Hakika kama urafiki unapaswa kuhalalishwa kuwa ndugu basi Chini siyo tu raifiki yetu bali ni ndugu yetu wa damu tangu enzi. Chini kihistoria ni mjamaa mwenzetu wa enzi na enzi.
wasiojua historia ndiyo watashangaa, lakini China siyo tu rafiki yetu bali ni ndugu yetu wa damu.
Mungu ubariki udugu wetu kati ya China na Tanzania, amen.
udugu wetu wa damu uliasisiwa na Hayati J.K. Nyerere kwa upande wa Tanznaia na Hayati Mao tse tung kwa upande wa China.
Soma historia uelewe, someni vitabu.
matunda na upendo tunao ushuhudia leo hii kati ya Rais Xi Jinping wa CHINA na Rasi Samia Suluhu wa TANZANIA ni matokeo ya udugu wa damu ulio asisiwa na hao "wajamaa" wa enzi hizo JKN na Mao.
ambapo sasa Rais Samia anaimarisha zaidi udugu wetu.
wasiojua historia ndiyo watashangaa, lakini China siyo tu rafiki yetu bali ni ndugu yetu wa damu.
Mungu ubariki udugu wetu kati ya China na Tanzania, amen.
udugu wetu wa damu uliasisiwa na Hayati J.K. Nyerere kwa upande wa Tanznaia na Hayati Mao tse tung kwa upande wa China.
Soma historia uelewe, someni vitabu.
matunda na upendo tunao ushuhudia leo hii kati ya Rais Xi Jinping wa CHINA na Rasi Samia Suluhu wa TANZANIA ni matokeo ya udugu wa damu ulio asisiwa na hao "wajamaa" wa enzi hizo JKN na Mao.
ambapo sasa Rais Samia anaimarisha zaidi udugu wetu.