China imeufunga huu mwaka kwa kishindo kikubwa imekuwa nightmare kwa watengeneza silaha wa Marekani na dalali wao Pentagon

China imeufunga huu mwaka kwa kishindo kikubwa imekuwa nightmare kwa watengeneza silaha wa Marekani na dalali wao Pentagon

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Mwisho wa mwaka huu haujawa mzuri kwa Pentagon na defense contractors wake, kwa ujumla unaweza kuwaita U.S MIC (U.S Military Industrial Complex)

Mapema mwezi Novemba kwenye Zhuhai Air show China walionyesha toleo jipya na la pili la 5th generation fighter jet J-35 ambayo imekuja kuichallange F-35.
J-35A_Zhuhai_Airshow_2024.png

J-35

Hatimaye kwenye race ya 6th generation fighter, China limekuwa taifa la kwanza duniani kufanya successfully first flight. PLAAF (People's Liberation Army Air Force) imefanya majaribio ya ndege 2 za 6th Gen
20241230_095241.jpg

Chengdu 6th Gen design with 3 Engines

20241230_102402.jpg

Shenyang 6th Gen design with 2 engines


Kama haitoshi siku moja baadaye Desemba 27 China ikaipa tena salamu Pentagon kwa kuzindua the world's largest amphibious assault ship type 076 "Sichuan." The largest and most advanced amphibious ship in the world.

20241230_094603.jpg

  • Hii itakuwa carrier kwa stealth attack drones na helicopter. Ya kwanza duniani kuwa na Electromagnetic Aircraft Launch System (EMALS) na Landing Helicopter Dock (LHD)
  • Ina electromagnetic catapult system kuwezesha kurusha na kutua kwa unmanned combat aerial vehicles (UCAVs) na hata manned aircraft.

  • Sichuan also performs its direct landing functions a large amount of equipment and troops are placed inside.

Kwa sasa ukizungumzia the largest navy fleets in the world upande wa Majeshi ya Navy duniani, jeshi la Navy la China ndio jeshi kubwa zaidi. China now possesses the world’s largest maritime fighting force, and it is growing further.


Kwa kuongezea tena siku hiyohiyo ya Desemba 27 China ikazindua "KJ 3000" next-generation stealth detecting AWACS (Airborne Warning and Control System)

20241230_095247.jpg

KJ 3000
  • Ina radar za kisasa za mfumo wa AESA (Active Electronically Scanned Array), antennas

  • Kikubwa zaidi ina long range stealth detection.

Hapa stealth jets za Mmarekani kama F-22 na F-35 zitakuwa detected kirahisi.


Pia China ikazindua stealth attack drone GJ-11. Hizi ni Unmanned Combat Aerial Vehicle (UCAV) zitakazokuwa zinabebwa kwenye the world's largest amphibious ship type 076 Sichuan. Inafahamika kwa kuwa na stealth capabilities na ground strikes.
20241230_103225.png
GJ-11

Halafu kuna chombo inaitwa WZ-9 Divine Eagle UAV hii pia ni an unmanned AWACS, na ina uwezo wa kwenda high-altitude ina maana inaweza kupaa mbali zaidi kuliko ground radars, hii ni kwa ajili ya anti-stealth missions.
20241229_230335.jpg
WZ-9 Divine Eagle

Wakati yote hayo yakiendelea China, kwa upande wa Marekani mpango wa kuunda 6th generation airplane fighter unaofahamika kama NGAD (The Next Generation Air Dominance) umesimamishwa kwa muda kutokana na cost overruns and outdated designs.

Ikumbukwe China inatumia 1.6% tu ya GDP yake kwenye defense budget huku Marekani ikitumia 3.6%

China is openly challenging the U.S to an arms race
 
Mwisho wa mwaka huu haujawa mzuri kwa Pentagon na defense contractors wake, kwa ujumla unaweza kuwaita U.S MIC (U.S Military Industrial Complex)

Mapema mwezi Novemba kwenye Zhuhai Air show China walionyesha toleo jipya na la pili la 5th generation fighter jet J-35 ambayo imekuja kuichallange F-35.
View attachment 3188426

J-35

Hatimaye kwenye race ya 6th generation fighter, China limekuwa taifa la kwanza duniani kufanya successfully first flight. PLAAF (People's Liberation Army Air Force) imefanya majaribio ya ndege 2 za 6th Gen
View attachment 3188394
Chengdu 6th Gen design with 3 Engines

View attachment 3188396
Shenyang 6th Gen design with 2 engines


Kama haitoshi siku moja baadaye Desemba 27 China ikaipa tena salamu Pentagon kwa kuzindua the world's largest amphibious assault ship type 076 "Sichuan." The largest and most advanced amphibious ship in the world.

View attachment 3188407
  • Hii itakuwa carrier kwa stealth attack drones na helicopter. Ya kwanza duniani kuwa na Electromagnetic Aircraft Launch System (EMALS) na Landing Helicopter Dock (LHD)
  • Ina electromagnetic catapult system kuwezesha kurusha na kutua kwa unmanned combat aerial vehicles (UCAVs) na hata manned aircraft.

  • Sichuan also performs its direct landing functions a large amount of equipment and troops are placed inside.

Kwa sasa ukizungumzia the largest navy fleets in the world upande wa Majeshi ya Navy duniani, jeshi la Navy la China ndio jeshi kubwa zaidi. China now possesses the world’s largest maritime fighting force, and it is growing further.


Kwa kuongezea tena siku hiyohiyo ya Desemba 27 China ikazindua "KJ 3000" next-generation stealth detecting AWACS (Airborne Warning and Control System)

View attachment 3188412

KJ 3000
  • Ina radar za kisasa za mfumo wa AESA (Active Electronically Scanned Array), antennas

  • Kikubwa zaidi ina long range stealth detection.

Hapa stealth jets za Mmarekani kama F-22 na F-35 zitakuwa detected kirahisi.


Pia China ikazindua stealth attack drone GJ-11. Hizi ni Unmanned Combat Aerial Vehicle (UCAV) zitakazokuwa zinabebwa kwenye the world's largest amphibious ship type 076 Sichuan. Inafahamika kwa kuwa na stealth capabilities na ground strikes.
View attachment 3188419
GJ-11

Halafu kuna chombo inaitwa WZ-9 Divine Eagle UAV hii pia ni an unmanned AWACS, na ina uwezo wa kwenda high-altitude ina maana inaweza kupaa mbali zaidi kuliko ground radars, hii ni kwa ajili ya anti-stealth missions.
View attachment 3188422
WZ-9 Divine Eagle

Wakati yote hayo yakiendelea China, kwa upande wa Marekani mpango wa kuunda 6th generation airplane fighter unaofahamika kama NGAD (The Next Generation Air Dominance) umesimamishwa kwa muda kutokana na cost overruns and outdated designs.

Ikumbukwe China inatumia 1.6% tu ya GDP yake kwenye defense budget huku Marekani ikitumia 3.6%

China is openly challenging the U.S to an arms race
Naam ndo vile
 
Hizi naona kama zina fanana na za wa bwana mkubwa sema tu zao ni mpya lakini naona kama ni copy and pest, kwa uelewe wangu mdogo.
Sawa elezea features ambacho Mchina amecopy na kupaste kutoka kwa Marekani. Kuna tofauti kubwa sana kati ya copy and paste na innovation

Umewahi kuiona wapi fighter jet ya Marekani ya 6th Gen mpaka useme Mchina amecopy?

Mbona amphibious ship ya Marekani ukilinganisha na ya China ni ya kizamani na ndogo na iko outdated
 
Sawa elezea features ambacho Mchina amecopy na kupaste kutoka kwa Marekani. Kuna tofauti kubwa sana kati ya copy and paste na innovation

Umewahi kuiona wapi fighter jet ya Marekani ya 6th Gen mpaka useme Mchina amecopy?

Mbona amphibious ship ya Marekani ukilinganisha na ya China ni ya kizamani na ndogo na iko outdated
Nimesema naona maana ya kuwa sina uhakika ndio maaana nikahitaji ufafanuzi zaidi maana utaalamu wa hivi vitu wala chembe yake sina utaalamu navyo zaidi ya kuangalia maumbo yake tu ndugu, nafikiri sikufafanua vyema.
 
Mwisho wa mwaka huu haujawa mzuri kwa Pentagon na defense contractors wake, kwa ujumla unaweza kuwaita U.S MIC (U.S Military Industrial Complex)

Mapema mwezi Novemba kwenye Zhuhai Air show China walionyesha toleo jipya na la pili la 5th generation fighter jet J-35 ambayo imekuja kuichallange F-35.
View attachment 3188426

J-35

Hatimaye kwenye race ya 6th generation fighter, China limekuwa taifa la kwanza duniani kufanya successfully first flight. PLAAF (People's Liberation Army Air Force) imefanya majaribio ya ndege 2 za 6th Gen
View attachment 3188394
Chengdu 6th Gen design with 3 Engines

View attachment 3188396
Shenyang 6th Gen design with 2 engines


Kama haitoshi siku moja baadaye Desemba 27 China ikaipa tena salamu Pentagon kwa kuzindua the world's largest amphibious assault ship type 076 "Sichuan." The largest and most advanced amphibious ship in the world.

View attachment 3188407
  • Hii itakuwa carrier kwa stealth attack drones na helicopter. Ya kwanza duniani kuwa na Electromagnetic Aircraft Launch System (EMALS) na Landing Helicopter Dock (LHD)
  • Ina electromagnetic catapult system kuwezesha kurusha na kutua kwa unmanned combat aerial vehicles (UCAVs) na hata manned aircraft.

  • Sichuan also performs its direct landing functions a large amount of equipment and troops are placed inside.

Kwa sasa ukizungumzia the largest navy fleets in the world upande wa Majeshi ya Navy duniani, jeshi la Navy la China ndio jeshi kubwa zaidi. China now possesses the world’s largest maritime fighting force, and it is growing further.


Kwa kuongezea tena siku hiyohiyo ya Desemba 27 China ikazindua "KJ 3000" next-generation stealth detecting AWACS (Airborne Warning and Control System)

View attachment 3188412

KJ 3000
  • Ina radar za kisasa za mfumo wa AESA (Active Electronically Scanned Array), antennas

  • Kikubwa zaidi ina long range stealth detection.

Hapa stealth jets za Mmarekani kama F-22 na F-35 zitakuwa detected kirahisi.


Pia China ikazindua stealth attack drone GJ-11. Hizi ni Unmanned Combat Aerial Vehicle (UCAV) zitakazokuwa zinabebwa kwenye the world's largest amphibious ship type 076 Sichuan. Inafahamika kwa kuwa na stealth capabilities na ground strikes.
View attachment 3188419
GJ-11

Halafu kuna chombo inaitwa WZ-9 Divine Eagle UAV hii pia ni an unmanned AWACS, na ina uwezo wa kwenda high-altitude ina maana inaweza kupaa mbali zaidi kuliko ground radars, hii ni kwa ajili ya anti-stealth missions.
View attachment 3188422
WZ-9 Divine Eagle

Wakati yote hayo yakiendelea China, kwa upande wa Marekani mpango wa kuunda 6th generation airplane fighter unaofahamika kama NGAD (The Next Generation Air Dominance) umesimamishwa kwa muda kutokana na cost overruns and outdated designs.

Ikumbukwe China inatumia 1.6% tu ya GDP yake kwenye defense budget huku Marekani ikitumia 3.6%

China is openly challenging the U.S to an arms race
China imetoa variant nyingine ya J-35 sababu J-35 mpaka leo haipo introduced jeshini. Hakuna squadron yoyote yenye J-35, hivyo bado ni ndege ya majaribio. J-35 imefanya first flight mwaka 2012, J-35A imeruka mwaka jana tu hapo. Bado ipe miaka angalau minne ndio ikubalike jeshini.

Hata stealth J-20 bado haijafikia malengo, bado haijapata stealth engine yake halisi. Mpaka baadae wakifanya modernization ya units kama 200 za J-20 za sasa au watoe variant nyingine yenye stealth engine.

Kuhusu 6th generation fighter, tiyari Marekani inayo NGAD ambayo miezi kadhaa nyuma ilitajwa imefanya test flight ila sasa mashabiki wa China wanalazimisha picha na taarifa zaidi, jambo ambalo Pentagon hawajatoa kwahiyo ushahidi hamna. B-21 Raider ilienda kimyakimya mpaka mwaka jana ikaonekana. Na ni 6th generation bomber ya kwanza duniani.
NGAD imesimama, sio kwamba imesitishwa watu wasijidanganye.

Hiyo LHD yenye EMALS ni maendeleo mazuri kwa Wachina. Hawajawahi kuwa na carrier yenye EMALS, Marekani Ford class ina EMALS mwaka 9 sasa kutoka kampuni ya General Atomics.
Pia Marekani hawapendelei meli ndogondogo, hawataki helicopter carriers kama za Waturuki, Wakorea, Wajapan na Wafaransa na sasa Mchina kaja na hii.

Hizo drones zipo nyingi Marekani. MQ-28 Stingray ya Boeing hii itakuwa refuering tanker ya kwanza ambayo ni drone na inatua kwenye carrier
RDT_20241230_1636502999931164531169489.png

X-47B ya Northrop Grumman watengenezaji wa B-2 na B-21 iko juu hapo. Chini ni MQ-28
mq-25_f-35_refueling_1_large_res.jpg


Kuhusu AWACS, Marekani hawana drone AWACS na sioni kama inawezekana.
China ndio kwaza wanafanya testing ya AWACS yao ya kwanza, nyingine zote walikuwa wananunua airframes Urusi. US kwenye submarine hunting, AWACS na reconn wako vizuri.

Pia Marekani ina total displacement kubwa kuliko China. Ila China ina meli nyingi kuliko Marekani, maana yake China ina meli ndogo nyingi. Alafu Marekani ina presence kila bahari kuu duniani kasoro kusini mwa Afrika.
 
Mwisho wa mwaka huu haujawa mzuri kwa Pentagon na defense contractors wake, kwa ujumla unaweza kuwaita U.S MIC (U.S Military Industrial Complex)

Mapema mwezi Novemba kwenye Zhuhai Air show China walionyesha toleo jipya na la pili la 5th generation fighter jet J-35 ambayo imekuja kuichallange F-35.
View attachment 3188426

J-35

Hatimaye kwenye race ya 6th generation fighter, China limekuwa taifa la kwanza duniani kufanya successfully first flight. PLAAF (People's Liberation Army Air Force) imefanya majaribio ya ndege 2 za 6th Gen
View attachment 3188394
Chengdu 6th Gen design with 3 Engines

View attachment 3188396
Shenyang 6th Gen design with 2 engines


Kama haitoshi siku moja baadaye Desemba 27 China ikaipa tena salamu Pentagon kwa kuzindua the world's largest amphibious assault ship type 076 "Sichuan." The largest and most advanced amphibious ship in the world.

View attachment 3188407
  • Hii itakuwa carrier kwa stealth attack drones na helicopter. Ya kwanza duniani kuwa na Electromagnetic Aircraft Launch System (EMALS) na Landing Helicopter Dock (LHD)
  • Ina electromagnetic catapult system kuwezesha kurusha na kutua kwa unmanned combat aerial vehicles (UCAVs) na hata manned aircraft.

  • Sichuan also performs its direct landing functions a large amount of equipment and troops are placed inside.

Kwa sasa ukizungumzia the largest navy fleets in the world upande wa Majeshi ya Navy duniani, jeshi la Navy la China ndio jeshi kubwa zaidi. China now possesses the world’s largest maritime fighting force, and it is growing further.


Kwa kuongezea tena siku hiyohiyo ya Desemba 27 China ikazindua "KJ 3000" next-generation stealth detecting AWACS (Airborne Warning and Control System)

View attachment 3188412

KJ 3000
  • Ina radar za kisasa za mfumo wa AESA (Active Electronically Scanned Array), antennas

  • Kikubwa zaidi ina long range stealth detection.

Hapa stealth jets za Mmarekani kama F-22 na F-35 zitakuwa detected kirahisi.


Pia China ikazindua stealth attack drone GJ-11. Hizi ni Unmanned Combat Aerial Vehicle (UCAV) zitakazokuwa zinabebwa kwenye the world's largest amphibious ship type 076 Sichuan. Inafahamika kwa kuwa na stealth capabilities na ground strikes.
View attachment 3188419
GJ-11

Halafu kuna chombo inaitwa WZ-9 Divine Eagle UAV hii pia ni an unmanned AWACS, na ina uwezo wa kwenda high-altitude ina maana inaweza kupaa mbali zaidi kuliko ground radars, hii ni kwa ajili ya anti-stealth missions.
View attachment 3188422
WZ-9 Divine Eagle

Wakati yote hayo yakiendelea China, kwa upande wa Marekani mpango wa kuunda 6th generation airplane fighter unaofahamika kama NGAD (The Next Generation Air Dominance) umesimamishwa kwa muda kutokana na cost overruns and outdated designs.

Ikumbukwe China inatumia 1.6% tu ya GDP yake kwenye defense budget huku Marekani ikitumia 3.6%

China is openly challenging the U.S to an arms race
Wamarekani toka Ugweno hawawezi kubali hu ukweli
 
Tunataka kuziona kwenye mapambano front line, ampe hata Iran azijaribu pale Israeli ambapo USA ameweka zake.

Ampe Russia azitest pale Ukraine tuone uwezo wake, au alianzishe Pale Taiwan tuone uwezo wake.

Mwenzie USA silaha zake anazijua efficiency yake kwenye uhalisia Kwa maana uwanja wa vita maana ameshapigana vita nyingi na kufadhili vita nyingi, hii imempa nafasi ya kupima ufanisi wa silaha zake.

Japs aka Japan baaada yakuaccumulate silaha nyingi na kuvamia na kuziteka baadhi ya nchi akaona amemaliza na uwezo wake ni mkubwa, kilichomkuta hataki vita tena.
 
Kuhusu 6th generation fighter, tiyari Marekani inayo NGAD ambayo miezi kadhaa nyuma ilitajwa imefanya test flight ila sasa mashabiki wa China wanalazimisha picha na taarifa zaidi, jambo ambalo Pentagon hawajatoa kwahiyo ushahidi hamna. B-21 Raider ilienda kimyakimya mpaka mwaka jana ikaonekana. Na ni 6th generation bomber ya kwanza duniani.
NGAD imesimama, sio kwamba imesitishwa watu wasijidanganye.
Marekani hajawahi kufanya test flight ya 6th Gen tuletee ushahidi wa picha au video, kwanza mpango wenyewe wa NGAD uko paused sidhani kama wameresume
 
Back
Top Bottom