Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Waandishi wengi na miaka tofauti ya uandishi ndio utamu wa vitabu ndani ya biblia kuna waandishi wamepishana miaka zaidi ya 1000 hapo ndio ujue Mungu anapo ongea Kwa nyakati tofauti, koran mtu mmoja kaandika ndani ya miaka kama 20 ila anaongea vitu vinapingana

Mfano anaruhusu umalaya allah anakuja muhammad anakataza ,unakua hujui kati ya allah na muhammad nani ana nguvu
Wapi Muhammad karuhusu umalaya?
 
Hapo wanakubali ni Msaidizi wa Yesu.
Ila ni m'mbora kupita Yesu.
Yaani kamzidi Bosi wake.
Yaani Muhammadi katumwa na Yesu.
Halafu ndio Bosi.

Hao jamaa bila Uwongo dini yao haisimami kabisa.
Ni wanaongopa hatari sana.
Bila Uwongo hiyo dini huwezi kuielezea.
Wewe unaesema israel wanamuamini Yesu ingia youtube sasa ivi andika DO ISRAEL'S BELIEVE IN JESUS hlf uje kutupa mrejesho hpa
hao waisrael mnosema wao hawamuamini huyo yesu mnomuamini nyinyi kma unabisha angalia video zipo kibao tuu youtube
 
Wewe unaesema israel wanamuamini Yesu ingia youtube sasa ivi andika DO ISRAEL'S BELIEVE IN JESUS hlf uje kutupa mrejesho hpa
hao waisrael mnosema wao hawamuamini huyo yesu mnomuamini nyinyi kma unabisha angalia video zipo kibao tuu youtube
Msaidie mwenzako allah alipo ruhusu mutah umalaya ilikuwaje
 
Hapa Nipo maalai siwezi fungua vitabu , unataka kubisha allah hakuruhusu mutah , embu jibu ndio au hapana
Ndo lete sasa ilo andiko hlf nikufundishe mm Usiwe kichwa mchungwa we lete ilo andiko
 
Hapana.nipe elimu
Nitaweka maandiko kesho maana kwa sasa naangalia mpira

Allah ariruhusu kitu kina itwa mutah , yani unachukua mwanamke unakubaliana nae kufanya mapenzi kwa mda mfupi na unatakiwa kumlimpa , ipo kwenye koran ila kwenye hadith muhhammad alikuja kataza ,
Je mnafuata maneno ya muhammad au allah?
 
Wewe unaesema israel wanamuamini Yesu ingia youtube sasa ivi andika DO ISRAEL'S BELIEVE IN JESUS hlf uje kutupa mrejesho hpa
hao waisrael mnosema wao hawamuamini huyo yesu mnomuamini nyinyi kma unabisha angalia video zipo kibao tuu youtube
Sio kumuamini ni ndugu yao wa damu.
Walimtesa kumsurubisha na kumwua.
Allah wa Uarabuni haijui hii habari

Sijasema popote kuwa walimuamini.
Mbona unanilisha maneno kwa kudumisha Taqiya yako.

Acheni uwongo wa Allah na Muhammadi.
 
Ndo mna sisi dini ytu imetukataza kuongea bila ya kua na Elimu na kitu ww huwezi kutufundisha chochote sisi katika Uislamu
hlf ukitka kuongea porojo zako unaropoka tuu ukidaiwa Dalili huna

Uislamu ni.dini iliyokamilika
 
Nitaweka maandiko kesho maana kwa sasa naangalia mpira

Allah ariruhusu kitu kina itwa mutah , yani unachukua mwanamke unakubaliana nae kufanya mapenzi kwa mda mfupi na unatakiwa kumlimpa , ipo kwenye koran ila kwenye hadith muhhammad alikuja kataza ,
Je mnafuata maneno ya muhammad au allah?
lete andiko usilete porojo na nina kuhakikishia huwezi kukuta aya yoyote kwny Qur'an inoamrisha mutah
 
Sio kumuamini ni ndugu yao wa damu.
Walimtesa kumsurubisha na kumwua.
Allah wa Uarabuni haijui hii habari
ww c ndo ulosema israel wanamuamini Yesu au sivo?
hlf Mungu ety asulubiwe,auliwe kma yy mwnywe hajaweza kujilinda ataweza kukulindeni nyinyi
embu fikirieni vzr basi mambo mengine ata hayahitaji uwe na PHD ili kujua huu ni Uongo
 
Hapana.nipe elimu
Ukishindwa swali nitag mm nitakusaidia hawana jipya hao Makafiri
kma mungu wao kashindwa kujilinda mpk akauliwa hlf aje kuwalinda wao [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mambo mengine yanachekesha sanaaaa tena zaidi ya sanaaaa
 
Sio kumuamini ni ndugu yao wa damu.
Walimtesa kumsurubisha na kumwua.
Allah wa Uarabuni haijui hii habari

Sijasema popote kuwa walimuamini.
Mbona unanilisha maneno kwa kudumisha Taqiya yako.

Acheni uwongo wa Allah na Muhammadi.
Sbr nikufundishe ww
Allah anasema hawajamsulubu wala hawajamuua
hlf sema tena Allah hajui habari ya kutosulubiwa kwa Issa ambae nyinyi mnamuita Yesu
Ushahidi huu hapa chini
20211209_213342.jpg
 
Ukishindwa swali nitag mm nitakusaidia hawana jipya hao Makafiri
kma mungu wao kashindwa kujilinda mpk akauliwa hlf aje kuwalinda wao [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mambo mengine yanachekesha sanaaaa tena zaidi ya sanaaaa
Achana na mtu anataka kujitenga na mtu muongo yani unakuwaje na mungu anakwambia anakuchoche dhambi uzione tamu
 
Nakupa mpaka kesho kasome koran , alafu jiandae kusema mutah imetoka wapi la sivyo nita kuhaibisha humu
Sema mpk ukaombe msaada kwa wenzako mbona unaleta maandiko kila wakati humu saivi unajidai naangalia mpira [emoji1][emoji1][emoji1] we sema tuu huna ilo andiko na hutolipata kamwe kwenye Qur'an
 
Achana na mtu anataka kujitenga na mtu muongo yani unakuwaje na mungu anakwambia anakuchoche dhambi uzione tamu
lete andiko basi usilete porojo zako lete andiko kua Qur'an imeamrisha mut'ah mna maswali yangu hua huwezi kuyajibu na hili ukishindwa litakua swali la 3
 
Back
Top Bottom