Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha na hao waabudu masanamu [emoji23][emoji1787]Wavaa kobazi gani..yesu au!?...mahakama ya kadhi ipo Kenya na zenji,na Wala Kenya hawajaona Kama kuwa na serikali ndani ya serikali,wakiristo wa tz ni specie maalum,Ina chuki na hofu ya ajabu dhidi ya uislam,kwa mwendo huo ipo siku mmea huo wa chuki utazaa matunda na tutayala
Ni kama vile wachina wana hofu ya kuonewa kwenye mataifa mengine, sasa wanapotaka kufungua vituo vyao vya polisi, muhimu wajue sheria za eneo husika bado zitatumika kuwakamata na kuwatia hatiani wakifanya uhalifu.The report says the tactics “deprives [Chinese nationals] of the right to be considered innocent until proven otherwise and the right to a fair trial, and also institutes a far-reaching ‘guilt by association’ paradigm...
Tz ni Tz na huko Kenya ni Kenya..na wala hakuna chuki wala unafiki..kama hupendi utawala wa nchi hii hamia huko Kenya...absurd.Wavaa kobazi gani..yesu au!?...mahakama ya kadhi ipo Kenya na zenji,na Wala Kenya hawajaona Kama kuwa na serikali ndani ya serikali,wakiristo wa tz ni specie maalum,Ina chuki na hofu ya ajabu dhidi ya uislam,kwa mwendo huo ipo siku mmea huo wa chuki utazaa matunda na tutayala
Wewe mwerevu unajibu vipi comments za wajinga??Uwe unaficha ujinga wako kidogo
Kwa nini ?DENG XIAOPING
@idleo Wachina wanataka kutupora bara letu
Na utakua mkatoliki tu,ndiyo mfundishanao chuki na agenda za kipuuzi dhidi ya waislam..mchuma janga hula na WA kwaoTz ni Tz na huko Kenya ni Kenya..na wala hakuna chuki wala unafiki..kama hupendi utawala wa nchi hii hamia huko Kenya...absurd.
#MaendeleoHayanaChama
Tembelea magereza uone wachina waliokamatwa kwa tuhuma za uhalifu kama wapo.Kwa hiyo polisi wetu hawatakuwa na mamlaka ya kuwakamata Wachina watuhumiwa?
Source yenyewe Ni BBC,mpk hapo hio Ni fake news-TRUMP
Hichi kitu kitaleta usumbufu pale mswahili kamtapeli mchina.Ni kama vile wachina wana hofu ya kuonewa kwenye mataifa mengine, sasa wanapotaka kufungua vituo vyao vya polisi, muhimu wajue sheria za eneo husika bado zitatumika kuwakamata na kuwatia hatiani wakifanya uhalifu.
Kwanza hata siamini kama hili jambo litafanikiwa, ni ujinga tu wa kichina, wanadhani wanavyotoa misaada kwetu sasa wanaweza mpaka kuingilia mambo yetu ya ndani, na hata wakifanya, sidhani kama litatekelezeka.Hichi kitu kitaleta usumbufu pale mswahili kamtapeli mchina.
Upo sawa boss.Simply, kama wameshindwa kuishi nchi za wengine, warudi kwao.
Nmeona pahala china wanataka kuja na hilo jambo
La kuanzisha vituo vya police Africa je police wetu Africa wameshindwa kazi?
Au ni aina mpya ya UKOLONI tunaletewa?