China(PRC) na Taiwan(ROC) bado wapo kwenye civil war

China(PRC) na Taiwan(ROC) bado wapo kwenye civil war

Kuna kiwango cha Wachina pia wasiokubali unification yoyote na Taiwan, iwe hiyo ya propaganda ya Peaceful au kwa vita.
Umesema hakuna Wataiwan watakao kubali Peacefully Unification[emoji848].
Ila kumbe Kuna kiwango cha Wataiwan kinachounga mkono peacefully Unification.
 
Sijawelewa point yako kuhusu ramani. Ujerumani wanayo Ramani ya Prussia iliyokuwa inajumuisha Poland,Lithunia,Czech,sehemu za Russia.

Mongolia wanayo ramani ya Mongol empire ya Genghis ambayo ilikuwa inajumuisha sehemu kubwa ya China na Russia.

Waturuki wanayo ramani ya Ottoman Empire ambayo ilikuwa inajumuisha hadi sehemu za North Africa.

Waitalia wanayo ramani ya Roman Empire
Saudi Arabia wanayo ramani ya Umayyad Caliphate

Zimbabwe wanayo ramani ya Ufalme wa Mwenemutapa ambayo ilikuwa inajumuisha hadi Msumbiji, Zambia na Malawi.

Sasa hawa wote kila mtu akianza kudai "ardhi ya mababu zake" si itakuwa vurugu ya kuimaliza dunia ??!
Hakuna vurugu kwa anaye dai chake kilicho halali. Ila kama sio halali ndio kitaleta vurugu.
 
Kuna kiwango cha Wachina pia wasiokubali unification yoyote na Taiwan, iwe hiyo ya propaganda ya Peaceful au kwa vita.
Ila ulisema hakuna anayetaka peacefully Unification na PRC. Kumbe wapo basi wasikilizwe.
 
Kwa upande wa Taiwan Huwa wanasikilizwa kupitia sanduku la kura, China nao wawasikilize raia wake wa Tibet, Uyghurs na wenye maoni mbadala kuhusu Taiwan.
Ila ulisema hakuna anayetaka peacefully Unification na PRC. Kumbe wapo basi wasikilizwe.
 
Kwa upande wa Taiwan Huwa wanasikilizwa kupitia sanduku la kura, China nao wawasikilize raia wake wa Tibet, Uyghurs na wenye maoni mbadala kuhusu Taiwan.
Watibet walisikilizwa 1950 . Wauyghurs mbona Wana sikilizwa tu ndio maana Uhuru wao wa kiimani unaheshimiwa Ila tu usivunje sheria za nchi ya kisoshalisti ya kichina.
 
Back
Top Bottom