Kazi kweli kweli Segelea na Ukonga vyote hivo vinapatikana bule, Gadaf yeye aliwapa free na mishahara haikuwa ya njugu kama hivo...nilifananisha na nchi za wenye akili sio hapo bongo wala vumbi...sawa rafiki?Ungejua gharama za usafiri, umeme, maji, chakula na malazi zilivyo chini wala huwezi kushangaa