Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #21
China imetoa variant nyingine ya J-35 sababu J-35 mpaka leo haipo introduced jeshini. Hakuna squadron yoyote yenye J-35, hivyo bado ni ndege ya majaribio. J-35 imefanya first flight mwaka 2012, J-35A imeruka mwaka jana tu hapo. Bado ipe miaka angalau minne ndio ikubalike jeshini
Hata stealth J-20 bado haijafikia malengo, bado haijapata stealth engine yake halisi. Mpaka baadae wakifanya modernization ya units kama 200 za J-20 za sasa au watoe variant nyingine yenye stealth engine.
Wakati SR-71 Blackbird inakuwa launched kulikuwa na ushahidi hata wa jina tu la ndege, achana na picha?Marekani hajawahi kufanya test flight ya 6th Gen tuletee ushahidi wa picha au video, kwanza mpango wenyewe wa NGAD uko paused sidhani kama wameresume
WS-15 engine imeanza kuruka mwaka jana, hata 2025 bado haitokuwa kwenye matumizi.Malengo gani? Inatumia WS-15 engine
Mwisho wa mwaka huu haujawa mzuri kwa Pentagon na defense contractors wake, kwa ujumla unaweza kuwaita U.S MIC (U.S Military Industrial Complex)View attachment 3188394
Mapema mwezi Novemba kwenye Zhuhai Air show China walionyesha toleo jipya na la pili la 5th generation fighter jet J-35 ambayo imekuja kuichallange F-35.
View attachment 3188426
J-35
Hatimaye kwenye race ya 6th generation fighter, China limekuwa taifa la kwanza duniani kufanya successfully first flight. PLAAF (People's Liberation Army Air Force) imefanya majaribio ya ndege 2 za 6th Gen
Chengdu 6th Gen design with 3 Engines
View attachment 3188396
Shenyang 6th Gen design with 2 engines
Kama haitoshi siku moja baadaye Desemba 27 China ikaipa tena salamu Pentagon kwa kuzindua the world's largest amphibious assault ship type 076 "Sichuan." The largest and most advanced amphibious ship in the world.
View attachment 3188407
Hii itakuwa carrier kwa stealth attack drones na helicopter. Ya kwanza duniani kuwa na Electromagnetic Aircraft Launch System (EMALS) na Landing Helicopter Dock (LHD)
- Ina electromagnetic catapult system kuwezesha kurusha na kutua kwa unmanned combat aerial vehicles (UCAVs) na hata manned aircraft.
Sichuan also performs its direct landing functions a large amount of equipment and troops are placed inside.
Kwa sasa ukizungumzia the largest navy fleets in the world upande wa Majeshi ya Navy duniani, jeshi la Navy la China ndio jeshi kubwa zaidi. China now possesses the world’s largest maritime fighting force, and it is growing further.
Kwa kuongezea tena siku hiyohiyo ya Desemba 27 China ikazindua "KJ 3000" next-generation stealth detecting AWACS (Airborne Warning and Control System)
View attachment 3188412
KJ 3000
Ina radar za kisasa za mfumo wa AESA (Active Electronically Scanned Array), antennas
Kikubwa zaidi ina long range stealth detection. GJ-11
Hapa stealth jets za Mmarekani kama F-22 na F-35 zitakuwa detected kirahisi.
Pia China ikazindua stealth attack drone GJ-11. Hizi ni Unmanned Combat Aerial Vehicle (UCAV) zitakazokuwa zinabebwa kwenye the world's largest amphibious ship type 076 Sichuan. Inafahamika kwa kuwa na stealth capabilities na ground strikes.
View attachment 3188419
Halafu kuna chombo inaitwa WZ-9 Divine Eagle UAV hii pia ni an unmanned AWACS, na ina uwezo wa kwenda high-altitude ina maana inaweza kupaa mbali zaidi kuliko ground radars, hii ni kwa ajili ya anti-stealth missions.WZ-9 Divine Eagle
View attachment 3188422
Wakati yote hayo yakiendelea China, kwa upande wa Marekani mpango wa kuunda 6th generation airplane fighter unaofahamika kama NGAD (The Next Generation Air Dominance) umesimamishwa kwa muda kutokana na cost overruns and outdated designs.
Ikumbukwe China inatumia 1.6% tu ya GDP yake kwenye defense budget huku Marekani ikitumia 3.6%
China is openly challenging the U.S to an arms race
Sawa elezea features ambacho Mchina amecopy na kupaste kutoka kwa Marekani. Kuna tofauti kubwa sana kati ya copy and paste na innovation
Umewahi kuiona wapi fighter jet ya Marekani ya 6th Gen mpaka useme Mchina amecopy?
Mbona amphibious ship ya Marekani ukilinganisha na ya China ni ya kizamani na ndogo na iko outdated
Na inachohofiwa hiyo 6th gen ya China ni kuwa integrated na uwezo wa AI
Marekani haina airshow, military parade wala weapons expo. Ndio maana huwezi ona silaha zake zimepangwa zipigwe picha.Kama walishafanya official unveils kwenye Zhuhai airshow ni suala la muda tu kuingizwa rasmi kwenye J-35A kwa ajili ya PLAAF (Air force) na J-35 kwa ajili ya PLAN (Navy)
Hata J-20 iliingia baadaye baada ya muda ni kawaida kwa China kufanya hivyo
Ila huwa wanaanza kutoa details matumizi yake mapema
Wakumbushe US hawezi kutangaza mambo yake. Akili nyingiChina imetoa variant nyingine ya J-35 sababu J-35 mpaka leo haipo introduced jeshini. Hakuna squadron yoyote yenye J-35, hivyo bado ni ndege ya majaribio. J-35 imefanya first flight mwaka 2012, J-35A imeruka mwaka jana tu hapo. Bado ipe miaka angalau minne ndio ikubalike jeshini.
Hata stealth J-20 bado haijafikia malengo, bado haijapata stealth engine yake halisi. Mpaka baadae wakifanya modernization ya units kama 200 za J-20 za sasa au watoe variant nyingine yenye stealth engine.
Kuhusu 6th generation fighter, tiyari Marekani inayo NGAD ambayo miezi kadhaa nyuma ilitajwa imefanya test flight ila sasa mashabiki wa China wanalazimisha picha na taarifa zaidi, jambo ambalo Pentagon hawajatoa kwahiyo ushahidi hamna. B-21 Raider ilienda kimyakimya mpaka mwaka jana ikaonekana. Na ni 6th generation bomber ya kwanza duniani.
NGAD imesimama, sio kwamba imesitishwa watu wasijidanganye.
Hiyo LHD yenye EMALS ni maendeleo mazuri kwa Wachina. Hawajawahi kuwa na carrier yenye EMALS, Marekani Ford class ina EMALS mwaka 9 sasa kutoka kampuni ya General Atomics.
Pia Marekani hawapendelei meli ndogondogo, hawataki helicopter carriers kama za Waturuki, Wakorea, Wajapan na Wafaransa na sasa Mchina kaja na hii.
Hizo drones zipo nyingi Marekani. MQ-28 Stingray ya Boeing hii itakuwa refuering tanker ya kwanza ambayo ni drone na inatua kwenye carrierView attachment 3188626
X-47B ya Northrop Grumman watengenezaji wa B-2 na B-21 iko juu hapo. Chini ni MQ-28View attachment 3188625
Kuhusu AWACS, Marekani hawana drone AWACS na sioni kama inawezekana.
China ndio kwaza wanafanya testing ya AWACS yao ya kwanza, nyingine zote walikuwa wananunua airframes Urusi. US kwenye submarine hunting, AWACS na reconn wako vizuri.
Pia Marekani ina total displacement kubwa kuliko China. Ila China ina meli nyingi kuliko Marekani, maana yake China ina meli ndogo nyingi. Alafu Marekani ina presence kila bahari kuu duniani kasoro kusini mwa Afrika.
Hiyo LHD yenye EMALS ni maendeleo mazuri kwa Wachina. Hawajawahi kuwa na carrier yenye EMALS, Marekani Ford class ina EMALS mwaka 9 sasa kutoka kampuni ya General Atomics.
Wao wanaendelea na kuprint dollar ili wazipeleke Israeli na UkraineMarekani hajawahi kufanya test flight ya 6th Gen tuletee ushahidi wa picha au video, kwanza mpango wenyewe wa NGAD uko paused sidhani kama wameresume
Marekani haina airshow, military parade wala weapons expo. Ndio maana huwezi ona silaha zake zimepangwa zipigwe picha.
J-35 ni jibu la F-35C na B ambazo zimeruka miaka zaidi ya 10 nyuma.
J-20 ambayo bado haijakamilika ni jibu la F-35 ambayo ni matured kwa miaka zaidi ya 10.
China huwa hafanyi research, ukiona katoa kitu ujue ameshaona mchoro mahala. Yeye matoleo yake ukiyafuatilia utagundua kwa Euro na US ni ngazi ya research, tena hata hawajafika hatua ya kuomba vibali vya majaribio.China imetoa variant nyingine ya J-35 sababu J-35 mpaka leo haipo introduced jeshini. Hakuna squadron yoyote yenye J-35, hivyo bado ni ndege ya majaribio. J-35 imefanya first flight mwaka 2012, J-35A imeruka mwaka jana tu hapo. Bado ipe miaka angalau minne ndio ikubalike jeshini.
Hata stealth J-20 bado haijafikia malengo, bado haijapata stealth engine yake halisi. Mpaka baadae wakifanya modernization ya units kama 200 za J-20 za sasa au watoe variant nyingine yenye stealth engine.
Kuhusu 6th generation fighter, tiyari Marekani inayo NGAD ambayo miezi kadhaa nyuma ilitajwa imefanya test flight ila sasa mashabiki wa China wanalazimisha picha na taarifa zaidi, jambo ambalo Pentagon hawajatoa kwahiyo ushahidi hamna. B-21 Raider ilienda kimyakimya mpaka mwaka jana ikaonekana. Na ni 6th generation bomber ya kwanza duniani.
NGAD imesimama, sio kwamba imesitishwa watu wasijidanganye.
Hiyo LHD yenye EMALS ni maendeleo mazuri kwa Wachina. Hawajawahi kuwa na carrier yenye EMALS, Marekani Ford class ina EMALS mwaka 9 sasa kutoka kampuni ya General Atomics.
Pia Marekani hawapendelei meli ndogondogo, hawataki helicopter carriers kama za Waturuki, Wakorea, Wajapan na Wafaransa na sasa Mchina kaja na hii.
Hizo drones zipo nyingi Marekani. MQ-28 Stingray ya Boeing hii itakuwa refuering tanker ya kwanza ambayo ni drone na inatua kwenye carrierView attachment 3188626
X-47B ya Northrop Grumman watengenezaji wa B-2 na B-21 iko juu hapo. Chini ni MQ-28View attachment 3188625
Kuhusu AWACS, Marekani hawana drone AWACS na sioni kama inawezekana.
China ndio kwaza wanafanya testing ya AWACS yao ya kwanza, nyingine zote walikuwa wananunua airframes Urusi. US kwenye submarine hunting, AWACS na reconn wako vizuri.
Pia Marekani ina total displacement kubwa kuliko China. Ila China ina meli nyingi kuliko Marekani, maana yake China ina meli ndogo nyingi. Alafu Marekani ina presence kila bahari kuu duniani kasoro kusini mwa Afrika.
Okay sikukumbuka kama Fujian pia inayo EMALS, basi sasa China inazo meli mbili zenye EMALS tech ambayo waliyozindua 2 years ago.Tunazungunzia Amphibious assault ships sio carries.
Amphibilus za Marekani hazina catapult wala well deck hazina uwezo wa kubeba dozens of fixed wing aircraft na drones
Mchina hajaanza kuwa na EMALS kwenye hii type 076 aliaanza tangu kwenye Fujian carrier hii ni mara ya pili kutumia EMALS
Umesema vyemaNa inachohofiwa hiyo 6th gen ya China ni kuwa integrated na uwezo wa AI
J-20 kaifanyia first flight 2012 hadi leo haina injini yake😂China huwa hafanyi research, ukiona katoa kitu ujue ameshaona mchoro mahala. Yeye matoleo yake ukiyafuatilia utagundua kwa Euro na US ni ngazi ya research, tena hata hawajafika hatua ya kuomba vibali vya majaribio.
Anapenda kuwa wa kwanza ku release halafu sokoni havidumu hata wiki mbili.
Silaha zake nyingi hata hezibollah waliona hazifai, ni bora hata ya kombeeo na manati
Okay sikukumbuka kama Fujian pia inayo EMALS, basi sasa China inazo meli mbili zenye EMALS tech ambayo waliyozindua 2 years ago.
Marekani inazo meli 4 zenye EMALS tech aliyozindua miaka 9 nyuma.
Amphibious ships za Marekani hazilazimiki kuwa na EMALS sababu F-35B ni STOVL, then nyinginezo ni helicopters.
China hawana STOVL aircraft hivyo lazima wakurupuke kuzinasa ndege zisidumbukie majini maana hii sio carrier. Current assault ship ya Marekani ni America class na inaweza beba ndege 20 hadi 25 kulingana na mixture ya F-35B na naval helicopters kama King Stallion (ambayo Wachina hata wauze, hawawezi kuwa na helicopter kama hii).
America class ikiwa na ndege, nyingine ziko ndani kwenye deckView attachment 3188889View attachment 3188890
J-20 kaifanyia first flight 2012 hadi leo haina injini yake😂
Sasa hawa wameona ndege mara ya kwanza leo washaanza kushangilia, watasubiri hadi 2030s uko. Wakati Marekani tests zake ni majangwani uko Area 51 na Arizona.