Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Wow yaani kama mbingu na ardhi..mbaya zaidi hawa wachina ndio kigizo chetu, kikubwa,Utasikia wachima hawaongei English wachina rafiki wakweli, wazungu wanawapenda watu wao...ndio maana serikali inachukia watanzania kwenda Ulaya.
Inategemea na population ya nchi, nchi kama uingereza yenye idadi ya watu milioni 68 na ushee watashindwaje kuwalipa raia wake huo mshahara ulioutaja!!!! Population ya china with a population of around 1.4 billion in 2019, sasa unategemea watalingana!!!!