myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
hela za riba tunapeleka wenyewe...wachina nao ni wapuuzi sana
hela za madeni hizo ndo wanazichezea hivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hela za riba tunapeleka wenyewe...wachina nao ni wapuuzi sana
hela za madeni hizo ndo wanazichezea hivo
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Acha u **** wewe, uadhani Kama tz anapotea bila sababu? Mavi yako
Na kweliHuko tunapoelekea tutaambiwa hata hii dunia Ni ya bandia
Kwani china nako wanajua dagaa?Wavuvi wa dagaa watakuwa hawana haja ya kwenda na kandili kuvua!
Kweli binadamu kajitengenezea mavumbuzi mengi, hadi mwezi bandia!! hakika yesu anarudi haraka.Hizi ni dalili za mwisho wa Dunia, mwisho watadisturb forces zinazofanya sayari kuzunguka katika mihimili yake na hivyo kugongana hovyo.
Akirudi nishtue ...kuja jambo nataka nimuelezeKweli binadamu kajitengenezea mavumbuzi mengi, hadi mwezi bandia!! hakika yesu anarudi haraka.
ahahahhahahhahhahahahahhha hata mi nimecheka sana!Umenikumbusha zamani sana ilo tusi la."mavi yako"
Hizi ni dalili za mwisho wa Dunia, mwisho watadisturb forces zinazofanya sayari kuzunguka katika mihimili yake na hivyo kugongana hovyo.
kila kitu pcha whatsapp na insta zimewaharibu...sasa unasikilizaga radio kweli mkuu kwa mwendo huu?Picha pliz
China plans to ‘launch its own artificial moon’ by 2020Source???? Tupia URL basi mkuu