mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Aya ya 7
Kumrudia Mungu Allah
Hilo hapana aisee.
Mungu wa Wapagani wa Kiarabu kabla ya Muhammadi.
Hilo ni Big No.
Sisi tuna mtiririko wa Mitume wetu tuka enzi za torati na walitabiriwa kabla.
Jina la Muhammadi halipo kabisa.
Huyo Allah ni Mungu wenu.
Na Muhammadi ni Mtume wenu.
Basi na tukubaliane hivyo.