Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Mwisho wa mwaka huu haujawa mzuri kwa Pentagon na defense contractors wake, kwa ujumla unaweza kuwaita U.S MIC (U.S Military Industrial Complex)
Mapema mwezi Novemba kwenye Zhuhai Air show China walionyesha toleo jipya na la pili la 5th generation fighter jet J-35 ambayo imekuja kuichallange F-35.
J-35
Hatimaye kwenye race ya 6th generation fighter, China limekuwa taifa la kwanza duniani kufanya successfully first flight. PLAAF (People's Liberation Army Air Force) imefanya majaribio ya ndege 2 za 6th Gen
Mapema mwezi Novemba kwenye Zhuhai Air show China walionyesha toleo jipya na la pili la 5th generation fighter jet J-35 ambayo imekuja kuichallange F-35.
J-35
Hatimaye kwenye race ya 6th generation fighter, China limekuwa taifa la kwanza duniani kufanya successfully first flight. PLAAF (People's Liberation Army Air Force) imefanya majaribio ya ndege 2 za 6th Gen
Chengdu 6th Gen design with 3 Engines
Shenyang 6th Gen design with 2 engines
Kama haitoshi siku moja baadaye Desemba 27 China ikaipa tena salamu Pentagon kwa kuzindua the world's largest amphibious assault ship type 076 "Sichuan." The largest and most advanced amphibious ship in the world.
- Hii itakuwa carrier kwa stealth attack drones na helicopter. Ya kwanza duniani kuwa na Electromagnetic Aircraft Launch System (EMALS) na Landing Helicopter Dock (LHD)
- Ina electromagnetic catapult system kuwezesha kurusha na kutua kwa unmanned combat aerial vehicles (UCAVs) na hata manned aircraft.
- Sichuan also performs its direct landing functions a large amount of equipment and troops are placed inside.
Kwa sasa ukizungumzia the largest navy fleets in the world upande wa Majeshi ya Navy duniani, jeshi la Navy la China ndio jeshi kubwa zaidi. China now possesses the world’s largest maritime fighting force, and it is growing further.
Kwa kuongezea tena siku hiyohiyo ya Desemba 27 China ikazindua "KJ 3000" next-generation stealth detecting AWACS (Airborne Warning and Control System)
KJ 3000
- Ina radar za kisasa za mfumo wa AESA (Active Electronically Scanned Array), antennas
- Kikubwa zaidi ina long range stealth detection.
Hapa stealth jets za Mmarekani kama F-22 na F-35 zitakuwa detected kirahisi.
Pia China ikazindua stealth attack drone GJ-11. Hizi ni Unmanned Combat Aerial Vehicle (UCAV) zitakazokuwa zinabebwa kwenye the world's largest amphibious ship type 076 Sichuan. Inafahamika kwa kuwa na stealth capabilities na ground strikes.
Halafu kuna chombo inaitwa WZ-9 Divine Eagle UAV hii pia ni an unmanned AWACS, na ina uwezo wa kwenda high-altitude ina maana inaweza kupaa mbali zaidi kuliko ground radars, hii ni kwa ajili ya anti-stealth missions.
WZ-9 Divine Eagle Wakati yote hayo yakiendelea China, kwa upande wa Marekani mpango wa kuunda 6th generation airplane fighter unaofahamika kama NGAD (The Next Generation Air Dominance) umesimamishwa kwa muda kutokana na cost overruns and outdated designs.
Ikumbukwe China inatumia 1.6% tu ya GDP yake kwenye defense budget huku Marekani ikitumia 3.6%
China is openly challenging the U.S to an arms race
Ikumbukwe China inatumia 1.6% tu ya GDP yake kwenye defense budget huku Marekani ikitumia 3.6%
China is openly challenging the U.S to an arms race