Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Unawababua sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kila wakigeuka unawapopoa

Spensa_e,
kawashika pabaya sana
hawana pa kutokea.

tafadhali spensa, hebu waache wapumue japo kidogo tafadhali.

Au unataka wauhame Uislamu leoleo.
Nenda polepole kidogo.
Duh...[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kila mtume alikua akitumwa shahada yke inakua hivi

Ash'hadu An la ilaha illa llahu waana Ilyasa rasulu llahi

hii nimetolea mfano wa mtume ilyasa na ndo ivo ivo kwa mitume wengine
Na nabii Adam alishuhudia kwa Mtume yupi?
 
Enlighten me mkuu
Mfano kuna njia ubongo unatuma signal kwa nerves kutotuma signanls especial pain signals so mtu hawezi sikia mauvivu . Na bado ubongo can overjack itself maana bado binadamu hatuelewi hata 20% ya ubongo unavyofanya kazi . Sasa kama ubungo umejivuruga ksa muda mchache na umeshutdown senses je tofauti ipoje na mtu anayesadikiwa amepandwa na pepo.

Nervous system and immunity system are most ununderstood system katika mwili wa binadamu .
Mfano hamna ugonjwa ambao mwili wa binadamu hauwezi pambana nao ni vile tuu miili yetu inarespond slow kutapa antibodies
 
Huwa nakwambia karibu kila mara tunapokutana kwenye mjadala kwenye kutoa mfano wewe ni dhaifu sana,mfano wa karata na mwana siasa ni mbali si kila triki ni uchawi,maana yake kisa mwanasiasa ni muongo basi ni mchawi,mwanasiasa ana walaghai watu lakinu habadilishi uhalisia tofauti na mchawi.
Sasa mbona hapo juu katika post #998 umekubali karata tatu ni uchawi?

Unaelewa kama unakwenda mbele au unarudi nyuma wewe?

Unajua kusoma kwa ufahamu wewe?
 
Sasa mbona hapo juu katika post #998 umekubali karata tatu ni uchawi?
Wapi nimepinga ? Nimepinga ufyongo wa mfano wako ambao hauna uhusiano,umetolea mfano wa Mwanasiasa. Hivi huwa unasoma ninacho kiandika ?
Unaelewa kama unakwenda mbele au unarudi nyuma wewe?
Hapa unaenda mbele wewe sababu ninachokiandika wewe unaenda nacho kinyume.
Unajua kusoma kwa ufahamu wewe?
Tena kwa kufikiri kwa usahihi na kuhoji kadhalika.
 
Wapi nimepinga ? Nimepinga ufyongo wa mfano wako ambao hauna uhusiano,umetolea mfano wa Mwanasiasa. Hivi huwa unasoma ninacho kiandika ?

Hapa unaenda mbele wewe sababu ninachokiandika wewe unaenda nacho kinyume.

Tena kwa kufikiri kwa usahihi na kuhoji kadhalika.
Post #991 Kiranga
Umeandika kuhusu uchawi kwamba "...nako ni kuwadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona kuwa ni la kweli."

Nikijifunza mbinu za kupanga karata katika mchezo wa karata tatu, nikawadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona ni la kweli katika mchezo wa karata tatu, huo ni uchawi?

Post #998 Mubarridi
Naam ni katika uchawi. Na uchawi watu husomea.



Karata tatu ni uchawi au si uchawi?
 
Post #998 Mubarridi
Naam ni katika uchawi. Na uchawi watu husomea.



Karata tatu ni uchawi au si uchawi?
Kweli hauko makini,unapenda kurudia mambi ambayo nimeshayajibu.

Rejea post hiyo hiyo ya #998. Nilikujibu hilo swali.
 
Kweli hauko makini,unapenda kurudia mambi ambayo nimeshayajibu.

Rejea post hiyo hiyo ya #998. Nilikujibu hilo swali.
Post #1078

Mubarridi

"Huwa nakwambia karibu kila mara tunapokutana kwenye mjadala kwenye kutoa mfano wewe ni dhaifu sana,mfano wa karata na mwana siasa ni mbali si kila triki ni uchawi,maana yake kisa mwanasiasa ni muongo basi ni mchawi,mwanasiasa ana walaghai watu lakinu habadilishi uhalisia tofauti na mchawi."

Post #998 unakubali karata tatu ni uchawi, post # 1078 unasema mfano wa mwanasiasa na karata tatu ni mbali si kila triki ni uchawi.

Unaji contradict.
 
Post #1078

Mubarridi

"Huwa nakwambia karibu kila mara tunapokutana kwenye mjadala kwenye kutoa mfano wewe ni dhaifu sana,mfano wa karata na mwana siasa ni mbali si kila triki ni uchawi,maana yake kisa mwanasiasa ni muongo basi ni mchawi,mwanasiasa ana walaghai watu lakinu habadilishi uhalisia tofauti na mchawi."

Post #998 unakubali karata tatu ni uchawi, post # 1078 unasema mfano wa mwanasiasa na karata tatu ni mbali si kila triki ni uchawi.

Unaji contradict.
Unakubali ya kuwa post #998 ilikuja baada ya wewe kutaka kujua je karata tatu ni uchawi au si uchawi ?

Kisha nikafatisha maelezo ya kina juua ya mfano wako.

Hakuna sehemu niliyo ji contradict. Mimi nakosoa mfano wako wa Mwanasiasa ndiyo maana nikakwambia si kila ghishi ni uchawi. Mwanasiasa ana baki kuwa muongo ila habadilisho dhati ya kitu.

Uchawi upo wa aina kuu mbili na mmoja wapo unazaa matawi ambapo humo kunaingia mazingaombwe na mfano wa hayo.
 
Unakubali ya kuwa post #998 ilikuja baada ya wewe kutaka kujua je karata tatu ni uchawi au si uchawi ?

Kisha nikafatisha maelezo ya kina juua ya mfano wako.

Hakuna sehemu niliyo ji contradict. Mimi nakosoa mfano wako wa Mwanasiasa ndiyo maana nikakwambia si kila ghishi ni uchawi. Mwanasiasa ana baki kuwa muongo ila habadilisho dhati ya kitu.

Uchawi upo wa aina kuu mbili na mmoja wapo unazaa matawi ambapo humo kunaingia mazingaombwe na mfano wa hayo.
Kudanganya watu kwa karata katika mchezo wa karata tatu ni uchawi au si uchawi?
 
Kudanganya watu kwa karata katika mchezo wa karata tatu ni uchawi au si uchawi?
Hili unataka nikujibu mara ngapi ? Soma post namba 998.

Naona kama hauko kimjadala bali ni kupoteza muda.
 
Umesha soma? Nimeweka Muhammad alikuwa anawaruhusu kuchukua demu siku tatu alafu unamlipa , unaweza kumuacha na kuchukua mwingine au unaweza endelea nae
Watakuwa wamefuta.
Ila mbona nuhu nabii wenu alilala na watoto wake sio umalaya huo?
 
Back
Top Bottom