kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,466
- 4,916
Urusi kashindwa vita huku aiwa anakalia majimbo manne ya Ukraine. Hebu fafanua hapa mkuu.Watakua walichelewa vita ilianza Feb wao wanatangaza leo wakati Nchi zote zilikua zinahangaika kutoa watu wake wao walikua wanafanya nini? Mrusi kashashindwa vita msitake kutishana wakati giza linaenda kuisha...
Ukute una akili nyingi sana na unaona vitu tofauti alna watu wengine😄😄😄😄😄😄