China Corona imepungua sana nao wanadai Mungu kawasaidia

China Corona imepungua sana nao wanadai Mungu kawasaidia

mtoto wa mchungaji

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2020
Posts
279
Reaction score
480
Taifa lenye watu wengi zaidi dunia, watu 1,444,251,755 mpaka kufikia tarehe 21/05/2021 kulikuwa na maambukizi mapya 24 tu, sawa na 0.000001, na vifo tangia ugojwa uanze ni watu 4636 tu ndiyo wamepoteza maisha.

Italia imepoteza watu124, 810
Iran imepoteza watu 78194
German imepoteza watu 87,639
India imepoteza watu 291,365
Iraq imepoteza watu 16,137
USA imepoteza watu 602,630
UK pia imepoteza watu 127,701

Chakushangaza ukifika China wenyeji yaani wachina wanawaita Wakristu na Waislamu wapagani tofauti na huku kwetu Uislam na Ukristo ni dini nje ya hapo wote ni wapagani. Na Wachina wanamshukuru Mungu wakati hawamwamini Yesu wala Mtume Muhamad, Allah wala Mungu wa Musa wala wa Yakobo. Na mwaka 1946 Moa Zedongaliongoza operesheni ya kuvunja Makanisa na Misikiti ikiwepo na kuyachoma moto na majengo mengine kuyataifisha kwa shughuli za kiserikali. Na watawa wote wa kigeni walipewa masaa 24 wawe wameondoka nchini. Historia inasema wengi wa Mashekh, Mapadre, Wachungaji na Maaskofu walifia gerezani yaani kama huku kwetu Segerea, nenda kasome utashangaa.

Hivyo hii imekaaje maana mimi Mtoto wa Mchungaji sielewi kwasababu ukichukuwa watu 1,444,251,755 na kutoa 4636 waliokufa kwa Korona unapata watu 1,444,274,119 kwa hisabati hii China kama hawana Korona. Na maana yake Mungu amewasaidia.

Pia leo hii China inakimbiza kiuchumi duniani yaani Marekani ulimi rula, Ujerumani ulimi rula, Ufaransa ulimi rula na wachina wanasema wanamshukuru Mungu amewasaidia, hivi hii ikoje, maana mimi nimezaliwa kanisani na nimelelewa na kusomeshwa na sadaka. Da mi kama sielewi.

Mtoto wa Mchungaji nauliza tu.
 
Itakua huyo mungu wao wa kipagani mana hata wahindi pia hawaamini ila wana mungu wao wanaomwamini.
 
Taifa lenye watu wengi zaidi dunia, watu 1,444,251,755 mpaka kufikia tarehe 21/05/2021 kulikuwa na maambukizi mapya 24 tu, sawa na 0.000001, na vifo tangia ugojwa uanze ni watu 4636 tu ndiyo wamepoteza maisha.
Itali imepoteza watu124, 810
Iran imepoteza watu 78194
German imepoteza watu 87,639
India imepoteza watu 291,365
Iraq imepoteza watu 16,137
USA imepoteza watu 602,630
UK pia imepoteza watu 127,701

Chakushangaza ukifika China wenyeji yaani wachina wanawaita Wakristu na Waislamu wapagani tofauti na huku kwetu Uislam na Ukristo ni dini nje ya hapo wote ni wapagani. Na Wachina wanamshukuru Mungu wakati hawamwamini Yesu wala Mtume Muhamad, Allah wala Mungu wa Musa wala wa Yakobo. Na mwaka 1946 Moa Zedongaliongoza operesheni ya kuvunja Makanisa na Misikiti ikiwepo na kuyachoma moto na majengo mengine kuyataifisha kwa shughuli za kiserikali. Na watawa wote wa kigeni walipewa masaa 24 wawe wameondoka nchini. Historia inasema wengi wa Mashekh, Mapadre, Wachungaji na Maaskofu walifia gerezani yaani kama huku kwetu Segerea, nenda kasome utashangaa.

Hivyo hii imekaaje maana mimi Mtoto wa Mchungaji sielewi kwasababu ukichukuwa watu 1,444,251,755 na kutoa 4636 waliokufa kwa Korona unapata watu 1,444,274,119 kwa hisabati hii China kama hawana Korona. Na maana yake Mungu amewasaidia.

Pia leo hii China inakimbiza kiuchumi duniani yaani Marekani ulimi rula, Ujerumani ulimi rula, Ufaransa ulimi rula na wachina wanasema wanamshukuru Mungu amewasaidia, hivi hii ikoje, maana mimi nimezaliwa kanisani na nimelelewa na kusomeshwa na sadaka. Da mi kama sielewi.

Mtoto wa Mchungaji nauliza tu.
China wanatumia radical measure ambazo ni nchi chache sana wanaweza kutumia. I mean China katika kupambana na corona wanatumia amri kali kama za kijeshi na kuweka demokrasia kando na wako makini sana bila kusahau uchapakazi. Measures ilizochukuwa China ukizi apply nchi za Magharibi zenye demokrasia hakutakalika. Haya ya kusema kuwa Mungu anasaidie nchi kwenye corona ni porojo za mwendazake. Mungu ametupa akili na maarifa.
 
mungu wa wachina ni dragon wanamwadhisha sana.
 
najiuliza kama wa china wangekua makoloni hp tz tungekua na dini gan kwa ss.
 
China wanatumia radical measure ambazo ni nchi chache sana wanaweza kutumia. I mean China katika kupambana na corona wanatumia amri kali kama za kijeshi na kuweka demokrasia kando na wako makini sana bila kusahau uchapakazi. Measures ilizochukuwa China ukizi apply nchi za Magharibi zenye demokrasia hakutakalika. Haya ya kusema kuwa Mungu anasaidie nchi kwenye corona ni porojo za mwendazake. Mungu ametupa akili na maarifa.
Na vilevile kutoa data za uongo
 
Taifa lenye watu wengi zaidi dunia, watu 1,444,251,755 mpaka kufikia tarehe 21/05/2021 kulikuwa na maambukizi mapya 24 tu, sawa na 0.000001, na vifo tangia ugojwa uanze ni watu 4636 tu ndiyo wamepoteza maisha.
Itali imepoteza watu124, 810
Iran imepoteza watu 78194
German imepoteza watu 87,639
India imepoteza watu 291,365
Iraq imepoteza watu 16,137
USA imepoteza watu 602,630
UK pia imepoteza watu 127,701

Chakushangaza ukifika China wenyeji yaani wachina wanawaita Wakristu na Waislamu wapagani tofauti na huku kwetu Uislam na Ukristo ni dini nje ya hapo wote ni wapagani. Na Wachina wanamshukuru Mungu wakati hawamwamini Yesu wala Mtume Muhamad, Allah wala Mungu wa Musa wala wa Yakobo. Na mwaka 1946 Moa Zedongaliongoza operesheni ya kuvunja Makanisa na Misikiti ikiwepo na kuyachoma moto na majengo mengine kuyataifisha kwa shughuli za kiserikali. Na watawa wote wa kigeni walipewa masaa 24 wawe wameondoka nchini. Historia inasema wengi wa Mashekh, Mapadre, Wachungaji na Maaskofu walifia gerezani yaani kama huku kwetu Segerea, nenda kasome utashangaa.

Hivyo hii imekaaje maana mimi Mtoto wa Mchungaji sielewi kwasababu ukichukuwa watu 1,444,251,755 na kutoa 4636 waliokufa kwa Korona unapata watu 1,444,274,119 kwa hisabati hii China kama hawana Korona. Na maana yake Mungu amewasaidia.

Pia leo hii China inakimbiza kiuchumi duniani yaani Marekani ulimi rula, Ujerumani ulimi rula, Ufaransa ulimi rula na wachina wanasema wanamshukuru Mungu amewasaidia, hivi hii ikoje, maana mimi nimezaliwa kanisani na nimelelewa na kusomeshwa na sadaka. Da mi kama sielewi.

Mtoto wa Mchungaji nauliza tu.
Mungu hana dini
 
Huyu Mungu wetu tuliyeletewa na wazungu na waarabu kwenye biblia na Quran ndiye aliyeharibu kila kitu chetu! Jiulize kwanini huwa ana wivu Sana kwa wenzake..."Mimi ni Mungu wako, usiwaabudu miungu wengine zaidi yangu..." Hapo si unaelewa kuwa naye hajiamini?

Africa kila kabila/jamii walikuwa na miungu zaidi ya mmoja ambao walikuwa na majukumu tofauti mfano Mungu wa mvua, Mungu bahari na maziwa, Mungu wa mavuno shambani, Mungu wa vizazi nk. Waliombwa kika mmoja kadri ya nahitaji yako na walijibu sawia....Ujinga ukikuja pale wenzetu walipoamua kuunganisha fani zote na kumpa Mungu mmoja ambaye ana wivu, ambaye usipopewa jina la kisasa hakusikilizi, ambaye wafuasi wake wanajivisha mabomu na kujilipua ili wampiganie yeye maana hawezi kujipigania...

Nirudi kwenye mada, watu wa Mashariki kwa maana ya India , China, Japan nk imani zao na miungu wao hawakuvurugwa Sana kama wa huku kwetu..!
 
Chakushangaza ukifika China wenyeji yaani wachina wanawaita Wakristu na Waislamu wapagani tofauti na huku kwetu Uislam na Ukristo ni dini nje ya hapo wote ni wapagani. Na Wachina wanamshukuru Mungu wakati hawamwamini Yesu wala Mtume Muhamad, Allah wala Mungu wa Musa wala wa Yakobo. Na mwaka 1946 Mao Zedong aliongoza operesheni ya kuvunja Makanisa na Misikiti ikiwepo na kuyachoma moto na majengo mengine kuyataifisha kwa shughuli za kiserikali. Na watawa wote wa kigeni walipewa masaa 24 wawe wameondoka nchini. Historia inasema wengi wa Mashekh, Mapadre, Wachungaji na Maaskofu walifia gerezani yaani kama huku kwetu Segerea, nenda kasome utashangaa.
Naam. Kitendo alichofanya Mao ni cha kutukuka katika ukombozi wa Taifa lililokuwa likitawaliwa.
Najiuliza kwanini Nyerere hakufanya hili?
 
China si ilistuka mapema influence ya dini zenu mbili ukristo na uislam

Ukweli lzm usemwe dini hizi zilikuja na agenda nyingine nyingi ambazo kwa jicho la tatu huwezi kuziona. sasa wenzetu walistukia mchezo mapemaaaaaaaa na bara ambalo tulikubali kuzipokea bila kufikiria mara mbili mbili ndo lina suffer kwa kuwa bara la giza.


Aliyetudanganya ili uweze kupata access ya Mungu laZima uwe na dini ndo katupeleka chaka..Dini ni moja ya njia ila ufalme wa Mungu upo ndani ya nafsi Zetu toka enzi na enzi kabla hata ya dini,Binadamu alikuwa ana uwezo wa kupata guidance flani kutoka somewhere kusikojulikana ambazo zilikuwa zinaweza kusaidia jamii katika mambo mbali mbali..

Walichofanya wadhungu na waarabu ni ku record waliyojifunza kutoka katika hizo sources na kuzifanya kuwa ni njia pekee ya kumu access Mungu na kwamba nyingine ni uongo BIG NO

Kama Mungu ni upendo hawezi na kamwe hataweza kuua mamillion ya wachina,wahindi ambao wanaabudu masanamu.
Tukubali kuna siri nyingi hatuZijui na tuna hitaji kuwa watu ambao ni open minded kukubali ukweli huu ambao umefichwa sana ila deep down kwenye nafsi zetu tunajua ni ukweli.
 
Huyu Mungu wetu tuliyeletewa na wazungu na waarabu kwenye biblia na Quran ndiye aliyeharibu kila kitu chetu! Jiulize kwanini huwa ana wivu Sana kwa wenzake..."Mimi ni Mungu wako, usiwaabudu miungu wengine zaidi yangu..." Hapo si unaelewa kuwa naye hajiamini?

Africa kila kabila/jamii walikuwa na miungu zaidi ya mmoja ambao walikuwa na majukumu tofauti mfano Mungu wa mvua, Mungu bahari na maziwa, Mungu wa mavuno shambani, Mungu wa vizazi nk. Waliombwa kika mmoja kadri ya nahitaji yako na walijibu sawia....Ujinga ukikuja pale wenzetu walipoamua kuunganisha fani zote na kumpa Mungu mmoja ambaye ana wivu, ambaye usipopewa jina la kisasa hakusikilizi, ambaye wafuasi wake wanajivisha mabomu na kujilipua ili wampiganie yeye maana hawezi kujipigania...

Nirudi kwenye mada, watu wa Mashariki kwa maana ya India , China, Japan nk imani zao na miungu wao hawakuvurugwa Sana kama wa huku kwetu..!
Ndebile unaupeo mkubwa sana ndugu, fundisha wenzako tumepotezwa
Tuwasiliane _ ndagad@yahoo.com
 
Naam. Kitendo alichofanya Mao ni cha kutukuka katika ukombozi wa Taifa lililokuwa likitawaliwa.
Najiuliza kwanini Nyerere hakufanya hili?
Alikuwa mwoga na pia aliubeba ukatoriki wake yaani dini kutoka Roma akisahau babu zake walikuwa wakisali na matokeo ya haraka Mungu aliyafanya pale Butiama
 
Back
Top Bottom