China ni maswahiba wa Urusi ila raia wake wamajaa Marekani kuliko Urusi!

China ni maswahiba wa Urusi ila raia wake wamajaa Marekani kuliko Urusi!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Ilitegemewa kutokana na urafiki mkubwa na ujirani uliopo kati ya China na Russia basi raia Wachina wangejaa kwa wingi zaidi Russia kuliko sehemu nyingine ila hali ni tofauti kabisa.

Kuna raia takribani milioni tano na nusu wa China nchini Marekani wanoishi na kufanya kazi huko wakati kuna raia takribani laki mbili tu Wachina wanaoishi na kufanya kazi nchini Russia. Hata nchi ndogo ya Uingereza ina raia Wachina wengi kuliko Russia, Wachina wako laki tano nchini UK!
 
Unafikiri wanaibaje tekinolojia kutoka Ulaya na Marekani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ila jibu nadhani ni la kihistoria zaidi kuliko unavyofikiri.

Mass immigration ya Wachina kwenda New World haijaanza Jana wala leo toka Karne ya 18 au zaidi.

Ikafikia hatuna Hadi wakawa na miji Yao midogo ndani ya miji ya Marekani
Nadhani ushawahi sikia China town
 
Ilitegemewa kutokana na urafiki mkubwa na ujirani uliopo kati ya China na Russia basi raia Wachina wangejaa kwa wingi zaidi Russia kuliko sehemu nyingine ila hali ni tofauti kabisa.

Kuna raia takribani milioni tano na nusu wa China nchini Marekani wanoishi na kufanya kazi huko wakati kuna raia takribani laki mbili tu Wachina wanaoishi na kufanya kazi nchini Russia. Hata nchi ndogo ya Uingereza ina raia Wachina wengi kuliko Russia, Wachina wako laki tano nchini UK!
Russia hakuna issue
 
Unafikiri wanaibaje tekinolojia kutoka Ulaya na Marekani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ila jibu nadhani ni la kihistoria zaidi kuliko unavyofikiri.

Mass immigration ya Wachina kwenda New World haijaanza Jana wala leo toka Karne ya 18 au zaidi.

Ikafikia hatuna Hadi wakawa na miji Yao midogo ndani ya miji ya Marekani
Nadhani ushawahi sikia China town
Na hawa pia wako kariako wakifanya umachinga nao wamekuja kuiba teknolojia?
 
mmmh, sijajua wewe hizi takwimu umezitoa wapi wachina wanapatikana sana asia
 
Skuizi wachina mawinga wamejaa kariakoo shekh...
 
Russia imepakana na China, Wachina wala hawana haja ya kufunga safari😁
Wachina nao wanapenda kupanda mwewe bhana! Safari za kwenda kwa miguu au treni sio.
 
Back
Top Bottom