bintishomvi
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 1,164
- 833
Nahiyo ml.6 itatosha pamoja na nauri?Visa nenda ubalozi wa china.kama ni mara ya kwanza procedure zinaweza zikakusumbua,ukimtumia agent ili upate visa sio mbaya sana.ukihitaji mawasiliano ya agent hapo dar nijulishe.tiketi inafatana na msimu.msimu huu wa baridi tiketi ni bei rahisi kidogo.kuhusu siku za kushop it depends na u sharp wako
Asante kwa taarifa hii muhimu, ni imani yangu kuwa taarifa hii itawasaidia wengiSafi sana kwa ushauri mzuri, uliongeo yote yana ukweli ndani yake! pia sisi ni kampuni (Traders Easy Way-TEW) tunawasadia wafanyabiashara wanaohitaji bidhaa kutoka China na pia tunatoa uduma ya usafirishaji na clearance bandarini.Kuhusu suala la ubora tuna utaratibu maalumu ambao tunatumia na kuakikisha bidhaa tunazo source na kusupply zina ubora na zinaendana na mahitaji ya mteja.
Kwa habari zaidi kuhusu kampuni yetu, tembelea website yetu ili uwezejua jinsi tunavyotoa huduma Traders Easy Way - The exporter from China - Welcome to Traderseasyway
facebook page: Traders Easy Way
WhatsApp: +86 15996481355, email: info@traderseasyway.com.
Asante kwa taarifa hii muhimu, ni imani yangu kuwa taarifa hii itawasaidia wengi
Nasisi tuanze kupelekeka mazaga kwao.sio wao tu watuletee sisiMkuu, in most cases hawa jamaa wanahitaji MALI GHAFI kama vile MBAO zenye ubora ili kutengenezea samani mbalimbali. Pia wanahitaji sea products kama samaki wa aina mbalimbali kwa ajili ya kusindika.
Bidhaa nyingine ambazo watanzania tunaweza kuuza kwao ni kahawa, matunda hasa maembe! Juice ya maembe iko ghali sana China na nadhani ni kwa sababu wao hawalimi.
Nyama ya NG'OMBE hasa wanaotoka huku kwetu ni WATAMU ukilinganisha na nyama inayouzwa China ambayo haitoshelezi soko. . Ikumbukwe kuwa kuku na kitimoto ndio nyama rahisi inayoliwa na wachima
Naomba kujua bei ya namba 3 na pia mimi huwa najasiriamalika kwa kutengeneza sabuni za maji na miche.Naweza pata mashine yake?Bei gani?AsanteMkuu , huo mtaji wa 5000 USD( 5000X6.2 元= 31,000 元😉huo ni mtaji mkubwa tu na unaweza kufanya biashara kwa baadhi ya vitu ikiwa tu hiyo itakuwa ni nje ya nauli na pesa ya kujikimu.
BACK TO YOUR QN. Sina current price ya baadhi ya machines lakini unaweza kununua machine zifuatazo kwa mtaji wako:
1. Machine ya kutengeza bisi(popcorn )
2. Machine ya kutengeneza ice cream/ barafu
3. mashine ya kutengenezea juice mbalimbali(juicer). kama machungwa(ninayo MPYA ambayo haitumii umeme, ukihitaji tuwasiliane)
4. Mashine ya kukaangia chips(ninayo MPYA,ukihitaji tuwasiliane)
5. Mashine ya kutotolea vifaranga
6. Mashine ya kubania glasi za juice km take away(ninayo MPYA, ntafute kama unahitaji )
Nk. Wengine wataongezea
Kipilipili naomba unisaidie namna ya kupata mashine za kamali,kama zilizowekwa mitaani na wachina.
Check your PMMkuu kipilipili naomba namba yako tafadhali sana
Naomba uni PM namba yako mkuuasante nawe mkuu
bei ya mashine ya juice KWA SASA ni laki 250,000Naomba kujua bei ya namba 3 na pia mimi huwa najasiriamalika kwa kutengeneza sabuni za maji na miche.Naweza pata mashine yake?Bei gani?Asante
Natoa hiyo huduma. Unaweka oda, kisha unalipia nusu ya gharama.Mzigo wako ukifika Tanzania unamalizia gharama iliyobakia. Tuwasiliane zaidi PM kama unahitaji.Skukrani kwa kushare uzoefu, kama mtu akitaka kufanya biashara ya kuagiza mikoba ya kike kutoka huko kuja Tz anaweza fata utaratibu gani? naomba kujua kwa yeyote mwenye uzoefu na biashara hii
Karibu sana.Poleni nilipotea kidogo humu kwa muda. i am back now#hii thread ni educative, ahsante Mkuu!!
Ninataka kutengeneza√ print nguo za clothline yangu pamoja na stationary line.Nimejaribu kufuatilia Nikaambiwa wasanii wengi wanafanyia China.Unaweza kusaidia kunipa mwanga kuhusu hili na gharama zake zikoje mkuu.Asante kwa taarifa hii muhimu, ni imani yangu kuwa taarifa hii itawasaidia wengi
Habari mkuu vipi kuhusu vifaa vya TV . subwoofer. Radio namaanisha ic zake na vinginevyo?Natoa hiyo huduma. Unaweka oda, kisha unalipia nusu ya gharama.Mzigo wako ukifika Tanzania unamalizia gharama iliyobakia. Tuwasiliane zaidi PM kama unahitaji.
vipo na vinapatikana. Kujua bei zake pitia tovuti zilizopo kwenye uzi mwanzoni nilieleza. Ama kama unataka tufanye biashara, karibu sana mkuu ,tuwasiliane PM.Habari mkuu vipi kuhusu vifaa vya TV . subwoofer. Radio namaanisha ic zake na vinginevyo?