China is the upcoming super power

China is the upcoming super power

Yani hapo inajulisha mambo madogo tu unashindwa kung'amua kesha wajifanya mjuaji.
Fuatilia mjadala ulianzia wapi.
Kuna ripoti imetoa IMF na kuna ripoti walitoa wenyewe wanauchumi wa marekani kuhsu vita ya kiuchumi ya China na USA na waka conclude vipi.
Ingia hata youtube utakuta kwa vyombo vyao vya habari hivyo hivyo.
We umekaa nyuma ya keyboard unabwabwaja tu.
Kweli mimi nimekaa nyuma ya keyboard,wewe umekaa nyuma ya nn? 🤣 🤣 Hii ndo shida ya product za Musiba na gwajima
 
Unahitaji maarifa,na nashukuru sana ulianza kwa kuomba maarifa-meaning una gap la idea za implications za kiuchumi.Ujuaji mwingi haufai.
Huu mjadala sio kwaajili ya wahaya kama nyie mnaojitia ujuaji.
Wanaojua walikuja kustaarabu tukajadiliana na tukaelimishana unlike wewe unajikwaza pasi na kutoa facts.
KAMA UNAJUA TOA FACTS KAMA WENZAKO. SIO KUM ATTACK MTU.
 
Huu mjadala sio kwaajili ya wahaya kama nyie mnaojitia ujuaji.
Wanaojua walikuja kustaarabu tukajadiliana na tukaelimishana unlike wewe unajikwaza pasi na kutoa facts.
KAMA UNAJUA TOA FACTS KAMA WENZAKO. SIO KUM ATTACK MTU.
Kuambiwa hujui na kwamba ukajifunze ndiyo tusi? 🤣 🤣
 
Huwezi ku-justify kwamba china ni very powerful economically kwa sababu anamkopesha sana US,Umejaribu kufanya analysis ya kujua why chinese are investing heavily on US economy? The US economy is very productive,innovative,ina currency ambayo ni stable,ina credibility ya kulipa madeni na mengineyo hivyo inaufanya kuwa very attractive kwa investors.Asilimia kubwa pia ya deni jumla la US linamilikiwa na wananchi pamoja na taasis zake za ndani ukiachilia China,Japan,and etc-Unapaswa uelewe pia hili. Backresa,Mo,Mengi wanakopa sana kwa sababu wapo very productive na ni rahisi kukopesheka kwa sababu wana credibility.Pesa wanazokopeshwa zinatoka kwa watu ambao pengine hawana cha kuzifanyia."Bank ni mahali ambapo wajinga huenda kuweka hela zao na wenye akili wanaenda kuzichukua" 🤣 🤣 🤣

duu!
 
WE KWELI MATAKO
UNANILISHA MANENO AMBAYO SIJASEMA UNANILAZIMISHAJE NKUBALI NISICHOSEMA??
SOMA VIZURI HIYO MISAMIATI NIMEIPANGILIAJE NA NIMEMAANISHA NINI.
KUBISHANA NA WAPUMBAVU SHIDA SANA.
Straight to the ignore list, you asshole. I'll never ever see your postings again!!
 
Back
Top Bottom