China is the upcoming super power

China is the upcoming super power

Unamaanisha nini mkuu - juzi hapa si amerusha wana anga watatu kwenda kwenye space station yake watakaa huko kwa miezi mitatu, China ndio Taifa pekee Duniani ambalo limefanikiwa kutuma chombo mwezini kikatua upande wa pili wa mwezi ambao hauonekani Duniani - kinacho washangaza wana sayansi wa NASA na Warusi ni kule kufanikiwa kwa Wachina ku-maintain mawasiliano ya radio frequency 24X7 baina ya chombo na base stations za hapa Duniani kikatuma picha pamoja na video seamlessly!! Si Amerika wala Urusi walio wahi kufankisha kitu kama hicho, vyombo vyao vya anga vilipokuwa vinazubguja upande wa pili wa mwezi basi mawasiliano baina ya chombo na aridhi yanakatika mpaka chombo kinapo rudi upande wa pili unao onekana ukiwa aridhini/Duniani - cha kujiuliza hapa Wachina wakitumia mbinu gani kuwapiku wenzao?

Hilo la kwanza, la pili - mwishoni mwa mwaka jana chombo cha anga cha Wachina kiliganikiwa ku-land kwenye sayari ya MARS ambayo umbali wake kutoka aridhini ni makumi ya mamillion Kilometer kilituwa kwenye aridhi ya MARS, kikashusha mobile rover yenye magurudumu ikafanya tour sehemu mbali mbali,ikapima: composition za udogo,hali ya hewa,kupiga high resolution picha na video na kuzituma Duniani - kama unafikiri hilo in jambo dogo kisayansi na kitekinilojia you better think again.

La tatu lina husu jeshi la Uchina kumiliki makombora type ya hypersonic ambayo hata Merikani imekuwa mkweli kwa kusema hawana kinga yoyote ya kulinda Taifa lao dhidi ya makombora/missiles hizo hatarishi, ni mataifa mawili tu Duniani yenye kumiliki hypersonic missiles, nayo ni: ni Uchina na Urusi basi, Amerika inajitahidi kuunda za kwao lakini mpaka sasa hawaja fanikiwa, majaribio yao yote yame-fail, who knows may be watafanikiwa eventually.

Haya sasa tuje kwenye teknilojia ya mawasiliano na hapo Uchina imeyapiku mataifa ya magharibi kwenye nyanja za 5G technology, Wachina ndio wamefanikiwa kuunda a truly 5G stuff unlike mataifa mengine yanayo tinker around na 4G technology halafu wanazuga watu kwamba na hiyo 5G
technology lakini uki-check bit rate throughput unagunduwa kumbe ni dead slow compared na Chinese Huawei stuff, ndio maana Pompeo alilikuwa ana endesha kampeini ya ulaghai tu kwa kusingizia Huawei kwamba katika vifaa vyao vya mawasiliano wame-embed software za kudukuwa watumiaji, anatisha tisha Mataifa kwamba wasinunue equipment za mawasiliano zinazo undwa na Huawei - lengo likiwa kuihujumu China kiuchumi.

Kwa kumalizia - je,una habari kwamba Uchina ndilo Taifa linao ongoza Duniani kwa kuunda fastest super computer wametumia hardware zinazo zalishwa huko huko Uchina kuanzia: Microprocessor, Memories nk. Wachina wameunda Quantum Computers, Quantum radar zenye uwezo wa ku-identify Stealth bombers na fighters, hapo hatujagusia kuhusu maendeleo makubwa kwenye masuala ya teknilojia ya Artificial Intelligence (AI) hivi asa China imeipiku US na mataifa ya Ulaya kwenye teknilojia ya AI.Bottom line is: Hivi ni sekta hipi ambayo Wachina hawana uwezo wa kutoa ushindani. Wachina kitu ambacho hawafanyi ni kutambia mataifa mengine, kuvamia au kupiga mabomu Mataifa ambayo hawayapendi, kuchochea vurugu na ku-assassinate viongozi bila sababu zozote za msingi - Wachina hawana tabia hizo za kishenzi.
Akikujibu unitag MKUU

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
China huyu huyu alilabwa vikwazo na DT akawa analialia

USA atabaki kuwa super power kwasababu moja tuu hana adui,hawa unaowaona China,Irani,Rassia nk ni midoli yake ya kutudanganyia kuwaa anapambana

mdogo wangu, kikwazo pekee kilichobaki ni USD, hii kuivunja ni ngumu sana maana inatumika dunia nzima, ivo vingine ni kunogesha tu uzi, marekani anadaiwa na china
1628601448220.png


Lakini pia juzi china wamezindua currency yao wenyewe katika harakati za kuipiga usd, usa amebaki na jeshi kubwa ila sector zingine mpaka ushawishi wanatumia nguvu tu
 
Unamaanisha nini mkuu - juzi hapa si amerusha wana anga watatu kwenda kwenye space station yake watakaa huko kwa miezi mitatu, China ndio Taifa pekee Duniani ambalo limefanikiwa kutuma chombo mwezini kikatua upande wa pili wa mwezi ambao hauonekani Duniani - kinacho washangaza wana sayansi wa NASA na Warusi ni kule kufanikiwa kwa Wachina ku-maintain mawasiliano ya radio frequency 24X7 baina ya chombo na base stations za hapa Duniani kikatuma picha pamoja na video seamlessly!! Si Amerika wala Urusi walio wahi kufankisha kitu kama hicho, vyombo vyao vya anga vilipokuwa vinazubguja upande wa pili wa mwezi basi mawasiliano baina ya chombo na aridhi yanakatika mpaka chombo kinapo rudi upande wa pili unao onekana ukiwa aridhini/Duniani - cha kujiuliza hapa Wachina wakitumia mbinu gani kuwapiku wenzao?

Hilo la kwanza, la pili - mwishoni mwa mwaka jana chombo cha anga cha Wachina kiliganikiwa ku-land kwenye sayari ya MARS ambayo umbali wake kutoka aridhini ni makumi ya mamillion Kilometer kilituwa kwenye aridhi ya MARS, kikashusha mobile rover yenye magurudumu ikafanya tour sehemu mbali mbali,ikapima: composition za udogo,hali ya hewa,kupiga high resolution picha na video na kuzituma Duniani - kama unafikiri hilo in jambo dogo kisayansi na kitekinilojia you better think again.

La tatu lina husu jeshi la Uchina kumiliki makombora type ya hypersonic ambayo hata Merikani imekuwa mkweli kwa kusema hawana kinga yoyote ya kulinda Taifa lao dhidi ya makombora/missiles hizo hatarishi, ni mataifa mawili tu Duniani yenye kumiliki hypersonic missiles, nayo ni: ni Uchina na Urusi basi, Amerika inajitahidi kuunda za kwao lakini mpaka sasa hawaja fanikiwa, majaribio yao yote yame-fail, who knows may be watafanikiwa eventually.

Haya sasa tuje kwenye teknilojia ya mawasiliano na hapo Uchina imeyapiku mataifa ya magharibi kwenye nyanja za 5G technology, Wachina ndio wamefanikiwa kuunda a truly 5G stuff unlike mataifa mengine yanayo tinker around na 4G technology halafu wanazuga watu kwamba na hiyo 5G
technology lakini uki-check bit rate throughput unagunduwa kumbe ni dead slow compared na Chinese Huawei stuff, ndio maana Pompeo alilikuwa ana endesha kampeini ya ulaghai tu kwa kusingizia Huawei kwamba katika vifaa vyao vya mawasiliano wame-embed software za kudukuwa watumiaji, anatisha tisha Mataifa kwamba wasinunue equipment za mawasiliano zinazo undwa na Huawei - lengo likiwa kuihujumu China kiuchumi.

Kwa kumalizia - je,una habari kwamba Uchina ndilo Taifa linao ongoza Duniani kwa kuunda fastest super computer wametumia hardware zinazo zalishwa huko huko Uchina kuanzia: Microprocessor, Memories nk. Wachina wameunda Quantum Computers, Quantum radar zenye uwezo wa ku-identify Stealth bombers na fighters, hapo hatujagusia kuhusu maendeleo makubwa kwenye masuala ya teknilojia ya Artificial Intelligence (AI) hivi asa China imeipiku US na mataifa ya Ulaya kwenye teknilojia ya AI.Bottom line is: Hivi ni sekta hipi ambayo Wachina hawana uwezo wa kutoa ushindani. Wachina kitu ambacho hawafanyi ni kutambia mataifa mengine, kuvamia au kupiga mabomu Mataifa ambayo hawayapendi, kuchochea vurugu na ku-assassinate viongozi bila sababu zozote za msingi - Wachina hawana tabia hizo za kishenzi.

nakusaidia kuongeza
1628602619547.png
 
China mwaka 2021 bimaana mwaka huu mwezi wa pili imetangazwa kuwa ni taifa pekee lililokopesha mataifa mengi duniani.

Bank kuu ya China imekopesha mataifa 138 na kusamehe madeni mataifa 38.

Hivi tujadiliane jamani kiuchumi hii imekaaje?

Hivi kuna atayempiku huyu jamaa kweli?
Jumla wamekopesha bei gani?tuanzie hapo.inawezekana umekopesha wengi lakini kuna mwenzio amekopesha nchi nusu yako ila kakopesha fedha mara 5 yako.

BTW,nilisikia China ibakuja kasi ya hatari.na kitu kimoja inajivunia ni pamoja na soko la ndani pia
 
Jumla wamekopesha bei gani?tuanzie hapo.inawezekana umekopesha wengi lakini kuna mwenzio amekopesha nchi nusu yako ila kakopesha fedha mara 5 yako.

BTW,nilisikia China ibakuja kasi ya hatari.na kitu kimoja inajivunia ni pamoja na soko la ndani pia
Kaka natamani niweze kushare hyo video ila nashindwa ni habari ya Aljazeera world news.
Ila kiufupi walisema nchi pekee ambayo bank yake kuu imekopesha mataifa mengi ni China.
Na kaka nadhani unaelewa kwamba pesa za miradi sio ndogo mtu alokopeshwa pesa ndogo na China ni kiasi cha dola billion 200.
Na hao ndio miongoni mwa mataifa 38 yaliyosamehewa madeni .
Kaka sio pesa ndogo hizo.
 
Kaka China ana influence kubwa ktk dunia kwasasa.

Anglia Africa na Asia ambapo ndipo population ya dunia imeelemea hakuna nchi inayosema no kwa China.

Pia hata nchi ikiwekewa vikwazo nchi pekee ya kusimama nayo ni China.

Mathalan Cuba ilipoekewa vikwazo taifa pekee iliyoisaidia Cuba mpk kiuchumi ni China.

Hiyo imefanya mataifa mengi yaona kuna mkono wa kuuegemea tofauti na Marekani.
Sasa mbona Cuba wanalia njaa kila siku maandamano
 
Sasa mbona Cuba wanalia njaa kila siku maandamano
Viongozi wa asili ya kilatini wana matatizo sana.
Tatizo ni uongozi maana hata Colombia hawajawekewa vikwazo ila wanaandamana njaa.
 

Mchina kamwe hawezi kumpiku Marekani kwasababu hata uchumi wake umeshishwa na Rothschild family, Rothschild ndiye anae control Us na mataifa mengine.​

 

Mchina kamwe hawezi kumpiku Marekani kwasababu hata uchumi wake umeshishwa na Rothschild family, Rothschild ndiye anae control Us na mataifa mengine.​

Duh kweli watu tupunguze kukaa vijiwe vya kahawa za mbilimbili
 
Uchumi wa China mkubwa kaka.

Ukitaka kujua China ina economic stability IMF mwaka jana kipindi corona inashamiri walitoa ripoti Kuwa hakuna taifa ambalo halijatetereka kiuchumi lakin taifa pekee ambalo limeweza bado kuusimamisha uchumi wake ni China.

Kijeshi China sio wa kawaida tena hata kiteknolojia na kisiasa usipime.
Hilo jeshi la china zaidi ya kupeleka personnel kule korea miaka hiyo operesheni gani ngumu ashawahi kwenda!? Tunaona usa alivo na mioparesheni pembe zote za dunia
 
Hilo jeshi la china zaidi ya kupeleka personnel kule korea miaka hiyo operesheni gani ngumu ashawahi kwenda!? Tunaona usa alivo na mioparesheni pembe zote za dunia
We jamaa hizo operation US anazoshiriki chache sana anatumia askari wake nyingi anafadhili silaha.
Hakuna taifa oga kupoteza wanajeshi wake km USA.
Kilichomkuta Somalia kilimpa uoga tosha.
China siyo mtu wa kuingiza pua kwenye mambo ya watu anajua athari za kujiingiza kwenye vita zisizomuhusu.
Hiyo USA kilichomfanya uchumi wake kuzorota ni kuendekeza vita zisizomuhusu.
Ila China akitia mguu sehem lazma pateteme.
Unavyojua ww Korea kaskazini ile jeuri ya makombora kawapa nan km siyo China??
Vita za mgawanyo kati S.Korea na N.Korea nan alomfanya N.Korea kusimama kidete km siyo China???
Uliza South China sea USA ali react vp baada ya China kuintroduce dongfeng nuclear ballistic missiles.
 
matumizi ya dola ndio yanafanya vikwazo vinakua vikali ila china hataki yuan iende kimataifa kama dola na hua anaishusha thamani yake kila kukicha, china ndio nchi pekee haiwezi kuwekewa vikwazo na marekani kwasababu ina uchumi mkubwa kuliko wa marekani
Kwa sababu hana uchumi imara na anafanya hivyo Ili kuendelea kukuza uchumi hasa exports
 
Uchumi wa China mkubwa kaka.

Ukitaka kujua China ina economic stability IMF mwaka jana kipindi corona inashamiri walitoa ripoti Kuwa hakuna taifa ambalo halijatetereka kiuchumi lakin taifa pekee ambalo limeweza bado kuusimamisha uchumi wake ni China.

Kijeshi China sio wa kawaida tena hata kiteknolojia na kisiasa usipime.
Sawa wao si waliwahi ku contain virusi tofauti na nchi nyingine zilikuwa zinajivuta na kupiga siasa
 
Umeleta maada ambayo imenifunza kitu kipya


S=p in currency 1/p in currency 2 simple math

Kwa maana fupi wachina wananunua bidhaa Kwa bei rahisi Kwa bidhaa hio hio ambayo USA inanunuliwa ghali ila sio uchumi wao ni mkubwa View attachment 1886657

Sent from my SH-04H using JamiiForums mobile app
Sababu kubwa productivity kuwa kubwa inayochangiwa na relatively cheap labour ukilinganishwa na developed countries.

Tukija kwenye GDP per Capita bila shaka China bado saaana
 
Back
Top Bottom