China kuzindua mwezi wa bandia kumulika mitaani usiku

China kuzindua mwezi wa bandia kumulika mitaani usiku

Hizi ni dalili za mwisho wa Dunia, mwisho watadisturb forces zinazofanya sayari kuzunguka katika mihimili yake na hivyo kugongana hovyo.
Kweli binadamu kajitengenezea mavumbuzi mengi, hadi mwezi bandia!! hakika yesu anarudi haraka.
 
Hizi ni dalili za mwisho wa Dunia, mwisho watadisturb forces zinazofanya sayari kuzunguka katika mihimili yake na hivyo kugongana hovyo.

[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]Mbona Kama ishu normal Sana hiyo
 
HABARI


zaidi ya



HABARI


•Serikali ya mji wa chengdu,CHINA ipo mbioni kujitengenezea mwezi wao ambao utakuwa ukiangaza badala ya taa za barabarani,inaelezwa mwezi huo utakuwa na uwezo wa kuangaza mara nane zaidi ya mwezi wa kawaida na inatarajiwa kuzinduliwa mwaka 2020.
 
Simulated Sampler
FB_IMG_15399751944737088.jpeg
 
Back
Top Bottom