bora duniani ww unabisha kwa hoja ipi kma sio chuki zako tuu
Uliweka andiko Yesu anamtuma Muhammadi kama msaidizi wake

Sasa hivi unakanusha tena.
Hivi mnalishawaga matango pori gani ?
 
Hii aje kubisha KAFIRI yeyote hapa tukisema Muhammad ni m'bora wa viumbe wote duniani tunaamanisha na tunasema ukweli
20211209_222834.jpg
 
Uliweka andiko Yesu anamtuma Muhammadi kama msaidizi wake

Sasa hivi unakanusha tena.
Hivi mnalishawaga matango pori gani ?
Wapi mm niliweka hilo andiko ebu nioneshe tena nioneshe sasa ivi kma ni kweli mm nimeweka hilo andiko
 
Uliweka andiko Yesu anamtuma Muhammadi kama msaidizi wake

Sasa hivi unakanusha tena.
Hivi mnalishawaga matango pori gani ?
kwaio umeshindwa kuthibitisha kua nimeweka hilo andiko
basi jamii ishajua kumbe ww ni Muongo
 
Muhammad hakuwa mtume wa Kwanza katika uislam.
Kila mtume au nabii alikuwa na SHAHADA YAKE.
ILA SHAHADA KUBWA NI MUNGU MMOJA.
manabii na mitume wakubwa wapo 25.
Kuanzia Adam mpaka Muhammad.
Hivyo shahada ya kumkiri Muhammad kama mtume wa Allah in ndogo sio?
 
Hivyo shahada ya kumkiri Muhammad kama mtume wa Allah in ndogo sio?
let me make this clear

Shahada ipo moja tu
Unamshuhudia Allah kua ndio Mungu wako na unashuhudia kua Muhammad ni mtume wake
Hii shahada ndo inamfanya mtu kuingia ktka Uislamu na yeyote atakayeikana hii shahada ktka ummati muhammad(zama hizi za Uongozi wa Muhammad)huitwa KAFIRI.
 
Hilo sio swali la msingi, kwasababu lina lay kwenye contradiction

Na ndio maana hata wewe huwezi kuthibitisha hapa kua mimi sio Mungu
Onyesha contradiction ya hilo swali.
 
What's next? Mwanasiasa anayedanganya wapiga kura wamuamini wakamuamini na kumpa kura naye ni mchawi?
Huwa nakwambia karibu kila mara tunapokutana kwenye mjadala kwenye kutoa mfano wewe ni dhaifu sana,mfano wa karata na mwana siasa ni mbali si kila triki ni uchawi,maana yake kisa mwanasiasa ni muongo basi ni mchawi,mwanasiasa ana walaghai watu lakinu habadilishi uhalisia tofauti na mchawi.
 
Kupitia hoja hii

Unaweza kuthibitisha mimi sio Mungu?
Hakuna Contrstidiction hapo sababu kuna kukiri na kukanusha,hapo nitakuuliza Mungu ni nani na anasifa gani mpaka ujinasibu kuwa wewe ni Mungu ?

Hapo umethibitisha ya kuwa humjui Mungu ni nani ndiyo maana umeuliza swali hilo. Ndiyo tuna rudi kule kule ya kiwa umejuaje ya kuwa Mungu hayupo ? Hili swali halikwepi.
 
Kwani Waislamu muna shida gani hasa ?
Mtume wenu Muhammadi mnaye.
Mungu wenu Allah mnaye.

Si tuishie hapo.

Sisi Wakristo, Allah sio Mungu wetu.
Muhammadi sio Mtume wetu.
Na haitakuja itokee.

Si toshekeni hivyo.
 
Back
Top Bottom