China ready to avail $7.6 bln for remaining SGR

China ready to avail $7.6 bln for remaining SGR

Dah! Hizo picha nyangau mkenya zinalewesha, hehehe!! Yaani vitendo sio blah blah, sasa Wabongo wameanza kuwapigia Wachina magoti baada ya kujitapatapa na kujishaua, huu mchezo unataka mikakati endelevu na sio kuongea ongea kusudi ufurahishe na kusifiwa tu.
 
Wow! I truly lack words to tell GoK thank you. This will be a game changer in Kenya and the greater East African region in terms of Logistics.
duh,utawafanya walie na yao iko ndani ya vitabu 😀
 
Wow! I truly lack words to tell GoK thank you. This will be a game changer in Kenya and the greater East African region in terms of Logistics.
IMF issues warning on Kenya's debt as govt. maintains level is

Which east africa are you talking about, the project is too expensive can't even compete with trucks, the cost per container is either the same or higher with that of the trucks, how can it compete with electrical, cheaper and high capacity modern train?
 
Hawa jirani zetu mimi nashindwa kuwashangaa maana mwanzoni walikuwa wanawaponda wachina kuwa ni wajamaa kama watanzania na kuwatukuza mabepari leo wanawakumbatia hawa makomredi na kuwatukuza, jueni hiyo ni product ya ujamaa.
 
Hawa jirani zetu mimi nashindwa kuwashangaa maana mwanzoni walikuwa wanawaponda wachina kuwa ni wajamaa kama watanzania na kuwatukuza mabepari leo wanawakumbatia hawa makomredi na kuwatukuza, jueni hiyo ni product ya ujamaa.
Sasa unaanza kuwajua wakenya ni watu wa aina gani, hoa ndiyo wakenya walivyo, ukiona mkenya anakukaribia ujue kuna kitu anatafuta, hawana udugu, urafiki au ubinadamu mbele ya maslahi yake, hukumbuki walivyoshirikiana na makaburu wa Africa kusini na kukataa kutoa hifadhi kwa wakimbizi wa Afrika Kusini, leo hii ndiyo wapo mbele kuiomba Afrika kusini iondoe visa kwa wakenya eti kwa sababu Kenya imeondoa viza kwa South Africans, ila Zhuma aliwakatalia kwa sababu anakumbuka Kenya ilichowafanyia huko nyuma.
 
Hawa jirani zetu mimi nashindwa kuwashangaa maana mwanzoni walikuwa wanawaponda wachina kuwa ni wajamaa kama watanzania na kuwatukuza mabepari leo wanawakumbatia hawa makomredi na kuwatukuza, jueni hiyo ni product ya ujamaa.

Sasa unaanza kuwajua wakenya ni watu wa aina gani, hoa ndiyo wakenya walivyo, ukiona mkenya anakukaribia ujue kuna kitu anatafuta, hawana udugu, urafiki au ubinadamu mbele ya maslahi yake, hukumbuki walivyoshirikiana na makaburu wa Africa kusini na kukataa kutoa hifadhi kwa wakimbizi wa Afrika Kusini, leo hii ndiyo wapo mbele kuiomba Afrika kusini iondoe visa kwa wakenya eti kwa sababu Kenya imeondoa viza kwa South Africans, ila Zhuma aliwakatalia kwa sababu anakumbuka Kenya ilichowafanyia huko nyuma.
Nyundo imegonga msumari.
 
lazima tutumie loan PIA. maana our own source revenue has countless number of uses. we have to leverage.

Bila aibu ukizingatia mlivyokua mnaimba huku, kwanza lazima Mchina atazaa na nyie maana mlimzingua sana kwa kumringia, lazima awatie mimba
 
Hahahaha "Tuta"- fund na pesa zetu hatuhitaji loan za mchina. Hii "tuta" tuliwaambia tangu zamani ni upuziii mtupu, it has never ever materialised in a country called Tanzania ni kama mbwa koko anayebweka bweka lakini ukimkaribia anatoka mbio mkia ameukunja na kujificha.
 
Hahahaha "Tuta"- fund na pesa zetu hatuhitaji loan za mchina. Hii "tuta" tuliwaambia tangu zamani ni upuziii mtupu, it has never ever materialised in a country called Tanzania ni kama mbwa koko anayebweka bweka lakini ukimkaribia anatoka mbio mkia ameukunja na kujificha.
Hasira na wivu zitakumaliza, first two phases tunalipia wenyewe, mazungumzo yanaendelea na wafadhili tofauti tofauti kama wanaweza kulipia phases zilizobaki, sio China peke yake, kuna Exim Bank ya Turkey, AfDB, na wengineo, lengo tupate mkopo wenye interest ndogo ili mradi usiwe white elephant, ila wakizingua Magu anamalizia mwenyewe bila mkopo..HAPA KAZI TU..
 
NYANG'AU mkenya there is news going on Uganda didn't back up the Kampala Malaba a reason Kenya wana link Kisumu instead of Malaba.
 
Hahahaha "Tuta"- fund na pesa zetu hatuhitaji loan za mchina. Hii "tuta" tuliwaambia tangu zamani ni upuziii mtupu, it has never ever materialised in a country called Tanzania ni kama mbwa koko anayebweka bweka lakini ukimkaribia anatoka mbio mkia ameukunja na kujificha.

Tutafanya, tutaenda, tutawapita, tutakimbia, tutaruka, tutakaa, tutawaona, tuta..tuta..tuta..... I can compose a song on this.
 
Tutaipiku Kenya, Tutajenga Bagamoyo,Tutajenga SGR, Tutajenga Pipeline, Tutajenga Highway, Tutatafuta kwa vyovyote vile habari za wakenya kwenye mitandao na kuwaletea hapa ili tutoe povu, Tutakuwa na Tanzania Air,Tutaikomboa bombardier toka Canada, Tutahakikisha Dar imefikia mji wa mombasa....Shida ni hawaleti evidence ya hata yote wanayo-tuta.
 
Tutaipiku Kenya, Tutajenga Bagamoyo,Tutajenga SGR, Tutajenga Pipeline, Tutajenga Highway, Tutatafuta kwa vyovyote vile habari za wakenya kwenye mitandao na kuwaletea hapa ili tutoe povu, Tutakuwa na Tanzania Air,Tutaikomboa bombardier toka Canada, Tutahakikisha Dar imefikia mji wa mombasa....Shida ni hawaleti evidence ya hata yote wanayo-tuta.

Hivi, ndege yao bado imekamatwa, ndio matatizo ya kujiweka kwenye ligi ya wakubwa wakati bado upo mchanga.
 
vip
Hasira na wivu zitakumaliza, first two phases tunalipia wenyewe, mazungumzo yanaendelea na wafadhili tofauti tofauti kama wanaweza kulipia phases zilizobaki, sio China peke yake, kuna Exim Bank ya Turkey, AfDB, na wengineo, lengo tupate mkopo wenye interest ndogo ili mradi usiwe white elephant, ila wakizingua Magu anamalizia mwenyewe bila mkopo..HAPA KAZI TU..
vipi umeme umerudi 😀
 
Back
Top Bottom