China na Tanzania siyo tu marafiki bali ni ndugu wa damu

China na Tanzania siyo tu marafiki bali ni ndugu wa damu

ni faida kubwa sana kwa Nchi yetu kuimarisha uhusiano mzuri na China.

ni ukweli usio pingika kuwa sisi China ni ya pili duniani katika Uchumi pamoja na technologia, hivyo Tanzania tunategemea kunufaika zaidi kutoka kwa ndugu zetu China.

China ni ndugu zetu wa damu, hivyo hawana budi kutuinua kiuchumi na kitechnolojia.

Mungu ubariki udugu wetu.
 
Hakika kama urafiki unapaswa kuhalalishwa kuwa ndugu basi Chini sio tu Raifiki yetu bali ni ndugu yetu wa damu tangu enzi.

Chini kihistoria ni mjamaa mwenzetu wa enzi na enzi.

wasio jua historia ndio watashangaa lakini China sio tu RAFIKI yetu bali ni ndugu yetu wa damu.

Mungu ubariki udugu wetu kati ya China na Tanzania, amen.
Wachina sijawahi kuwaelewa hao jamaa... nusu watu nusu wanyama na makatili wa kutisha
 
Hakika kama urafiki unapaswa kuhalalishwa kuwa ndugu basi Chini sio tu Raifiki yetu bali ni ndugu yetu wa damu tangu enzi.

Chini kihistoria ni mjamaa mwenzetu wa enzi na enzi.

wasio jua historia ndio watashangaa lakini China sio tu RAFIKI yetu bali ni ndugu yetu wa damu.

Mungu ubariki udugu wetu kati ya China na Tanzania, amen.
Hawa wachina walioko Tanzania umewahi kuona wanavyo wa treat ndugu zao wa damu watanzania wazawa au unaongea tu.
 
ni faida kubwa sana kwa Nchi yetu kuimarisha uhusiano mzuri na China.

ni ukweli usio pingika kuwa sisi China ni ya pili duniani katika Uchumi pamoja na technologia, hivyo Tanzania tunategemea kunufaika zaidi kutoka kwa ndugu zetu China.

China ni ndugu zetu wa damu, hivyo hawana budi kutuinua kiuchumi na kitechnolojia.

Mungu ubariki udugu wetu.
Mnategemea kunufaika kwaninj masiunde vya kwenu? always kutegemea misaada tu waliyotolea jasho wenzenu, af mnataka mpate kiwepesi.

Hakuna undugu kwenye masuala ya maendeleo, hata huyo rais wa china msimuone hivyo sura ya kipole na macho malegevu, hao ni zaidi ya mashetan, hawachelewi kuwabadirikia, mipango yao mbeleni ni kuja kuitawala Africa nzima ktk kila nyanja, ndiomaana wanajitahidi sana kulegeza masharti yao ya mikataba na kuruhusu bidhaa nyingi na huduma nying za china kuenea afrika.

Baada ya muda walioukusudia ni wao kuja kurithi makoloni ya wazungu barani afrika, hapo ulaya yote itakuwa imefirisika na USA itakuwa imepoteza ushawishi kwa afrika.

Mnachotakiwa kujua ni kwamba, China inainunua afrika kwa kila hali, China inajitahidi hata kuwapa huduma na bidhaa ambazo kwa Uchumi wa Africa hatukustahili kuzipata lkn wao wanawapa kulingana na Pesa zenu na resources zenu, japo bidhaa anawapunguzia ubora(feki) si mnaona sasa bila mchina nahakika hata mtoa thread asingeleta uzi kupitia iyo Tecno yake ya lakimbili(joke[emoji23]), kupitia mchina , mmefanikiwa mpka kupata bidhaa za kielectronics ambazo kiuhalisia bila punguzo la mchina basi tungeita maji "MMAA" [emoji16][emoji23].

Wachina sio wajinga, wanajuwa kuwa ongezeko la watu nchini mwao ni kubwa hivyo kimbilio lao hapo mbeleni si USA wala ulaya bali afrika ambako ndipo eneo la kimkakati la kulinunua kupitia haya wanayowadanganya.

Vichwa vya viongoz wa kiafrika ni vyepesi kusahau mambo, hawakumbuki walichotendewa babu zetu kupitia ulaghai wa watu weupe, badala ya kujitahadharisha, wao ndio kwanza kutwa kuzurula huko na kusaini mambo yatakayowatatiza wazawa wajao.

2025 watakao fika hakikishen ama tuhakikishe hizi tawala za kishenzi hazivuki wala kuingia ikulu&bungeni
 
Mnategemea kunufaika kwaninj masiunde vya kwenu? always kutegemea misaada tu waliyotolea jasho wenzenu, af mnataka mpate kiwepesi.

Hakuna undugu kwenye masuala ya maendeleo, hata huyo rais wa china msimuone hivyo sura ya kipole na macho malegevu, hao ni zaidi ya mashetan, hawachelewi kuwabadirikia, mipango yao mbeleni ni kuja kuitawala Africa nzima ktk kila nyanja, ndiomaana wanajitahidi sana kulegeza masharti yao ya mikataba na kuruhusu bidhaa nyingi na huduma nying za china kuenea afrika.

Baada ya muda walioukusudia ni wao kuja kurithi makoloni ya wazungu barani afrika, hapo ulaya yote itakuwa imefirisika na USA itakuwa imepoteza ushawishi kwa afrika.

Mnachotakiwa kujua ni kwamba, China inainunua afrika kwa kila hali, China inajitahidi hata kuwapa huduma na bidhaa ambazo kwa Uchumi wa Africa hatukustahili kuzipata lkn wao wanawapa kulingana na Pesa zenu na resources zenu, japo bidhaa anawapunguzia ubora(feki) si mnaona sasa bila mchina nahakika hata mtoa thread asingeleta uzi kupitia iyo Tecno yake ya lakimbili(joke[emoji23]), kupitia mchina , mmefanikiwa mpka kupata bidhaa za kielectronics ambazo kiuhalisia bila punguzo la mchina basi tungeita maji "MMAA" [emoji16][emoji23].

Wachina sio wajinga, wanajuwa kuwa ongezeko la watu nchini mwao ni kubwa hivyo kimbilio lao hapo mbeleni si USA wala ulaya bali afrika ambako ndipo eneo la kimkakati la kulinunua kupitia haya wanayowadanganya.

Vichwa vya viongoz wa kiafrika ni vyepesi kusahau mambo, hawakumbuki walichotendewa babu zetu kupitia ulaghai wa watu weupe, badala ya kujitahadharisha, wao ndio kwanza kutwa kuzurula huko na kusaini mambo yatakayowatatiza wazawa wajao.

2025 watakao fika hakikishen ama tuhakikishe hizi tawala za kishenzi hazivuki wala kuingia ikulu&bungeni
Uharo mtupu huu.
 
Mnategemea kunufaika kwaninj masiunde vya kwenu? always kutegemea misaada tu waliyotolea jasho wenzenu, af mnataka mpate kiwepesi.

Hakuna undugu kwenye masuala ya maendeleo, hata huyo rais wa china msimuone hivyo sura ya kipole na macho malegevu, hao ni zaidi ya mashetan, hawachelewi kuwabadirikia, mipango yao mbeleni ni kuja kuitawala Africa nzima ktk kila nyanja, ndiomaana wanajitahidi sana kulegeza masharti yao ya mikataba na kuruhusu bidhaa nyingi na huduma nying za china kuenea afrika.

Baada ya muda walioukusudia ni wao kuja kurithi makoloni ya wazungu barani afrika, hapo ulaya yote itakuwa imefirisika na USA itakuwa imepoteza ushawishi kwa afrika.

Mnachotakiwa kujua ni kwamba, China inainunua afrika kwa kila hali, China inajitahidi hata kuwapa huduma na bidhaa ambazo kwa Uchumi wa Africa hatukustahili kuzipata lkn wao wanawapa kulingana na Pesa zenu na resources zenu, japo bidhaa anawapunguzia ubora(feki) si mnaona sasa bila mchina nahakika hata mtoa thread asingeleta uzi kupitia iyo Tecno yake ya lakimbili(joke[emoji23]), kupitia mchina , mmefanikiwa mpka kupata bidhaa za kielectronics ambazo kiuhalisia bila punguzo la mchina basi tungeita maji "MMAA" [emoji16][emoji23].

Wachina sio wajinga, wanajuwa kuwa ongezeko la watu nchini mwao ni kubwa hivyo kimbilio lao hapo mbeleni si USA wala ulaya bali afrika ambako ndipo eneo la kimkakati la kulinunua kupitia haya wanayowadanganya.

Vichwa vya viongoz wa kiafrika ni vyepesi kusahau mambo, hawakumbuki walichotendewa babu zetu kupitia ulaghai wa watu weupe, badala ya kujitahadharisha, wao ndio kwanza kutwa kuzurula huko na kusaini mambo yatakayowatatiza wazawa wajao.

2025 watakao fika hakikishen ama tuhakikishe hizi tawala za kishenzi hazivuki wala kuingia ikulu&bungeni
Uharo mtupu huu, hakuna taifa janja na makini kama Tanzania unayoyasikia zambia na Uganda na kwingineko sahau kutokea Tanzania.
 
Mungu akusamehe hujui ulisemalo, hakuna viumbe hawana utu Wala shukrani kama Wachina, wale Jamaa ni the most corrupt viumbe hapa Duniani. Nawajua vizuri sana Wachina.
Hebu Mwambie ukweli huyo pimbi! Ndugu wa damu? Anawajua wachina huyu mbuzi? Waulize Wazambia na Sri Lanka! Mjinga sana!
 
Nimependa alivyopokelewa kwa heshima
 
Tupo Neutral hatufungamani na nchi yoyote Nyerere aliwaza jambo kubwa sana
 
Hawa wachina walioko Tanzania umewahi kuona wanavyo wa treat ndugu zao wa damu watanzania wazawa au unaongea tu.
tatizo letu tumezoea uvivu na visingizio visivyo kwisha!

watanzania wengi wao ni wavivu wakati ndugu zetu wachina ni wachapakazi usiku na mchana.

tuache uvivu, tuache maneno mingi, tuache majungu na fitina, tuchape kazi ili tusonge mbele kama ndugu zetu wachina.
 
Hakika kama urafiki unapaswa kuhalalishwa kuwa ndugu basi Chini siyo tu raifiki yetu bali ni ndugu yetu wa damu tangu enzi. Chini kihistoria ni mjamaa mwenzetu wa enzi na enzi.

wasiojua historia ndiyo watashangaa, lakini China siyo tu rafiki yetu bali ni ndugu yetu wa damu.

Mungu ubariki udugu wetu kati ya China na Tanzania, amen.
eb chief tupo history kidogo Tanzania na china uo udugu umeanza lini
 
tuwaige ndugu zetu wa damu jinsi wanavyo fanya kazi kwa bidiii na kwa kujituma.

unaweza wakuta wachina ma engineer wa barabara porini katikati wakisimamia ujenzi unavyo endelea, lakini utamkuta Eng. wa Kibongo anakula bata baaa mchana kweupe !!!

ndio maana tunaishia kulumu kwa sababu ya uvivu na kupenda starehe zaidi kuliko kujituma kwenye kazi.

Tuwaige ndugu zetu wa damu.
 
eb chief tupo history kidogo Tanzania na china uo udugu umeanza lini
njoo kwenye jukwaa la historia, utpata historia ya kina kati ya China na Tanzania.

Baada ya nchi yetu kupata uhuru Baba wa Taifa aliamua kufuata Itikadi/siasa za kijaamaa na wakati huo CHINA ndiye alikuwa Baba wa ujamaa na hapo ndipo udugu wetu wa damu na China ulipo zaliwa.

Chini ya Utawla wa Hayati Nyerere kwa Tanzania na kwa upande wa CHINA alikuwa Rais Mao tse tung,
hao wlikuwa wajamaa wa kweli, hapo ndipo udugu wa damu ulipo zaliwa.

kwa kifupi tu Mwl. J.K. Nyere ndiye aliye asisi urfiki na udugu wa damu kati ya CHINA na TANZANIA.





Nenda jukwaa la Historia ujifunze zaidi historia ya CHINA na TANZANIA.
 
njoo kwenye jukwaa la historia, utpata historia ya kina kati ya China na Tanzania.

Baada ya nchi yetu kupata uhuru Baba wa Taifa aliamua kufuata siasa za kijaamaa na wakati huo China ndiye alikuwa Baba wa ujamaa na hapo ndipo udugu wetu wa damu na China ulipo zaliwa.

Nenda jukwaa la Historia ujifunze zaidi historia ya CHINA na TANZANIA.
mmmh subir niend lakini hii naona kama ☕☕☕
 
Undugu huo mlianza lini tena wajamen....mkigeuzwa mrudi hapa ulimi nje
 
Undugu huo mlianza lini tena wajamen....mkigeuzwa mrudi hapa ulimi nje
udugu wetu wa damu uliasisiwa na Hayati J.K. Nyerere kwa upande wa Tanznaia na Hayati Mao tse tung kwa upande wa China.

Soma historia uelewe, someni vitabu.

matunda na upendo tunao ushuhudia leo hii kati ya Rais Xi Jinping wa CHINA na Rasi Samia Suluhu wa TANZANIA ni matokeo ya udugu wa damu ulio asisiwa na hao "wajamaa" wa enzi hizo JKN na Mao.
ambapo sasa Rais Samia anaimarisha zaidi udugu wetu.
 
Kwa jinsi ninavyowajua WACHINA.

Kwa jinsi ninavyojua wabongo walivyo NYORONYORO kama KONOKONO.

Na jinsi ninavyojua jinsi serikali isivyojali chochote.

Ninachoona soon wabongo mtaanza kunyonya madushe ya Wachina hadharani pale posta.

Kitu mnachofanyiwa na Wahindi hapa bongo mbona ni trailer, wachina wanajua kazi.
 
Back
Top Bottom