China: Marekani chagua moja unataka vita ama ushirikiano?

China: Marekani chagua moja unataka vita ama ushirikiano?

Si ndo hawahawa walisema Spika wa US asifike Taiwan? Wakawa na mazoezi mazito ya kijeshi? Mwisho wa siku Peros akatua salama na kuondoka salama.
Hao Wala nyoka na roho zao mbaya wapo wapo tu
 
Tena US walivyokuwa wahuni yule mama walimpandisha ndege ya Rais Air Force One, ili kama China ataangusha ndege ya Rais wa US kuwe na sababu ya maana kwa US kumshughulikia Mchina lakini wachina wakabaki kuisindikiza ile ndege kwa macho tu, maamae
Air Force One ni Code tu mkuu hata leo Biden akipanda Bombardier yetu ikiruka itapewa iyo code ya Air force One, Ivo hakuna ndege Physical yenye jina la Air force one
 
Si ndo hawahawa walisema Spika wa US asifike Taiwan? Wakawa na mazoezi mazito ya kijeshi? Mwisho wa siku Peros akatua salama na kuondoka salama.

Mmmh kaka ile kamba ilikuwa ngumu kumeza hiv pale kwa wangefanyaje mkuu
 
Kwaiyo China wanapapatua waondolewe vikwazo vya technologia ya sayansi, ndio maana tulikuwa tunawambia humu kwamba China technolojia yake yote aliyonayo ipo chini ya US na kwamba China hawezi kununa na US maana ndie anayemuweka mjini.
Kwanini wamezuia mtandao wa 5g
 
Back
Top Bottom