Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wengi wao ni wageni wa mali asilia zetuHalafu wao raia wao wanauza mahindi ya kuchoma Nairobi !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wao ni wageni wa mali asilia zetuHalafu wao raia wao wanauza mahindi ya kuchoma Nairobi !!
Aliwahu kuwaira hawa jamaa kuwa ni marafiki wa kweli. Hakujua nao wachina wana nia moja?Hizo ni pesa zetu wenyewee...
Na ndo maana Bro Magu alikuwa Smart sanaa
Nani kasema hizo ni pesa za bure?, ni mkopo nafuuKupenda sana vya bure kuna gharama zake
Wametufanya maskini ili waendelee kutu tawalaAlikudanganya nani kama masikini anakuwa huru?
Wengine wapi hao au unasemea waliotupa teyar trillion 12 ndani ya nusu mwaka tu ...??Hayo ndo mambo ya maana siyo wale wengine ambao export yao kuu kwetu ni maneno matupu ya "demokrasia" na "human rights"
Aliwahi kuzipata kama alikuwa smart Sana?Hizo ni pesa zetu wenyewee...
Na ndo maana Bro Magu alikuwa Smart sanaa
Ata zipataje na huku mliuza Gass ya Mtwara kwa mchina...leo anarudi kuwapa misaada na kule bandarini wanazoa Gass kama yao...Aliwahi kuzipata kama alikuwa smart Sana?
Naumwa kwa Nilio shuhudia kwa Mwamba wa AfricaEti smart!!!! Unaumwa wewe
Sasa usmart wake ni upi hapo?Ata zipataje na huku mliuza Gass ya Mtwara kwa mchina...leo anarudi kuwapa misaada na kule bandarini wanazoa Gass kama yao...
Maendeleo hayana chamaaa
Dada kama alikubutua ni wewe si ulimpanulia?Alikuwa smart ktk lipi?
...kuua?
..kuteka?
...kupora??
..kudhulmu??
Acha kumsifia huyu dikteta mshenzi