China kuzindua mwezi wa bandia kumulika mitaani usiku

Vzur
 
Sawa ila vipi watu ambao wanapenda giza? hawaoni watalkua wamewanyima haki zao?
Bado mimea duu that is not good bora natural environment iwepo tuu au uwe unawashwa na kuzimwa pindi unapohitajika coz kila kitu kinaumuhimu wake.
Mimi siwezi lala bila usiku kuingia kwa hiyo sitalala tena maisha yangu au?
 
Hizi akili zetu nyingi, zitakuwa kuilipua hii dunia iwe ndio mwisho wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…