Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kua mtu wa kupinga kila kitu wafanyabashara wamefurahi sana kutokana na hii issue ya kusamehewa Rais Samia Suluhu anaendelea kupambana ili kumarisha uchumi wa Tanzania na wananchiTujiulize hao wachina wenyewe wanapata nini hawawezi kusamehe Kodi kizembe ndio tuamue kama ni jambo jema au tumepigwa
Na sisi wabongo wachuuzi za bidhaa za china tumeshindwa kupewa soko kwa bidhaa za china hapa tz kwa kigezo cha kukingia vifua bidhaa/viwanda vya ndani!!!? NANI ANANYONYWA HAPA!!?Bidhaa zilizondelewa kodi asilimia kubwa wachuuzi wake humu bongo ni kutoka china.
Kifupi wachina wamejitafutia soko uchinani
Tutampongeza nae aachie Free port/ zero tariff bidhaa kutoka china, tofauti na hapo atakua kesha tuuza, sisi tutafaidika nini na bidhaa kutoka china kama za kwetu kwao ni free ila za kwao kuja huku ni kulipia!!?Alafu kuna lipuuzi huko linakuja kudai Samia asipongezwe
Tanzania tunapokea bidhaa nyingi sana kutoka wewe unataka ufaidikaje mjombaNasisi tufanye ZERO TRAFFIC kwa bidhaa zao pia ili i fuq[emoji2959] both side sio tu wao wazoe KAHAWA NA KOROSHO, NA MAPARACHICHI YETU alafu sisi tusifaidi chochote kutoka kwao
Wewe sio mfanya biashara lakini wafanyaiashara wakubwa wanajua faida ya hii kitu kaa kwa kutulia ule mema ya nchi mzee Rais Samia Suluhu anajitahidi kila siku kutuinua kiuchumiHii ni offer au kuiweka nchi kwenye vitanzi vizito
Unakuta anaepinga hata sio mfanyabiashara anafata mkumbo tu lakini wafanyabiashara wanamshukulu sana Rais Samia SuluhuAlafu kuna lipuuzi huko linakuja kudai Samia asipongezwe
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Kwa mara ya kwanza Jamhuri ya watu wa China imepitisha uamuzi wa kuondoa kodi (Zero-Tarrif) kwa asilimia 98 ya bidhaa zinazotoka Tanzania kuanzia Mosi Disemba 2022. Msamaha huu kwa bidhaa za Tanzania ni matokeo ya juhudi za Rais Samia katika kukuza diplomasia.
Bidhaa zilizoondolewa ushuru ni pamoja na bidhaa za bahari, Korosho, Parachichi, Karafuu, Kahawa, bidhaa za madini, Tumbaku, bidhaa za ngozi n.k, China ni soko lenye watu zaidi ya bilioni 1.4 ikiongoza Duniani na pia ikiwa na pato ghafi (GDP) linalo kadiriwa kuwa zaidi ya Dola Trilioni 17.
Kwa mujibu wa Takwimu zilizopo, katika kipindi cha Mwezi Octoba 2022 ukilinganisha na kipindi kama hiki mwaka
2021, Tanzania imeendelea kuimarisha uwezo wake wa kuuza bidhaa nje(Export) ambapo kiwango kimeongezeka kutoka Dola Bilioni 9.4 hadi Dola Bilioni 11.6. Kasi hii ni kubwa na inayotoa tumaini kubwa.
Pia, katika maeneo mengine kiuchumi serikali chini ya Rais Samia inaendele kufanya vizuri, mfano katika Mfumuko wa Bei, kiwango kimeendelea kuwa cha 5.4% (Single digit index), ni nchi chache Duniani zenye kiwango hiki.
Kila anachofanya Rais Samia Suluhu lazima kilete matokeo chanya lakini kwakua wewe unaangalia in negative way hauwezi kuona lakini sisi wafanyabiashara tunasema Rais Samia Suluhu ametufungulia milango ya kibiasharaNa Sisi tumewapa nn ?
Fatilia na Hilo ujue
Kubwa jingaBashiru anajua mama anaupiga mwingi ila anajizima data tu
Sasa unafikiri wametusamehe bila wao kupata chochote? Ukienda ugenini Kwa watu unachinjiwa kuku wewe ytawalusha tembele wakija kwako?China ndio imesamehe na sio Tanzania mzee
Wale wafanyabiashara wa vitenge kimewakuta nini!? Kodi iliyokuwepo na ukilinganisha na wanayotakiwa kulipa sshv unaijua!!? Kama wao wamefanya zero tariffs kwann ss tusifanye hivyo ili na sisi tunufaikeTanzania tunapokea bidhaa nyingi sana kutoka wewe unataka ufaidikaje mjomba
Umeongea kitu ambacho haukijui China inauza bidhaa nyingi sana Tanzania ukisema China ilete bidhaa zao for free watakua wanatunyonya sana lakini sisi tunapeleka vitu vichache sana kwaiyo think twice Rais Samia Suluhu anatufungulia milango ya biashara acha kulalamika kwa kitu usichokijuaTutampongeza nae aachie Free port/ zero tariff bidhaa kutoka china, tofauti na hapo atakua kesha tuuza, sisi tutafaidika nini na bidhaa kutoka china kama za kwetu kwao ni free ila za kwao kuja huku ni kulipia!!?
Tutampongeza nae aachie Free port/ zero tariff bidhaa kutoka china, tofauti na hapo atakua kesha tuuza, sisi tutafaidika nini na bidhaa kutoka china kama za kwetu kwao ni free ila za kwao kuja huku ni kulipia!!?