Jeshi la Polisi wamekuwa wakinyooshewa vidole juu ya vitambi. Lakini shida inatoka wizara ya elimu na afya. Shida ya vitambi na msururu wa magonjwa yasiyoambukizwa chimbuko lake ni wizara ya elimu kutoa elimu mbovu kwa watu kwenye chakula na wizara ya afya kutotoa mwongozo sahihi.
Tulitegemea kila Mtanzania katika elimu ya msingi ajue anahitaji kutunzaje mwili wake tangu tukiwa watoto wadogo.
Ukisoma ni vitu gani viko kwenye mitaala kuanzia elimu ya msingi na kujiuliza hayo yaliyoandikwa kwenye mitaala yanamsaidiaje Mtanzania kujua:
Haya ndiyo kipimo cha kupima ubora wa elimu yetu na unaweza kushangaa maboresho yanakuja na hoja za mtoto aendelee kujifunza upuuzi ule ule ila aongezewe na ushonaji, umeme, ujenzi, useremala. Eti ndiyo maboresho ya elimu.
Hii huwa tunaita the viscous circle of poverty, ambayo kutoka tunahitaji a big push na siyo system ileile kuendelea katika cicle ileile.
Tulitegemea kila Mtanzania katika elimu ya msingi ajue anahitaji kutunzaje mwili wake tangu tukiwa watoto wadogo.
Ukisoma ni vitu gani viko kwenye mitaala kuanzia elimu ya msingi na kujiuliza hayo yaliyoandikwa kwenye mitaala yanamsaidiaje Mtanzania kujua:
- Ale nini kwa siku na asile nini ili kulinda afya yake?
- Afanye nini zaidi ya kula au aepuke nini ili kulinda afya yake?
Haya ndiyo kipimo cha kupima ubora wa elimu yetu na unaweza kushangaa maboresho yanakuja na hoja za mtoto aendelee kujifunza upuuzi ule ule ila aongezewe na ushonaji, umeme, ujenzi, useremala. Eti ndiyo maboresho ya elimu.
Hii huwa tunaita the viscous circle of poverty, ambayo kutoka tunahitaji a big push na siyo system ileile kuendelea katika cicle ileile.