Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Alisema ni uongo ndiyo maana akapewa adhabu na Allah na ile ni laana kama alivyo laaniwa Shetani na waovu wengine wote.

Ndiyo maana mpaka sasa hivi hujaonyesha wapi Mtume alishiriki kufukua kaburi hilo.
Ndio maana mwanzo kabisa niliweka verse kuonyesha analofanya Allah wamekubaliana na Muhammad, na ndio nikitaka ukubali kwanza ILI swali la ushiriki wa muhammad lisiwepo

Koran 33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.

Ni hakika liliwafanyika kwa maamuzi yao
4:80. Mwenye kumt'ii Muhammad basi ndio amemt'ii Allah
 
Hili nimeshalimaliza,turudi kwa Waraqah,jibu maswali niliyo kuuliza.

Hapa hakuna kwenda nukta nyingine mpaka ujibu maswali niliyo kuuliza.
Na upande wangu nimeshamaliza kuthibitiaha mkristo aliandika Koran , na akatolewa uhai wake na kaburi lake likawa linafukuliwa kila akizikwa , hili tumefunga

Na inaacha mashaka makubwa kwamba Allah akitaka kitu mnadai anasema kuwa na kinakuwa , unajiuliza kwa nini asimuambie Muhammad Jua kusoma na iwe? Kanyongwa pangoni kaambiwa soma na mpaka anakufa hajui
 
Kauli yangu iko pale pale na hapa nina maswali kadhaa kuhusu Waraqah bin Nawfal huyu alikuwa ami wa mke wa Mtume,mama yetu Khadija na husemwa ya kuwa katika watu wa Mwanzo kumkuba Mtume na kumuhami ni huyu yaani kwa maana nyingine ni mtu wa mwanzo kwa watu wazima kuukubali ujumbe wa Mtume.

Maswali yangu kuhusu Waraqah naomba unipe majibu.

1. Weka ushahidi ya kuwa Waraqah alikuwa ni Mkristo.

2. Weka ushahidi kuonyesha ya kuwa Waraqah aliandika Qur'aan.

Kuhusu huyu mkristo wa pili. Nionyeshe au nipe ushahidi unaonyesha ya Mtume alikuwa anaenda kufukua kaburi lake.

Baada ya hapo nukta hii itakuwa imekwisha.
Naanza na swali la kwanza , ivi ni kweli ni dini Yako hii na hujui warak alikuwa mkristo? embu soma Sana dini Yako ILI tuki debate usiwe unauliza maswali kama hayo.

Baada ya Muhammad kukabwa Sana na kiumbe ambacho Muhammad alikuwa akijui , Khadija akampeleka kwa cousin yake waraqa , ambae alikuwa mkristo na wakati huo alikuwa akiandika injili , huyu waraq ndio akamtangazia Muhammad kwamba hicho kiumbe kilicho mkaba kilikuwa Malaika jibril
......Khadija then accompanied him to her cousin Waraqa bin Naufal bin Asad bin 'Abdul 'Uzza, who, during the pre-Islamic Period became a Christian and used to write the writing with Hebrew letters. He would write from the Gospel in Hebrew as much as Allah wished him to write. Sahih al-Bukhari 3

Alafu Muhammad anapenda mara 3 Sana , alianza na Malaika kumkaba mara 3 Kuna Siri gani Kwenye 3
 
Na hata hao Wayahudi wameibadilisha sana Biblia na walivyoiandika awali si inavyotafsiriwa leo, Biblia na Quran ni mkusanyiko wa vitabu vilivyoandikwa na watu wakipambana na mazingira yao, hizi habari za Mungu kuwapo ni za kimapokeo zaidi ya ukweli.

Ukisoma wasomi wa Biblia wanakueleza kwamba inavyotafsiriwa na waumini wengi ni tofauti sana na ukweli wa mambo.

Mfano mzuri ni hiki kitabu cha Profesa James L Kugel aliyekuwa anafundisha masomo ya Biblia Harvard, kachambua vizuri sana jinsi Biblia ilivyobadilishwa sana na tofauti kati ya inavyotafsiriwa na ilivyo kiukweli.


How to Read the Bible​

A Guide to Scripture, Then and Now​

READ AN EXCERPT
Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?

In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea. Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.

Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.

How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.



Biography​

James Kugel was the Starr Professor of Hebrew Literature at Harvard University for twenty-one years. He retired from Harvard to become Professor of Bible at Bar Ilan University in Israel, where he also served as chairman of the Department of Bible.

A specialist in the Hebrew Bible and the Dead Sea Scrolls, Kugel is the author of more than eighty research articles and fifteen books, including The Idea of Biblical Poetry, In Potiphar’s House, On Being a Jew, and The Bible As It Was(this last the winner of the Grawemeyer Prize in Religion in 2001). His more recent books include The God of Old, The Ladder of Jacob, How to Read the Bible, awarded the National Jewish Book Award for the best book of 2007, In the Valley of the Shadow, and A Walk Through Jubilees. He is a member of the Society of Biblical Literature, and Editor-in-chief of Jewish Studies: an Internet Journal.
Bible Department
Bar Ilan University
52900 Ramat Gan, Israel
telephone: +9722 672-2197
website: www.jameskugel.com
email: jlk@jameskugel.com
1. Born: August 22, 1945, New York, N.Y. I am married and have four children.
2. Education: Yale University, B.A. (1968)
Harvard University, Junior Fellow (1972-76)
City University of New York, Ph. D. (1978)
3. Areas of interest: Hebrew Bible; history of biblical exegesis; Judaism.
4. Positions held: Andrew Mellon Faculty Fellow, City University (1978-79)
Lecturer, Harvard University (1979-80)
Assistant Professor, Religious Studies and Comparative Literature, Yale University (1980-82); Associate Professor (1982)
Starr Professor of Hebrew Literature, Harvard University (1982-2003)
Professor of Bible, Bar Ilan University (1992-2013)
Professor Emeritus, Bar Ilan University, 2014—
5. Memberships and Offices:
Poetry Editor, Harper’s Magazine (1972-4)
Co-founder and associate editor, Prooftexts: A Journal of Jewish Literary History (1981-2000)
Executive Board, Association for Jewish Studies (1983-84)
Chairman, Department of Near Eastern Languages, Harvard University (1987-91)
Director, Center for Jewish Studies, Harvard University (1996-2001)
Editorial Board, Jewish Studies Quarterly (1993-2003)
Member, American Academy for Jewish Research (1999-2003)
Founder and editor-in-chief, Jewish Studies: an Internet Journal (2002- present)
Director, Institute for the History of the Jewish Bible, Bar Ilan University (2003-10)
Chairman, Department of Bible, Bar-Ilan University (2006-09)
Editorial Board, Themes in Biblical Narrative – Jewish and Christian Traditions (series, Brill Publications, Leiden)
Editorial Board, פרשנות ובקורת (Bar Ilan)
Editorial Board, שנתון המקרא (Jerusalem)
Editorial Board, Biblische Notizen—Neue Folge (Vienna) (2010-present)
Editorial Directorate, מוסד ביאליק מו”ל
Editorial Board, Journal of Ancient Judaism (2011-present)
6. Awards and Prizes: Phi Beta Kappa (1968), Wrexham Prize (1968), Fulbright Graduate Fellowship (1968), Danforth Graduate Fellowship (1968), Woodrow Wilson Fellow (1968), Bryant Dissertation Prize (1977), A. Mellon Fellow (1977), Ingram Merrill Fellow (1978), S. F. Morse Faculty Fellow (1981-82). The Idea of Biblical Poetry was supported by awards from the F. Hilles and A. W. Griswold Funds, and received the book prize of the American Jewish Committee (1982). Research for In Potiphar’s House was sponsored by a grant from the National Endowment for the Humanities (1988-89). The Bible As It Was was supported by awards from the Alan M. Stroock Publication Fund for Jewish Studies and a grant from the Littauer Foundation. It was among five finalists for the National Book Critics Circle Award in the category of General Nonfiction. Traditions of the Bible was honored with a special session at the 1999 Society of Biblical Literature convention. The Bible As It Was and Traditions of the Bible were jointly awarded the $200,000 Grawemeyer Award for the best book in Religion, 2001. How to Read the Bible was awarded the prize for the best book in any category by the National Jewish Book Awards, 2007. It was chosen as one of the New York Times “Best Books of 2007, All Categories.” Outside the Bible, coedited with Louis Feldman and Lawrence Schiffman, was just awarded the National Jewish Book Award for Scholarship, 2014.
Kwaio mkuu hauamini katika miujiza? Sijasema Mungu, miujiza. Hujawahi kukutana na scenario ambayo ukahisi kabisa kuna supernatural forces around hiyo scenario?

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
SWALI

Mktisto yeyote anaweza jibu ila ustaarabu aweke mbele

1.Ni wapi katika bible Mungu anasema hiki ni kitabu changu?

2.Ni wapi katika bible Mungu anasema hiki ni kitabu kisicho na Shaka ndani yake?
 
Ndio maana mwanzo kabisa niliweka verse kuonyesha analofanya Allah wamekubaliana na Muhammad, na ndio nikitaka ukubali kwanza ILI swali la ushiriki wa muhammad lisiwepo

Koran 33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.

Ni hakika liliwafanyika kwa maamuzi yao
4:80. Mwenye kumt'ii Muhammad basi ndio amemt'ii Allah
Kijana inakuwaje unapoteza muda katika hakuna ?

Wapi Mtume alishiriki kufukua hilo kaburi ? Maana hayo ni maneno yako na inabidi utupe ushahidi,usilazimishe maana ambazo hazipo.
 
Na upande wangu nimeshamaliza kuthibitiaha mkristo aliandika Koran , na akatolewa uhai wake na kaburi lake likawa linafukuliwa kila akizikwa , hili tumefunga

Na inaacha mashaka makubwa kwamba Allah akitaka kitu mnadai anasema kuwa na kinakuwa , unajiuliza kwa nini asimuambie Muhammad Jua kusoma na iwe? Kanyongwa pangoni kaambiwa soma na mpaka anakufa hajui
Haha kijana una hoja dhaifu sana sasa ukina hivyo hajata iwe hivyo. Na angeamua sote tukawa Waislamu na kuamini hilo kwake rahisi sana,kwahiyo hakuna mashaka hapo au angetaka sote tufe kwa wakati mmoja ingekuwa. Ila Allah anafanya mambo kwa sababu na hekima.

Naona huna hoja.
 
Naanza na swali la kwanza , ivi ni kweli ni dini Yako hii na hujui warak alikuwa mkristo? embu soma Sana dini Yako ILI tuki debate usiwe unauliza maswali kama hayo.

Baada ya Muhammad kukabwa Sana na kiumbe ambacho Muhammad alikuwa akijui , Khadija akampeleka kwa cousin yake waraqa , ambae alikuwa mkristo na wakati huo alikuwa akiandika injili , huyu waraq ndio akamtangazia Muhammad kwamba hicho kiumbe kilicho mkaba kilikuwa Malaika jibril
......Khadija then accompanied him to her cousin Waraqa bin Naufal bin Asad bin 'Abdul 'Uzza, who, during the pre-Islamic Period became a Christian and used to write the writing with Hebrew letters. He would write from the Gospel in Hebrew as much as Allah wished him to write. Sahih al-Bukhari 3

Alafu Muhammad anapenda mara 3 Sana , alianza na Malaika kumkaba mara 3 Kuna Siri gani Kwenye 3
Safi kabisa Waraqah alianza kuwa mpagani mtu mwenye kuutafuta ukweli akakutana na Mayahudi wakamshawishi akaingia humo kisha akakitana Wakristo wafundishao mafundisho ya Paulo (Siyo ya Yesu) akaingia humo,hawa walikuwa wanne na walikuwa wanapingana na washirikina wa Makka katika ibada zao,na alikuwa na ujuzi wa mambo vitabu vya kale ndiyo maana ni mtu wa kwanza kwa Wanaume kumkubali Mtume na sisi tunamuita Swahaba na aliahidi kumuhami mtume kama angekuwa hai haya aliyasema wakati wa uzee wake.

Hili la kumkubali mtume mbona hukulisema ?

Sasa turudi katika aya nataka utuambie wapi aliandika aya za Qur'aan Waraqah ?

Nasubiri majibu.
 
Safi kabisa Waraqah alianza kuwa mpagani mtu mwenye kuutafuta ukweli akakutana na Mayahudi wakamshawishi akaingia humo kisha akakitana Wakristo wafundishao mafundisho ya Paulo (Siyo ya Yesu) akaingia humo,hawa walikuwa wanne na walikuwa wanapingana na washirikina wa Makka katika ibada zao,na alikuwa na ujuzi wa mambo vitabu vya kale ndiyo maana ni mtu wa kwanza kwa Wanaume kumkubali Mtume na sisi tunamuita Swahaba na aliahidi kumuhami mtume kama angekuwa hai haya aliyasema wakati wa uzee wake.

Hili la kumkubali mtume mbona hukulisema ?

Sasa turudi katika aya nataka utuambie wapi aliandika aya za Qur'aan Waraqah ?

Nasubiri majibu.
siendelei na ushahidi mpaka uweke ushahidi wa kimaandiko kwa yote uliyo ongea hapo ,

Kumkubali mtume hukuuliza wewe ulitaka nithibitishe kwamba alikuwa mkristo , nimethibitisha alikuwa mkristo na hakuna maali popote Pana sema alikuja kuwa muislamu kama pako weka
Ni haibu Sana ulikuwa hujui alikuwa mkristo , shame on you
NIpO
 
Safi kabisa Waraqah alianza kuwa mpagani mtu mwenye kuutafuta ukweli akakutana na Mayahudi wakamshawishi akaingia humo kisha akakitana Wakristo wafundishao mafundisho ya Paulo (Siyo ya Yesu) akaingia humo,hawa walikuwa wanne na walikuwa wanapingana na washirikina wa Makka katika ibada zao,na alikuwa na ujuzi wa mambo vitabu vya kale ndiyo maana ni mtu wa kwanza kwa Wanaume kumkubali Mtume na sisi tunamuita Swahaba na aliahidi kumuhami mtume kama angekuwa hai haya aliyasema wakati wa uzee wake.

Hili la kumkubali mtume mbona hukulisema ?

Sasa turudi katika aya nataka utuambie wapi aliandika aya za Qur'aan Waraqah ?

Nasubiri majibu.
Weka ushahidi wa maandiko
1. Warak alikuwa myahudi
2. Alikuwa mkristo wa kumfuata Yesu na sio Paul
3. Walikuwa wanne na wanapingana na washirikina
4. Alikuwa muislamu wa kwanza kwa wanaume
5. Alimkubali mtume
6. Huyu jibril Yani Gabriel feki wa alllaha tunaona vitabu vya wayahud na wakristo hakuwahi kukaba mtu wala kuwa violence , alikuwa akifika anasema amani iwe nawe , huyu Alie Anza kukaba katokea wapi?


Nyiongeza Muhammad alikuwa dini gani kabla ya kukabwa pangoni?
 
Kijana inakuwaje unapoteza muda katika hakuna ?

Wapi Mtume alishiriki kufukua hilo kaburi ? Maana hayo ni maneno yako na inabidi utupe ushahidi,usilazimishe maana ambazo hazipo.
Unataka kusema Allah na muhammad hawakukata shauri katika jambo la kumfukua kila akizikwa , embu Kiri hilo tusipoteze mda
Koran 33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
 
Kwaio mkuu hauamini katika miujiza? Sijasema Mungu, miujiza. Hujawahi kukutana na scenario ambayo ukahisi kabisa kuna supernatural forces around hiyo scenario?

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Unajuaje hii ni supernatural force, na hii ni natural ila sijaielewa tu?

Babu na bibi zetu waliofariki miaka 200 iliyopita, leo ukiwaonesha taa za umeme, simu, mawasiliano kwa internet, television etc, usafiri kwa ndege, wanaweza kirahisi sana kusema hizi ni supernatural powers.

Wakati ni natural tu.

Sasa, na wewe ukiona kitu utajuaje hiki ni supernatural na hiki ni natural hujakielewa tu?
 
Haha kijana una hoja dhaifu sana sasa ukina hivyo hajata iwe hivyo. Na angeamua sote tukawa Waislamu na kuamini hilo kwake rahisi sana,kwahiyo hakuna mashaka hapo au angetaka sote tufe kwa wakati mmoja ingekuwa. Ila Allah anafanya mambo kwa sababu na hekima.

Naona huna hoja.
Nimekuja gundua wewe ni mtupu sana kwenye UISLAMU, unategemea nikuwekee ushahidi ILI ukasome , kazi yangu ilikuwa kuthibitisha mkristo kaandika Koran na kaandika Kati Aya kubwa sana kwenye Koran ,

Muhammad Allah katuma jibril amwambie soma ila mpaka Muhammad anakufa hajui kusoma , obviously kama hajui kosoma hajui kuandika , prophet kihiyo
 
Unajuaje hii ni supernatural force, na hii ni natural ila sijaielewa tu?

Babu na bibi zetu waliofariki miaka 200 iliyopita, leo ukiwaonesha taa za umeme, simu, mawasiliano kwa internet, television etc, usafiri kwa ndege, wanaweza kirahisi sana kusema hizi ni supernatural powers.

Wakati ni natural tu.

Sasa, na wewe ukiona kitu utajuaje hiki ni supernatural na hiki ni natural hujakielewa tu?
Kuna phenomenon ambazo kwa hali ya kawaida si kawaida. Mfano mambo kama ya mizimu etc. Hivi kwa mfano mtu anapandisha mashetani msikitini au kanisani (unaona kabisa huyu mtu yuko possessed) hii kitu ni kawaida kwako? Mtu kurogwa ni mambo ya kawaida? Umelala kitandani unaamka asubuhi uko chini ya mti, unahisi kuna nini kimeinfluence hiyo kitu?

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Kuna phenomenon ambazo kwa hali ya kawaida si kawaida. Mfano mambo kama ya mizimu etc. Hivi kwa mfano mtu anapandisha mashetani msikitini au kanisani (unaona kabisa huyu mtu yuko possessed) hii kitu ni kawaida kwako? Mtu kurogwa ni mambo ya kawaida? Umelala kitandani unaamka asubuhi uko chini ya mti, unahisi kuna nini kimeinfluence hiyo kitu?

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Nimekuuliza unajuaje hiki ni natural na hiki supernatural?

Na unajuaje kwamba unachofikiri supernatural si natural tu, ila wewe hujakielewa tu?

Unajuaje hii supernatural na hii karata tatu tu?
 
Unataka kusema Allah na muhammad hawakukata shauri katika jambo la kumfukua kila akizikwa , embu Kiri hilo tusipoteze mda
Koran 33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Sasa hii aya ina mafungamano gani na hilo tukio la huyo Mkristo ? Kwani Mkristo ni Muumini ?
 
1. Warak alikuwa myahudi
Safi kabisa naanzia hapa.

Nanukuu :

Waraqah ibn Nawfal was one of the four men of Quraysh who disliked polytheism, finding the plurality of society's idols making little sense. The other three were Zayd ibn Nufayl, Abdullah ibn Jahsh and Uthman ibn al-Huwayrith.

They simplified this system to comprise of just one idol and determined a day they would annually sacrifice an animal in its name.

The night when the Prophet (saw) was born, they found their idol had fallen; they repositioned it three times and each time it would fall. They soon realised it could not help itself, let alone its worshippers. (Ibn Kathir, al-Bidayah wa al-Nihayah, Vol. 2, p. 340; al-Halabi, al-Seerah al-Halabiyah, Vol. 1, p. 116)

Waraqah used to tell his companions:

تَعْلَمُونَ - وَاللَّهِ - مَا قَوْمُكُمْ عَلَى دِينٍ، وَلَقَدْ أَخْطَئُوا الْحُجَّةَ، وَتَرَكُوا دِينَ … يَا قَوْمِ، الْتَمِسُوا لِأَنْفُسِكُمُ الدِّينَ
"You know, by Allah, your people don't have a correct deen; they depend on false argument and left the deen of Ibrahim (as).
O people, search for yourselves the (right) deen." (Ibn Kathir, al-Bidayah, Vol. 2, p. 341, ibn Hisham, al-Seerah al-Nabawiyyah, Vol. 1, p. 242, al-Baghdadi, al-Munamaq, pp. 175-176)
These four truth-seekers began searching for authentic divine revelation. They met a Jewish group who influenced Waraqah to adopt their religion, but the others remained unpersuaded. They continued searching, moving from one religious community to another. A Christian community persuaded Waraqah to convert to Trinitarianism as preached by Paul, however the others remained unpersuaded, Zayd arguing it was little different to Quraysh's polytheism:

مَا هَذَا إلّا كَدِينِ قَوْمِنَا نُشْرَكُ وَيَشْرَكُونَ
"This is nothing but our people's deen i.e. we associate (gods with Allah) and they associate." (Qurtubi, al-Isti'aab, Vol. 2, p. 616, al-Halabi, al- Seerah al-Halabiyah, Vol. 1, p. 116)
They encountered some monotheistic Christians who seemed authentic in following the Prophet Jesus (as). Waraqah finally converted whilst the others preferred to adhere to the religion of Ibrahim (as) until the ba'thah of the Prophet (saw). Ibn Hajar narrated the last journey:

وَكَانَ لَقِيَ مَنْ بَقِيَ مِنَ الرُّهْبَانِ عَلَى دِينِ عِيسَى وَلَمْ يُبَدِّلْ
"He met what has been left of the monks who were on the (original) deen of Isa (Jesus) without change." (Ibn Hajar, Fath al-Bari, Vol. 1, p. 25)
It seems that Waraqah was adopting the most probable religion out there until he discovered the correct deen of Allah. It explains why he adopted whatever goodness he found in Judaism, then moving to Trinitarianism which he saw as abrogating Judaism and finally a lesser corrupted version of Christianity. What supports this understanding is the fact that he continued the search with his friends, refusing to remain with the group who converted him until the last group of monotheistic Christians.


2. Alikuwa mkristo wa kumfuata Yesu na sio Paul
Huwezi kuwa Mkristo ukawa unamfata Yesu.

Ila Waraqah kilicho msaidia ni elimu yake juu ya vitabu vya kale ndiyo maana alipomuona Mtume akamkubali.
5. Alimkubali mtume
Narrated `Aisha:
The Prophet (ﷺ) returned to Khadija while his heart was beating rapidly. She took him to Waraqa bin Naufal who was a Christian convert and used to read the Gospels in Arabic Waraqa asked (the Prophet), "What do you see?" When he told him, Waraqa said, "That is the same angel whom Allah sent to the Prophet) Moses. Should I live till you receive the Divine Message, I will support you strongly." (Sahih al Bukhari 3392)


3. Walikuwa wanne na wanapingana na washirikina
Rejea maelezo ya juu.
6. Huyu jibril Yani Gabriel feki wa alllaha tunaona vitabu vya wayahud na wakristo hakuwahi kukaba mtu wala kuwa violence , alikuwa akifika anasema amani iwe nawe , huyu Alie Anza kukaba katokea wapi?
Hii si hoja.
Nyiongeza Muhammad alikuwa dini gani kabla ya kukabwa pangoni?
Hakuwa MSHIRIKINA.
 
Nimekuja gundua wewe ni mtupu sana kwenye UISLAMU, unategemea nikuwekee ushahidi ILI ukasome , kazi yangu ilikuwa kuthibitisha mkristo kaandika Koran na kaandika Kati Aya kubwa sana kwenye Koran ,

Muhammad Allah katuma jibril amwambie soma ila mpaka Muhammad anakufa hajui kusoma , obviously kama hajui kosoma hajui kuandika , prophet kihiyo
Mpaka muda huu una ruka ruka hujaonyesha Waraqah ameandika aya gani na hili huwezi mpaka unakufa.

Huyi mkristo wa mwanzo alikuwa muongi ndiyo maana alipata laana ya Allah.

Kuwa kwangu Mtupu hakukufanyi wewe ukawa sahihi katika unachokileta yaani unazidi kuwa muongo na uongo wako naufichua na hujawahi kupatia.

Suala la kukutaka wewe uthibitishe ya kuwa Waraqah alikuwa Mkristo ni kwamba huwezi kuepuka kuthibitisha ya kuwa Waraqah ni kati ya watu wa mwanza kuona ishara za utume kwa Mtume Muhammad,hii inaonyesha ya kuwa wewe si msomaji na si muadilifu ndiyo maana ukaona la kuwa Waraqah ni Mkristo ila kumkubali Mtume hukuliona. Ndiyo maana hona zako huwa mfu na zenye kukosa mashiko.

Nasubiri uniwekee aya ambazo Waraqah alimuandikia Mtume.
 
Back
Top Bottom