China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

leoleo-tu

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2018
Posts
2,224
Reaction score
6,784
Huawei anazidi kuishangaza dunia na kuonyesha kuwa sanctions hazifanyi kazi.
Baada ya kuwashangaza na simu zenye socs alizounda mwenyewe na ambazo demand ni kubwa kuliko hata uzalishaji wake kitu ambacho kilifanya US azidi kukaza vikwazo na watu wabaki midomo wazi maana walitegemea kwa nguvu zake mwenyewe itamchukua labda hadi 2029, sasa juzi katangaza ujio wa Kirin 9006C yenye 5nm technology.

US atajuta kwa sanctions kwa sababu alichojaribu kuzuia ni kama ametia petrol kwenye moto. Sanctions hazifanyi kazi kwa China.
images.jpeg
 
Natamani Huawei aweze kuifanya ile OS yake iweze kueleweka na watu wote duniani,yani kuwe na Android,iOS,na Harmony,then ziwe zinapambana kibiashara zaidi sio kisiasa

Shida ya Marekani akiona Huawei amempiga gape kidogo ataweka vikwazo vingine zaidi.

Ndio maana kujitegemea kwa kila kitu ni muhimu sana.

Kama simu za Huawei tangu toleo la kwanza kabisa wangetoa na OS yao wenyewe muda huu wangekuwa mbali sana.

Vile vikwazo vya Android kutumika kwenye Huawei viliipunguza kasi Huawei corporation kwa kiasi kikubwa na kwa kipindi kile ndo ilikuwa kwenye peak kabisa, ilikuwa tishio kwa Samsung na iphones.

Kwangu mimi mpaka sasa kwenye designing za simu Huawei nampa namba moja.
 
Natamani Huawei aweze kuifanya ile OS yake iweze kueleweka na watu wote duniani,yani kuwe na Android,iOS,na Harmony,then ziwe zinapambana kibiashara zaidi sio kisiasa

Shida ya Marekani akiona Huawei amempiga gape kidogo ataweka vikwazo vingine zaidi.

Ndio maana kujitegemea kwa kila kitu ni muhimu sana.

Kama simu za Huawei tangu toleo la kwanza kabisa wangetoa na OS yao wenyewe muda huu wangekuwa mbali sana.

Vile vikwazo vya Android kutumika kwenye Huawei viliipunguza kasi Huawei corporation kwa kiasi kikubwa na kwa kipindi kile ndo ilikuwa kwenye peak kabisa, ilikuwa tishio kwa Samsung na iphones.

Kwangu mimi mpaka sasa kwenye designing za simu Huawei nampa namba moja.
CEO wake alisema ingebaki iPhone na Huawei.
Nadhani taratibu itaenea inakamata japokuwa sisi wanazi wa huduma za Google itakuwa ngumu
 
Hiyo kirin 9006c inaanza kutumika kwenye laptop yake mpya Qingyun L420.
Utashangaa hiyo computer yake mpya itatumia Windows ya kampuni ya Microsoft (Marekani) au naye atatengeneza OS yake?
Nilipenda sana hizi battle za Linux na Windows, hapa nilitegemea mchina atakuja na Operating system yake lkn holaa mpaka leo.
Hapo ni sawa na kutengeneza gari halafu engine ni ya Marekani bado mchina anazidi kumnufaisha Marekani tu kwa software zake
 
Utashangaa hiyo computer yake mpya itatumia Windows ya kampuni ya Microsoft (Marekani) au naye atatengeneza OS yake?
Nilipenda sana hizi battle za Linux na Windows, hapa nilitegemea mchina atakuja na Operating system yake lkn holaa mpaka leo.
Hapo ni sawa na kutengeneza gari halafu engine ni ya Marekani bado mchina anazidi kumnufaisha Marekani tu kwa software zake
Kuunda OS jambo moja watu kuitumia ni jambo lingine.
Unadhani nchi kama Korea imeshindwa kuunda OS, samsung ana hadi OS ya simu lakini sasa ikitoka watu wataitumia.
Maana unaunda OS lakini lazima developers waunde apps na softwares ndipo watumiaji waitumie maana bila hivyo ni sawa na bure. Hilo ndilo lililoiua windows phone. Developers wengi hawakuwa tayari kuunda apps kwa windows phone mwisho ikakosa watumiaji Microsoft akaamua aiue tu maana ni hasara.
So, kumbuka kuna business part and you have to make profit.
 
Natamani Huawei aweze kuifanya ile OS yake iweze kueleweka na watu wote duniani,yani kuwe na Android,iOS,na Harmony,then ziwe zinapambana kibiashara zaidi sio kisiasa

Shida ya Marekani akiona Huawei amempiga gape kidogo ataweka vikwazo vingine zaidi.

Ndio maana kujitegemea kwa kila kitu ni muhimu sana.

Kama simu za Huawei tangu toleo la kwanza kabisa wangetoa na OS yao wenyewe muda huu wangekuwa mbali sana.

Vile vikwazo vya Android kutumika kwenye Huawei viliipunguza kasi Huawei corporation kwa kiasi kikubwa na kwa kipindi kile ndo ilikuwa kwenye peak kabisa, ilikuwa tishio kwa Samsung na iphones.

Kwangu mimi mpaka sasa kwenye designing za simu Huawei nampa namba moja.
Unaweza kushangaa OS ya Harmony lkn inatumia application za Android.
Hapo ndiyo unajiuliza ni OS ya Harmony au Android? Mbona app za android huwezi kuzi-install kwenye IOS.
 
Unaweza kushangaa OS ya Harmony lkn inatumia application za Android.
Hapo ndiyo unajiuliza ni OS ya Harmony au Android? Mbona app za android huwezi kuzi-install kwenye IOS.
Kwasababu hujui technical part of it huwezi kuelewa.
Hata blackberry os wakati inataka kufa update yake iliruhusu kuweka apps za android lakini haikumaanisha kuwa ilikuwa ni android. Hata kwenye mac os unaweza kurun apps za windows kwa kutumia virtual box, na kuna kipindi ulikuwa unaweza kutumia wine bottler kurun lunix kwenye windows.
Huawei alifanya hivyo kwa sababu store yake haikuwa na apps za kutosha na watumiaji bila apps hata OS iwe nzuri kiaje hakuna atakayeitaka. Mtu anataka instagram app hakuna hawezi kuendelea kuitumia. So, ndio maana alirubusu irun apps za android.
 
Kuunda OS jambo moja watu kuitumia ni jambo lingine.
Unadhani nchi kama Korea imeshindwa kuunda OS, samsung ana hadi OS ya simu lakini sasa ikitoka watu wataitumia.
Maana unaunda OS lakini lazima developers waunde apps na softwares ndipo watumiaji waitumie maana bila hivyo ni sawa na bure. Hilo ndilo lililoiua windows phone. Developers wengi hawakuwa tayari kuunda apps kwa windows phone mwisho ikakosa watumiaji Microsoft akaamua aiue tu maana ni hasara.
So, kumbuka kuna business part and you have to make profit.
Mbona wamerakani wamefanikiwa sana katika hili. Kwanini hao wachina washindwe?
Unakumbuka
  • Nokia Symbian OS
  • Blackberry OS. BBM
  • Windows Phone
  • Android
  • IOS
Kwenye hizo battle mchina hajaribu hata. Yeye anaangalia Marekani katengeneza OS gani nzuri ili aitumie.
Utakuja shangaa, Google wanaipiga chini Android wanaleta OS nyingine na mchina anadaka hiyo mpya.
 
Mbona wamerakani wamefanikiwa sana katika hili. Kwanini hao wachina washindwe?
Unakumbuka
  • Nokia Symbian OS
  • Blackberry OS. BBM
  • Windows Phone
  • Android
  • IOS
Kwenye hizo battle mchina hajaribu hata. Yeye anaangalia Marekani katengeneza OS gani nzuri ili aitumie.
Utakuja shangaa, Google wanaipiga chini Android wanaleta OS nyingine na mchina anadaka hiyo mpya.
Ni kwamba hufuatilii, huawei anayo harmony Os ina run kwenye simu, TV, na gadgets nyingine hadi saa. Hizi simu za Huawei now zina harmony OS.
Mchina anazo OS kibao kwa ajili ya vifaa vingine kama mashines ambazo huwezi kujua kwakuwa huinteract navyo kama unavyofanya kwenye computer.
Shida si kuunda OS, shida ni kuunda OS ukashawishiwi developers watengeneze app kwa ajili ya hiyo OS. Na ndio maana nimekwambia windows phone ilikufa kwa sababu ya kukosa apps na watu hilo likawafanya wasiitumie. Windows phone haikuwa hata na instagram wakati insta ilikuwa kwenye peak.
 
Back
Top Bottom