Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,438
- 4,456
Sijaona kufuru, imani yako inakuweka nyuma ya maendeleo ya science.
Buku hili hili baba s???Mm nnayo mkuu
Leta buku
Naona aisee...daah,!!!siku ndo zinakuacha hivyo mazaa
yeah something like that.... though kwa exchange rate ya sasa nahisi ni around 390 bilionSo ni billion > 306
MmmmhLeta buku mbili
Basi
Mbona pesa ndogo Sana kwa project kama hiyo nilitegemea kuwa Zaid ya matrilionyeah something like that.... though kwa exchange rate ya sasa nahisi ni around 390 bilion
soma vizur hyo siyo pesa ya project cost.....Mbona pesa ndogo Sana kwa project kama hiyo nilitegemea kuwa Zaid ya matrilion
Uko sahihi.Hakika kabisa. Mungu ametupatia akili ili zitusaidie kuondokana na kero za maisha, badala yake akili zetu tunazotumia kama simu (kupokea na kuandika sms, kupiga na kupokea, na kutumiana vimeseji vya kusifiana kwenye facebook au whatsapp). Bado matumizi yetu ya akili yako chini mno. Mungu ametuumba ili tuutawale ulimwengu na vilivyomo.
Akirudi atakuta dunia iko empty!! Tutakuwa tumehamia kwenye dunnia nyingine feki!Kweli binadamu kajitengenezea mavumbuzi mengi, hadi mwezi bandia!! hakika yesu anarudi haraka.
Unajua ni kwa nini?Hakika kabisa. Mungu ametupatia akili ili zitusaidie kuondokana na kero za maisha, badala yake akili zetu tunazotumia kama simu (kupokea na kuandika sms, kupiga na kupokea, na kutumiana vimeseji vya kusifiana kwenye facebook au whatsapp). Bado matumizi yetu ya akili yako chini mno. Mungu ametuumba ili tuutawale ulimwengu na vilivyomo.
hahaa, vipi Mother uzee ushaanza kuingia nini, unataka kurudi ubintini?,Hivi wana dawa ya kukufanya mtu usikuwe ajuza/shaibu??
Hahahaaa...naona kama make-up yangu haikai sawa kama zamani hivii...😂sielewiiiihahaa, vipi Mother uzee ushaanza kuingia nini, unataka kurudi ubintini?,
Mkuu umewaza nn, haya mawazo yako yasifikie fikra maake ajali ya hapo itakuwa haina mfano, dunia nzima itafunikwa na maji.Hizi ni dalili za mwisho wa Dunia, mwisho watadisturb forces zinazofanya sayari kuzunguka katika mihimili yake na hivyo kugongana hovyo.
Hiyo ninayo mie!Hivi wana dawa ya kukufanya mtu usikuwe ajuza/shaibu??
watapata tabu sanaole wao wale watakaogeuza usiku kuwa mchana
Natamani kujua kipindi cha yale masaa 12 ambayo jua litakuwa limechomoza je Mwanga hautazidi sana au joto halito ongezeka??Utakua na faida sawa na utasevu hela nyingi, sawa lakini madhara kwa mazingira yatakua mkubwa sana, itafikia kipindi wataamua kuutoa wenyewe tu.
Utanipa bure??Hiyo ninayo mie!
Kwa mjibu wa bwana wu anasema ukali wa mwanga unaweza kurekebishwa na usahihi kupatikana hivyo wataweza kuuseti mwanga ili kuweza kuendana na mazingira ya kawaida bila kuadhili viumbe hai.Natamani kujua kipindi cha yale masaa 12 ambayo jua litakuwa limechomoza je Mwanga hautazidi sana au joto halito ongezeka??