China: Kauli za Marekani zitaiingiza hatarini Taiwan

China: Kauli za Marekani zitaiingiza hatarini Taiwan

China sijui anasubiri nini?Ilibidi sasa hivi awe keshaichukua Taiwan yake.
Uoga unawasumbua China, wanaogopa sana kuvuruga uchumiwao kwa sababu ya vita ndio maana unaona hawaingiliagi vurugu zozote popote.
 
Tangu lini Marekani imetoa msaada kwa yeyote! Ukiona imetoa kitu basi ni mtego wa kuvuna 1000000 x!
Kwa Tz US amekuwa akichangia budget, ujenzi wa barabara, madawa na neti zimekuwa zimekuwa zikitolewa kwa ufadhili wa USAID.
 
Kwa Tz US amekuwa akichangia budget, ujenzi wa barabara, madawa na neti zimekuwa zimekuwa zikitolewa kwa ufadhili wa USAID.
Acha upuuzi huo, wanaondoka na vingapi Baada ya hapo? Umeshawahi kulitafakari Hilo!
 
hivi Marekani hizo hela inazotumia kufadhili vita si izitumie kusaidia Nchi masikini ?[emoji57]
Wanafahamu fika kuwa zinaishia mifukoni mwa akina Mwigulu nk
 

Jeshi la China limesema mazoezi na doria ambazo zimekuwa zikifanyika katika Anga na Bahari karibu na Taiwan ilikuwa hatua ya lazima kujibu kile ilichosema ni 'ushirikiano usio halali' kati ya Marekani na Taiwan

China imesema hivi karibuni Marekani imekuwa ikitoa kauli zinazoashiria inaunga mkono Majeshi huru ya Taiwan, jambo ambalo imedai itaiingiza Taiwan katika hali ya hatari

Siku chache zilizopita, Rais Joe Biden alisema Marekani itailinda Taiwan ikiwa #China itafanya mashambulizi, kauli ambayo haijapokelewa vizuri na Taifa hilo

===

The Chinese military has said it conducted a “combat readiness patrol” in the sea and airspace around the self-ruled island of Taiwan, which China claims as its own territory.

In a statement, the People’s Liberation Army Eastern Theatre Command said the exercises had taken place in recent days and were “a necessary action” against what it described as “US-Taiwan collusion”.

“Recently, the United States has frequently made moves on the Taiwan issue, saying one thing and doing another, instigating support for Taiwan independence forces, which will push Taiwan into a dangerous situation,” the command added in a statement on Wednesday.

Taiwan this week reported the largest incursion by Chinese aircraft into its Air Defence Identification Zone (ADIZ) since January with 30 planes, most of them fighter jets, entering the southwest of the ADIZ.

The incident took place as Tammy Duckworth, a US Senator, was visiting the island.

Foreign Ministry spokesperson Zhao Lijian said that Beijing had “lodged solemn representations” with the US about her visit.

“We urge relevant US politicians to earnestly abide by the one-China principle, and immediately stop official exchanges with Taiwan in any form and refrain from sending any wrong signals to the ‘Taiwan independence’ separatist forces,” Zhao told a press briefing on Tuesday afternoon, according to the state-run Global Times.

“China will continue to take forceful measures to resolutely safeguard China’s sovereignty and territorial integrity.”

Zhu Fenglian, spokesperson for the Taiwan Affairs Office of the State Council, a Beijing body, also warned in a press conference that it was “very dangerous” for the US to “connive in the separatist activities conducted by Taiwan secessionists”.

Known formally as the Republic of China (ROC), Taiwan lies about 161 kilometres (100 miles) off the coast of mainland China. Once colonised by Japan, Chinese nationalists fled to the island after losing the civil war to the communists who established the People’s Republic of China (PRC) in Beijing

Source: Al Jazeera
US bwana hapo anachochea Kuni moto ukiwaka anatulia tu utafikir si yeye alichonganisha, ukweli ni kwamba US hawez fanya lolote china ikiamua kuivamia Taiwan
 
Back
Top Bottom